Hapa naona unachotaka ni kuigombanisha tu Tra na Serikali..... Pia wanakuwaga na email yao yani huduma@tra.go.tz.....tuma madukudu yako huku...... Huwa wanafanyia kazi...... Au wapigie customer care yao 0800780078.
Kwahiyo hata yule msukuma mkuregenzi mkuu aliyechaguliwa na Magu ni mchadema?Machadema yamejaa tele TRA. Ajenda yao sasa ni kuwakomoa wafanyabiashara. Wakishakomoka watakuwa wanailaumu serikali ya ccm. Hivyo itakosa ubora machoni pa wengi
Vyombo vinavyohusika navyo vinaweza kulifanyia kazi hili, ama machadema yamejaa au hawana maarifa, ujuzi na nk.
Magufuli kazi kwako. Kama unawazungusha wale wale wa ujuzi, maarifa, tekniki zile zile unaenda kufeli, and big failure
Ndio maneno yenu hayo mmekaririshana tumeshawazoea.Dogo bila shaka unakula kwa shemeji wewe
Hili limekaa kimajungu Sana na sidhani kama linawezekana.... kodi inatozwa kwa mujibu wa sheria, hivyo ofsa akifanya makadirio muulize ni kulingana kifungu kip cha sheria.....Machadema yamejaa TRA. Unategemea nini?
hilo ndo la msingimkuuu tulipe kwa kwa hakii na kwa mujibu wa sheria
how far are you sure????????ACHA kuharisha jf mtu WANGU, hujui kaa kimya, hujawahi hata kuuza wembe halafu unaharisha.
DUH!!Machadema yamejaa TRA. Unategemea nini?
Hawa jamaa wanataka mahindi uweke ujazo wa kilo 90 wakikuta hata imezidi kilo 5 faini inafikia mpaka laki 5.ninachoshindwa kuelewa ujazo huu ni kwa faida ya nani?Duh! Pole zake. Bado na hawa wa mizani na vipimo. Wanawaumiza kweli wafanyabiashara wa mazao kwa kuwabambika kesi zisizo na msingi.
mbona suala ya mambo ya nchi, mambo ya taifa unaingiza vyama, sasa unataka kusema ccm au vyama vingine hawamo humo? acha hizo mkuu, nchi yetu 1 usilete mambo ya kibaguzi, tukae pa1 tujenge nchi yetu, msipende kubaguana, kitu chochote mnakimbilia siasa, hatutafika popoteMachadema yamejaa TRA. Unategemea nini?
Kwa nn ww uzidishe?..... Unapewa nafasi ya kufanya declaration unadanganya..... Tujifunze kuwa wakweli...na ndo maana ya hizo penalty......hawa tra wa watu mnawasingizia bure tu.... Mfano unaenda dukani watu hawataki kutoa risiti.... Wakipigwa penalty wanalalamika..... Wakati machine anayo Lakini kwa makusudi hatoi risit labda kwa kudai Sana na ugomvi.... Nasema TRA fanyeni kazi..... Bado hatujanyooka....hiz ni kelele tu tena za kishabikiHawa jamaa wanataka mahindi uweke ujazo wa kilo 90 wakikuta hata imezidi kilo 5 faini inafikia mpaka laki 5.ninachoshindwa kuelewa ujazo huu ni kwa faida ya nani?
Inaonekana wewe ni mtu wa kijiweni hujui maana ya biasharaKwa nn ww uzidishe?..... Unapewa nafasi ya kufanya declaration unadanganya..... Tujifunze kuwa wakweli...na ndo maana ya hizo penalty......hawa tra wa watu mnawasingizia bure tu.... Mfano unaenda dukani watu hawataki kutoa risiti.... Wakipigwa penalty wanalalamika..... Wakati machine anayo Lakini kwa makusudi hatoi risit labda kwa kudai Sana na ugomvi.... Nasema TRA fanyeni kazi..... Bado hatujanyooka....hiz ni kelele tu tena za kishabiki