Commodores
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 289
- 335
What do you mean by free market wakati serikali inatamaa ya kufanya biashara kama private sector. Leo tender zote za ujenzi zinapewa TBA na SUMA JKT. Leo serikali inazuia wakulima kutafuta soko nje ya kuuza mazao yao mfano wakulima wa mahindi huko mikoa ya kusini; wafanyabiashara wa samaki wamewekewa striction ya kutosafirisha samaki au dagaaa bila so called kibali..Mkuu mbona mfumo tulionao ni free market because prices of goods and services are not controlled by the government,they are controlled by supply and demand in the market place.Halafuu, our political and economic system is capitalism although on paper it is socialism.Mkuu uchumi wetu kwa kiwango kikubwa uko controlled by the private sector, not by the government.Infact the government is encouraging the private sector to invest more and is is trying hard to create a conducive environment for them to do just that.
Inaelekea mkuu you are just there to criticise,sio kujenga,kwa kuwa inaelekea hujui hata unachoongelea.We want constrictive criticism.
Hiyo free market unayo ni theoretically not practically. CCM ni chama hakina dira maalum kwa uchumi wa Tanzania