Salaam, Shalom!!
Jana 2/1/2024, wamesikika viongozi wawili wa chama Cha MAPINDUZI Mzee Kinana na Ndugu Majaliwa Kassim,wakiibua HOJA ya kuzuia wagombea na watia Nia wengine ndani ya chama kutokudiriki kuchukua fomu ya ugombea urais, Kwamba itachapishwa fomu Moja tu Kwa Sa100.
Kwa kuwa hatukuwahi kufiwa na Rais aliyepo madarakani, na Kwakuwa sa100 hakupita mchujo ndani ya chama kama mgombea urais2020 Bali kama mpambe wa mgombea Urais, IPO haja ya kuruhusu wagombea wengine wamchukue fomu na mchujo upite.
HOFU ya HOJA ya kuchapisha Jina Moja Kwa mgombea wa CCM inatoka wapi ilhali mkt ana kofia mbili?
Hivi ikitokea mgombea huyo ameghairi kugombea, mtarudisha vp mchakato wakati mmeshapiga stop watia Nia wengine?
Tukiendelea na mawazo haya, vyama vya upinzani IPO siku wagombea Urais watazuiwa kuchukua fomu Ili kumrahisishia njia mgombea wa CCM mwenye HOFU ya changamoto ya upinzani ndani na nje ya chama.
Karibuni 🙏
Jana 2/1/2024, wamesikika viongozi wawili wa chama Cha MAPINDUZI Mzee Kinana na Ndugu Majaliwa Kassim,wakiibua HOJA ya kuzuia wagombea na watia Nia wengine ndani ya chama kutokudiriki kuchukua fomu ya ugombea urais, Kwamba itachapishwa fomu Moja tu Kwa Sa100.
Kwa kuwa hatukuwahi kufiwa na Rais aliyepo madarakani, na Kwakuwa sa100 hakupita mchujo ndani ya chama kama mgombea urais2020 Bali kama mpambe wa mgombea Urais, IPO haja ya kuruhusu wagombea wengine wamchukue fomu na mchujo upite.
HOFU ya HOJA ya kuchapisha Jina Moja Kwa mgombea wa CCM inatoka wapi ilhali mkt ana kofia mbili?
Hivi ikitokea mgombea huyo ameghairi kugombea, mtarudisha vp mchakato wakati mmeshapiga stop watia Nia wengine?
Tukiendelea na mawazo haya, vyama vya upinzani IPO siku wagombea Urais watazuiwa kuchukua fomu Ili kumrahisishia njia mgombea wa CCM mwenye HOFU ya changamoto ya upinzani ndani na nje ya chama.
Karibuni 🙏