Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Kuna jamaa yangu juzi kati alikua anatokea nje ya nchi,kufika airport tra walipomkagua kwenye bag lake wakakuta mashati 4 mapya,wakamuambia ayalipie kodi 


Sidhani kama uliwahi kufanya biasahara yoyote na kukumbana na adha ya TRA na sidhani kama una hata chembe ya wazo la biasahara! sidhani hata kama unajifahamu vzr na sidhani kama unajua tamati ya maisha yako huko mbeleni. Inaonekana wewe nibora kumekucha na ni bendera fuata upepo.Mlizoea mteremko lipeni kodi kwa maendeleo ya Taifa.
Huku kwetu Tandika wameanza kuwatwanga faini ya milion 3 hata wauza maandazi na chai kwa kutokuwa na Machine za EFD , ukiwa unauza kahawa na kashata na ukaweka viti hata viwili tu , TRA Temeke inaona hiyo ni hotel , ni aibu sana !Ni kweli, na biashara nyingi zinakufa. Thank you to TRA
Ifike mahali,wafanyabiasha waanze kutumia wataalamu.Sio kwasababu umeweza kupata mtaji wa kufanya biashara,basi umeshakuwa Mhuasibu,mtaalamu wa kodi,mtaalamu wa shipping.Bongo ni kawaida sana kukuta mfanyabiasha mwenye Turn over ya zaidi million 500,lakini hana Muhasibu wa file hata moja lenye document za biashara yake.
Mkuu,sijawalaumu bali nimetoa ushauri.Zama hizi kama mfanyabiashara huweki vizuri vitabu vyako vya mahesabu ya biashara,hakika TRA watakufirisi.Ungewasaidia Kaliko kuwalaaumu
Huku kukabana na kubambikiwa ni sera rasmi ya awamu hii. Kosa ni pale pa kufikiria anaowakomoa ni wapinzani tuHali ya TRA bandarini na Airport ni mbaya sana. Wanaoleta mizigo toka nje wanalia sana. Mimi nafanya kazi humu ndani lakini naona bora nijiuzulu jinsi watu wanavyodhulumiwa. Dhamira inanisuta.
Hakuna mfumo wa ushuru, uliopo haufwatei. watu wanalazimishwa kufanya uhuni kuwalazimishia wafanyabiashara ushuru mkubwa ambao haupo, na hii ndio inayochangia mapato kushuka, maana baada ya kubambikiza mtu atapata hasara na kuhacha kuagiza bidhaa.
Kuna mdada aliagiza bidhaa ambazo zilikuwa za thamani ya $4,600, alibambikiziwa ushuru 16million. Dada kashindwa kulipa na kuondoka, dada wa watu kalia kaa mtoto mdogo, mtaji wote kapoteza, hajui pa kuanzia. Dada ni single mother, kazi alipunguzwa na Magu kaingia biashara nayo mtaji wote kapoteza.
Nadhani ni muda muhafaka wa Bunge na chama tawala CCM kuingilia utendaji wa TRA Jamani TRA siyo pa kuleta mizigo tena. Waonye wafanya biashara, hali ni tete, hawa ni sawa Police traffic sasa hivi kwa dhuluma. CCM wasipoingilia, basi wataona mwisho wao, maana hapa ndani ya TRA kuna madudu.wanaichonganisha CCM na wananchi
Asante mkuu.Ni kweli hujuma za kufa mtu zipo, wala sio TRA tu,ila ni kila penye mkono wa kinachoitwa utumishi wa umma,mfanyibiashara makubwa na hata CCM.The government must do something tena drastic,vinginevyo chuki ya wananchi kwa serikali yao itazidi kuongezeka.Nadhani mtandao huu wa hujuma ni mkubwa sana na inaelekea ni well organized.They could be focussing on 2020.Hali ya TRA bandarini na Airport ni mbaya sana. Wanaoleta mizigo toka nje wanalia sana. Mimi nafanya kazi humu ndani lakini naona bora nijiuzulu jinsi watu wanavyodhulumiwa. Dhamira inanisuta.
Hakuna mfumo wa ushuru, uliopo haufwatei. watu wanalazimishwa kufanya uhuni kuwalazimishia wafanyabiashara ushuru mkubwa ambao haupo, na hii ndio inayochangia mapato kushuka, maana baada ya kubambikiza mtu atapata hasara na kuhacha kuagiza bidhaa.
Kuna mdada aliagiza bidhaa ambazo zilikuwa za thamani ya $4,600, alibambikiziwa ushuru 16million. Dada kashindwa kulipa na kuondoka, dada wa watu kalia kaa mtoto mdogo, mtaji wote kapoteza, hajui pa kuanzia. Dada ni single mother, kazi alipunguzwa na Magu kaingia biashara nayo mtaji wote kapoteza.
Nadhani ni muda muhafaka wa Bunge na chama tawala CCM kuingilia utendaji wa TRA Jamani TRA siyo pa kuleta mizigo tena. Waonye wafanya biashara, hali ni tete, hawa ni sawa Police traffic sasa hivi kwa dhuluma. CCM wasipoingilia, basi wataona mwisho wao, maana hapa ndani ya TRA kuna madudu.wanaichonganisha CCM na wananchi
Machadema yamejaa TRA. Unategemea nini?
Kama hizo habari siyo za ukweli utakua unalichonganisha taifa lako na wananchi wake
Mkuu umeandika kwa uchungu sana haswa juu ya huyo dada. Juzi kuna polisi wamekamata daladala, halafu wanaanza kuwashika mashati yao wakisema kwa sababu ya huu uchafu kwenye kola ya shati la konda inabidi wapigwe faini.Hali ya TRA bandarini na Airport ni mbaya sana. Wanaoleta mizigo toka nje wanalia sana. Mimi nafanya kazi humu ndani lakini naona bora nijiuzulu jinsi watu wanavyodhulumiwa. Dhamira inanisuta.
Hakuna mfumo wa ushuru, uliopo haufwatei. watu wanalazimishwa kufanya uhuni kuwalazimishia wafanyabiashara ushuru mkubwa ambao haupo, na hii ndio inayochangia mapato kushuka, maana baada ya kubambikiza mtu atapata hasara na kuhacha kuagiza bidhaa.
Kuna mdada aliagiza bidhaa ambazo zilikuwa za thamani ya $4,600, alibambikiziwa ushuru 16million. Dada kashindwa kulipa na kuondoka, dada wa watu kalia kaa mtoto mdogo, mtaji wote kapoteza, hajui pa kuanzia. Dada ni single mother, kazi alipunguzwa na Magu kaingia biashara nayo mtaji wote kapoteza.
Nadhani ni muda muhafaka wa Bunge na chama tawala CCM kuingilia utendaji wa TRA Jamani TRA siyo pa kuleta mizigo tena. Waonye wafanya biashara, hali ni tete, hawa ni sawa Police traffic sasa hivi kwa dhuluma. CCM wasipoingilia, basi wataona mwisho wao, maana hapa ndani ya TRA kuna madudu.wanaichonganisha CCM na wananchi
Akili zako mavi kweliMachadema yamejaa tele TRA. Ajenda yao sasa ni kuwakomoa wafanyabiashara. Wakishakomoka watakuwa wanailaumu serikali ya ccm. Hivyo itakosa ubora machoni pa wengi
Vyombo vinavyohusika navyo vinaweza kulifanyia kazi hili, ama machadema yamejaa au hawana maarifa, ujuzi na nk.
Magufuli kazi kwako. Kama unawazungusha wale wale wa ujuzi, maarifa, tekniki zile zile unaenda kufeli, and big failure
CCM ndio chanzo cha tatizo kuu la kufeli kwa kila kitu nchini. Acheni kuwasingizia TRA. TRA wao ni watekelezaji tu wa amri na sera za CCM.Mkuu umeandika kwa uchungu sana haswa juu ya huyo dada. Juzi kuna polisi wamekamata daladala, halafu wanaanza kuwashika mashati yao wakisema kwa sababu ya huu uchafu kwenye kola ya shati la konda inabidi wapigwe faini.
Sasa katika jua la Dar na aina ya nguo wanazovaa yule konda anaweza vipi kufanya kazi na nguo safi siku nzima ya kazi?.
Kuna uonevu mkubwa sana kwenye hizi mamlaka, lakini hii ni spirit wanayoitoa kwa wakuu kabisa wanaoidhinisha mishahara yao. TRA ya sasa haina ubunifu wa upatikanaji wa mapato, kibaya zaidi hata maoni ya wabunge wa CCM yamekuwa yakirudiwarudiwa kila mwaka, hakuna wa kuyafanyia kazi.
Kuna kiburi fulani ambacho hakina faida, at the end of the day wafanyabiashara wakubwa wanakimbilia bandari za nchi jirani, na hawa wadogo ambao mitaji yao ni ya kudunduliza wanaishia kufunga biashara zao!.
Hakuna anayeumizwa na kufilisika kwao kwa sababu ya kiburi nilichokiongelea hapo juu. Hakuna anayejiuliza baada ya miaka mitatu kuanzia sasa hali itakuwaje, ikiwa hakutakuwa na ingizo la tabaka jingine la wafanya biashara kwani kasi ya ufungaji wa biashara na kubwa kuliko ya uanzishwaje.
Mimi ni shabiki mkubwa wa CCM na sera zake, lakini kwenye hili la TRA na stubbornness ya serikali, ni lazima niyaseme yaliyo ndani ya moyo.
Zishathibitishwa na boss mkuuKama hizo habari siyo za ukweli utakua unalichonganisha taifa lako na wananchi wake