Jenga nchi yako lipa kodi full stop.Una dalili zote za kuwa muajiriwa wa malipo hafifu.
Jenga nchi yako lipa kodi full stop.Una dalili zote za kuwa muajiriwa wa malipo hafifu.
Bavicha bwanakwahiyo ni sahihi mzigo wa dola 4600 kulipa ushuru wa m 16
we n chizi na mtaji mkubwa wa ccm n machizi kama ww
na haitokaa iwe rafiki kwa watu wasiopenda kabisa kulipa kodi na kupenda super profit.Mzigo wa $4600 kodi milioni 16, halafu unawaambia watu walipe kodi..
Mkuu hujawahi kufanya biashara, na kama ungekuwa mfanya biashara ungejua kwa nini watu hukwepa kodi..
Kodi Tanzania sio rafiki kuanzia kwa mfanya biashara mpaka mfanyakazi, tukiwa na mawazo huru tutajenga hii nchi..
sasa ndio umejibu upuuz gan we juha wa maharo?Bavicha bwana
hivi we chizi kichwa chako kina karatasi au ubongo?na haitokaa iwe rafiki kwa watu wasiopenda kabisa kulipa kodi na kupenda super profit.
Sawa, kama haujakariri, naomba unifafanulie maana ya msemo 'enzi zimebadilika' as far as ushuru is concernedsio suala la kukariri cha msingi hapa ni kuwa wazalendo kwa kulipa kodi stahiki basi.
Hiyoo ndiyoo akilii ya kitotoo ambayoo vijiccm vinavyooo mnahisi kwamba hii nchiii ni yenuuu lkn kila kituu kina mwishooo kama mugabe ameondokaa sembuse CCMHili limekaa kimajungu Sana na sidhani kama linawezekana.... kodi inatozwa kwa mujibu wa sheria, hivyo ofsa akifanya makadirio muulize ni kulingana kifungu kip cha sheria.....
Hapa naona unachotaka ni kuigombanisha tu Tra na Serikali..... Pia wanakuwaga na email yao yani huduma@tra.go.tz.....tuma madukudu yako huku...... Huwa wanafanyia kazi...... Au wapigie customer care yao 0800780078.
Weka document hapa mbona unaleta blabla nyingi?.... Hakuna kitu kama hicho...unatuonyesha kuwa hajui hata unachokisema.... Ni ushabiki tuhivi we chizi kichwa chako kina karatasi au ubongo?
yaan mzigo wa million 10, alafu kodi m 16 n sahihi?,
ama kweli nimeamin mtaji wa ccm n misukule yenye akili mfu kama hii
wewe ndio wale wale wa kula kulala kwa shemeji hamjui maisha,mixigo mingi imeozea bandarini Kodi sio rafiki KBSWeka document hapa mbona unaleta blabla nyingi?.... Hakuna kitu kama hicho...unatuonyesha kuwa hajui hata unachokisema.... Ni ushabiki tu
Mbona unakimbia point ya msingi?.... Weka ushahid hapa....Kama sio kwamba umehadithiwa na shangaz yako....halaf wala hukumsikiliza vzrwewe ndio wale wale wa kula kulala kwa shemeji hamjui maisha,mixigo mingi imeozea bandarini Kodi sio rafiki KBS
Email hiyo ni moja ya upuuzi tu.Hazifanyiwi kazi,na hazina security yoyote kwa mtoa taarifa.TRA ni watu wa kumulikwa na tochi kali.Lazima watu wafanye kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu na siyo hisia na kukomoana.Lengo lao ni kuhujumu serikali.Hawakusanyi kwa uaminifu na ufanisi.Wamejaa hila na ubabe usio na msingi.Kama atawaacha waendelee kuwa hivyo na awaache tu Ila kweli hawa jamaa wanaharibu sanaHapa naona unachotaka ni kuigombanisha tu Tra na Serikali..... Pia wanakuwaga na email yao yani huduma@tra.go.tz.....tuma madukudu yako huku...... Huwa wanafanyia kazi...... Au wapigie customer care yao 0800780078.
Bandari ikileta mizigo mingi hii kodi ndogo ndogo ingesaidia uchumi na pia mzunguko wa pesa ndani. Ni kheri kutumia bandari ya Mombasa us huru unaeleweka
Bila shaka uwezo wako wa kufikiri ni mdogo. Mzigo wa $4,600 ambao kwa hela za TZ ni kama sh 10M sawa inakuwaje kodi ikawa million 16.Mlizoea mteremko lipeni kodi kwa maendeleo ya Taifa.
Ungetaka mfumo uweje,toa mawazo yako basi,usiishie tu kusema mfumo mbaya wa uchumi,mfumo upi unao ona wewe unafaa?Hakuna cha Chadema wala CCM bali mfumo mbovu wa Uchumi.
Turudi kwenye capitalism na free marketUngetaka mfumo uweje,toa mawazo yako basi,usiishie tu kusema mfumo mbaya wa uchumi,mfumo upi unao ona wewe unafaa?
Kutumbuliwa sio issue mkuu,kama wewe huna tatizo kwa nini uwe na hofu ya kutumbuliwa?Kama wana hofu ya kutumbuliwa kuna shida!Nyie msi walaumu TIARAEI.
Tatizo ni target wanazo pewa na hofu ya kutumbuliwa.
Mm kama mfanyabiashara ni kweli tuba hali ngumu sana sana.
Jamaa wakija kwako ni shiida sio suala la rushwa ila wanataka waonekane wanafanya kazi.
Mkuu mbona mfumo tulionao ni free market because prices of goods and services are not controlled by the government,they are controlled by supply and demand in the market place.Halafuu, our political and economic system is capitalism although on paper it is socialism.Mkuu uchumi wetu kwa kiwango kikubwa uko controlled by the private sector, not by the government.Infact the government is encouraging the private sector to invest more and is is trying hard to create a conducive environment for them to do just that.Turudi kwenye capitalism na free market