CCM, TRA inawahujumu na itawaangusha

CCM, TRA inawahujumu na itawaangusha

Mimi nilisha achia zaidi ya magari 4 miaka 2 iliyopita nikachanganyikiwa hadi nikasahau na kuzoea na kuanza A. Unanunua gari $2600 lipo Dar, ushuru $4,600!!!
duu Mungu tunusuru
 
Mtoa post naamini kua kuna ngazi za juu endapo mteja hajaridhika na alichotendewa na ngazi za chini.Umetaja polisi na TRA lkn hujaweka ushahidi wowote. Unasema umeniuzulu lkn hujaonyesha ulikua unafanya kazi gani iliyokusababisha ufanye hivyo na yenye mahusiano na unacholalamikia hapa. Ukisoma ulichoandika ni kitu ulichokifanya kwa mhemuko na msukumo wa kisiasa zaidi kuliko hali halisi na km unabisha weka ushahidi hapa.
Hakuna msukumo wa kisiasa hiyo ni fact. Wakuu wa Idara zote wamewekewa malengo ya kukusanya kodi ambayo ni ya juu sana inabidii na wao wapige kodi za juu. Ukichunguza mzunguko wa kifedha (buying and selling) upo chini sana sasa unategemea hiyo kodi itatoka wapi. Wafanyabiashara kutoka DRC na Zambia walikuwa wanakuja kununua bidhaa kariakoo kwasasa hawaji jiulize why. Mheshimiwa Rais Magufuli achukue hatua za haraka la sivyo uchumi utazidi kudorora. Bandari ya Dar sehemu kubwa ya kazi yao ni mizigo ya Transit tu.
 
Informer soure! Hata huku mtaa ni mwendo wa kupigwa tu. Juzi walimtuma kijana wao dukan akanunua bidhaa na kutoka nduki hata bila kudai receipt, nilimsoma na kutoa receipt hapo hapo ile anarudi na wenzie wanajidai wamemkamata nikawambia nimtolea receipt lkn alikimbia na kuacha.
Kma imefkia hapo basi hawana nia njema na wafanya biashara.
 
Hakuna msukumo wa kisiasa hiyo ni fact. Wakuu wa Idara zote wamewekewa malengo ya kukusanya kodi ambayo ni ya juu sana inabidii na wao wapige kodi za juu. Ukichunguza mzunguko wa kifedha (buying and selling) upo chini sana sasa unategemea hiyo kodi itatoka wapi. Wafanyabiashara kutoka DRC na Zambia walikuwa wanakuja kununua bidhaa kariakoo kwasasa hawaji jiulize why. Mheshimiwa Rais Magufuli achukue hatua za haraka la sivyo uchumi utazidi kudorora. Bandari ya Dar sehemu kubwa ya kazi yao ni mizigo ya Transit tu.
Weka ushahidi tu manake maneno mengi hayasaidii
 
Informer soure! Hata huku mtaa ni mwendo wa kupigwa tu. Juzi walimtuma kijana wao dukan akanunua bidhaa na kutoka nduki hata bila kudai receipt, nilimsoma na kutoa receipt hapo hapo ile anarudi na wenzie wanajidai wamemkamata nikawambia nimtolea receipt lkn alikimbia na kuacha.
Hahaa...siku nyingine umzabue kofi
 
Mkuu ni kweli kwamba CDM walio wengi wanamhujumi JPM,lakini naamini pia kwamba si wote.Wapo CDM wanaomuunga Rais mkono kwa kazi nzuri anayoifanya.Lakini ni kweli pia kwamba wapo CCM wengi wanaomhujumu Rais!Hawa ni wale waliofaidika sana na mifumo na utendaji mbovu wa awamu zilizopita,hasa awamu ya tatu na nne.Kwa hiyo si kweli kwamba ni wanachama wa CDM tu wanaomhujumu Rais,hata wanachama wa CCM wanamhujumu.Infact si wanachama wa vyama hivyo tu wanaomhujumu,ila ni wale wote waliofaidika kwa njia moja au nyingine na utendaji mbovu wa awamu za tatu na nne.Swali zito ni watatambuliwaje ili waweze kuondolewa kwenye utumishi si TRA tu, ila popote walipo?
Hakuna cha Chadema wala CCM bali mfumo mbovu wa Uchumi.
 
Nilikuwa naamini kwamba somehow somewhere serikali inahujumiwa.Hii imehakikisha mawazo yangu.Ni tatizo la "old wine in a new bottle!" Nimekuwa natafakari kwa kina sana serikali ifanye nini,ifukuze wafanyakazi wote wa zamani ianze upya?Haiwezekani, kwa kuwa it's a very expensive exercise. Screening nayo kujua nani yuko pro-government ni ngumu.Dah,ni mziki mzito.Mungu atusaidie.Kazi ni ngumu sana.
Nyie msi walaumu TIARAEI.
Tatizo ni target wanazo pewa na hofu ya kutumbuliwa.
Mm kama mfanyabiashara ni kweli tuba hali ngumu sana sana.
Jamaa wakija kwako ni shiida sio suala la rushwa ila wanataka waonekane wanafanya kazi.
 
Mtoa post naamini kua kuna ngazi za juu endapo mteja hajaridhika na alichotendewa na ngazi za chini.Umetaja polisi na TRA lkn hujaweka ushahidi wowote. Unasema umeniuzulu lkn hujaonyesha ulikua unafanya kazi gani iliyokusababisha ufanye hivyo na yenye mahusiano na unacholalamikia hapa. Ukisoma ulichoandika ni kitu ulichokifanya kwa mhemuko na msukumo wa kisiasa zaidi kuliko hali halisi na km unabisha weka ushahidi hapa.
Huyu aliyeandika hapa kulingana na maelezo yake bila shaka ni mfanyakazi wa TRA.Alishihudia huo ubambikaji.Why in the first place msiweke matozo halali mpaka tuanze kuAppeal na kupelekana kwa maboss?
 
Nyie msi walaumu TIARAEI.
Tatizo ni target wanazo pewa na hofu ya kutumbuliwa.
Mm kama mfanyabiashara ni kweli tuba hali ngumu sana sana.
Jamaa wakija kwako ni shiida sio suala la rushwa ila wanataka waonekane wanafanya kazi.
Kuonekana kufanya kazi ni pamoja na kusimamia kwenye haki.Kwanini wafanye uonevu?
 
U


Umasikini unakusumbua
Lipa kodi kwa maendeleo ya nchi,hizo porojo zenu na ujanjaujanja wa kijinga umepitwa na wakati.

Poleni kwa kushikwa pabaya.

Tunajenga nchi,Tanzania kwanza.
 
Ushahidi usikae kwenye vijiwe vya kahawa zunguka ufanye mahojiano na research na wafanyabiashara na wafanyakazi wa TRA utapata jibu.
Wewe ndiye uliyeleta hoja km sikosei,vivyohivyo jukumu la kuithibotisha ni lako si la mtu mwingine.Please weka ushahidi manake who aserts must proof
 
Mlizoea mteremko lipeni kodi kwa maendeleo ya Taifa.

Mzigo wa $4600 kodi milioni 16, halafu unawaambia watu walipe kodi..
Mkuu hujawahi kufanya biashara, na kama ungekuwa mfanya biashara ungejua kwa nini watu hukwepa kodi..
Kodi Tanzania sio rafiki kuanzia kwa mfanya biashara mpaka mfanyakazi, tukiwa na mawazo huru tutajenga hii nchi..
 
Toa maelezo ya kutosha na yaliyosheheni ndo ueleweke
 
Muda mwingine naona kama TRA inalaumiwa bureeeeee... ili kuondosha mzigo inatakiwa taasisi nyingine kama TBS au TFDA na zingine...
 
Alianza sumri kauza mabasi kaenda kulima, sasa hivi katagi zinauzwa nae kaenda kulima, muro kabakiza zakuleta hela ya mboga, happy nation nae kauza, green star kauza, hajjs kayakatakata screpa, bado mnawadanganya watu kuwa mnakusanya kodi? Muda sio mrefu mtarudisha kodi ya kichwa.
 
Back
Top Bottom