CCM Maarufu: Utafiti wa Synovate wabainisha!

CCM Maarufu: Utafiti wa Synovate wabainisha!

Senz type nani anaimani na CCM subirin kifike kipind cha kampen kwenye midahalo kama Kenya...
 
Which political party do you feel closest to?!!!
hilo swali unamuuliza mtu alafu majibu yake unayaita kuwa ni umaarufu au kukubalika kwa chama?!!!
nadhan hata mtu anayefanya project ya form four hawez kuwa na research ya kipumbavu kama hii?
 
Nitumi email yako nikupe report kamli, with sample selection method, sample quality, timeframe na mengine yote. 🙂I have seen it, and I believe they have respected international standards in this regards. To me the results are sahihi.

Mwali...statistics can be cooked, no matter how represantative your sample is (japo siamini...more that two-third of the respondents were from Rural areas ambako access ya infortion kama magazeti, redio, television bado ni tatizo)...I am a researcher, I know. I worked with Synovate in few Projects, ni wapishi wazuri wa results..kama kuna mtu wa Synovate humu aje tubishane and am ready hata kureveal identity yangu, naamini atakuwa ananifahamu!

Lakini kwa logic tu...55% of the respondents said 'Election of CCM NEC' was free and fair! Hata mwenyekiti mwenyewe JK alilalamikia rushwa kwenye uchaguzi wa NEC, umoja wa vijana CCM ndio mpaka walitaka kupigana...uchaguzi gani huo ulikuwa 'fair and free' to 55% of the Tanzania population?!
 
Kichwa cha mada kinapotosha sana. CCM maarufu au umaarufu wa CCM umeporomoka? Chama tawala kuwa na acceptance level ya 52% sio jambo la kushangilia kwa chama hicho. It is a huge huge thing. By the time elections come CCM will have less than 30% and end this corrupt regime
 
Haitatokea hata siku moja hawa jamaa wakasema ccm imeshuka umaarufu ama wakaiweka ya pili ama ya 3 labda itoke madarakani, kwani najua na naamini wakitoa takwimu flani ni lazima nyuma yao wako ccm
 
hapa kuna makundi mawili ambapo moja linaongezeka kwa kasi na lingine linapungua.
Moja ni wale wanaogawiwa pila na kanga na lingine ni lile la matokeo ya NECTA.

Hayo makundi yanatoa picha ya nini kinaweza kujiri hapo 2015 au hata kabla. Lakini pia tuangalie hiyo 52% inawachukua ccm miaka 50 against 31% iliyochukua miezi tu. Tuna kitu cha kujifunza hapa
 
hakuna ripoti.... ni uongo...

ndio mambo ya utafiti yalivyo
hata uchaguzi wa kenya,uhuru anaongoza kwa 44% dhidi ya mr clean Mzee odinga,hatuwezi kupingana wala kukubaliana nao,ni kuchapa kazi kwa sana tu
 
Asilimia 52 ya wananchi wote Tanzania? Really?

Wamejuaje hilo? Wamehoji wananchi wote Tanzania? Kivipi?

Tunacheka waliofeli Form Four wakati miswaki galore.

Unapotoa figures kama hizi, unatakiwa kutoa sample space, methodology na margin of error.

Basic shyt.

Tusitake kupelekana kama ng'ombe. Angalieni Gallup polls zinavyoripotiwa.

Hawa Synovate walikodiwa na CCM kufanya huu utafiti CHADEMA wameichomeka hapo kutimiza malengo ya CCM, lakini mimi sioni shida acha waendelee kujidanganya! Maswali karibia yote yanaihusu CCM, kama Dr. Slaa ndo atakayeshinda ukifanyika uchaguzi, inakuwaje chama chake kisiwe maarufu umaarufu wa chama uwe kwa ccm! Uongo mtupu!
 
Hizi takwimu niza hovyo kutolewa sasa serikali ya ccm ikiingiza inchi kwenye vita za kidini kwa kushindwa kusimamia sheria.
 
asilimia 60 na ushee ya watanzania hawaridhishwi na uendeshaji wa serikali-REPOA
 
kama vipi tuweke kura ya maoni humu JF kwa kutumia maswali haya haya Invisible
 
Last edited by a moderator:
Nipo interested kujua sampuli, waliohojiwa walitokana na makundi gani ktk jamii, na ilikuwa katika mtawanyiko upi. Haiwezekani kuchukua sampuli kutoka sehemu moja na uka generalize kuwa ni maoni ya jamii nzima!
 
Nitumi email yako nikupe report kamli, with sample selection method, sample quality, timeframe na mengine yote. 🙂I have seen it, and I believe they have respected international standards in this regards. To me the results are sahihi.

Nakushahuri kama upo kwenye basi saa hizi, embu wAmbie abiria uone matokeo utakayo yapata.
Au kama utaenda baa leo ukifika jaribu tu kuuliza hapo baa matokeo utakayo yapata tuambie.

Ila ushahuri kwenye daladala tafadhali hakikisha upo karibu na mlango au dirisha maana kitakacho kupata nahisi huto kisahau maishani.
 
Nipo interested kujua sampuli, waliohojiwa walitokana na makundi gani ktk jamii, na ilikuwa katika mtawanyiko upi. Haiwezekani kuchukua sampuli kutoka sehemu moja na uka generalize kuwa ni maoni ya jamii nzima!

Nahisi ilifanyika dodoma tena kwenye ukumbi chimwaga.
 
Nitumi email yako nikupe report kamli, with sample selection method, sample quality, timeframe na mengine yote. 🙂I have seen it, and I believe they have respected international standards in this regards. To me the results are sahihi.

Synovate mwaka 2010 ilisema huko Kilombero Chadema iliongoza kwa 60%. CCM(Kampen meneja Kinana) ilipinga matokeo yale kwa jimbo hilo la Kilombero.Kwa kuwa walijiandaa kuchakachua matokeo yale. Safari hii wanasemaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom