CCM Maarufu: Utafiti wa Synovate wabainisha!

CCM Maarufu: Utafiti wa Synovate wabainisha!

Umaarufu wa CCM una manufaa gani kwa mtanzania wa kawaida kwa sasa wakati uchumi unazorota na maisha bora kwa kila mwananchi imekuwa ni ndoto za kusadikika tu???? Kama wameshindwa kutatua matatizo ya msingi ya wananchi kuna umuhimu gani wa kujivunia umaarufu???
 
data zimeanzia twitter na sisiem ndo wametwet fuatilia CCM-tanzania utaona tuu kiuhalisia.
 
Last edited by a moderator:
Nitumi email yako nikupe report kamli, with sample selection method, sample quality, timeframe na mengine yote. 🙂I have seen it, and I believe they have respected international standards in this regards. To me the results are sahihi.

Sasa hapo unaongelea kitu kingine ambacho hakipo hapa.

Ndiyo maana nikashangaa "utafiti" gani usio na vitu basic hivi. Sikutegemea gazeti litupe statistical jargon and some Penrose equations, lakini kutuambia watu wangapi wamehojiwa, wepi, hojaji ilikuwaje na wigo wa kosa ukoje ni vitu vya msingi kabisa.

Nitashukuru ukinipatia niidadavue zaidi.

Trust no one. Kibudabuda tu.
 
Kuwa maarufu au kuwa popular haina maana unatakiwa unaweza kuwa maarufu kwa mabaya

Safari hii watafiti watafanya study sambamba na za Synovate kwa kutumia njia za kisayansi hakuna atakubali vitu vya kupika tena spinning no more dear
 
Nitumi email yako nikupe report kamli, with sample selection method, sample quality, timeframe na mengine yote. 🙂I have seen it, and I believe they have respected international standards in this regards. To me the results are sahihi.

Kama niko sahihi Kiranga ameuliza Methodology yaani how well did they argue from the analysis of their data to draw, defend and/or generalise such a terrible conclusion). Kumbuka kuwa kuna vitu vingi sana vinavyohitajika ili kupata warranted inference, japokuwa hatuna research nzima, kwa dibaji hii tu iliyotolewa waweza kutambua uhalali wa kazi nzima. Kitu cha muhimu katika research ni methodology na sio methods, waweza kuwa na methods and data nzuri lakini bado ukashindwa ku-draw/generalise warrantable inference. Binafsi si supporter wa vyama vya siasa lakini naamini hii kazi yao itakuwa na walakini mkubwa wa kiufundi, kama hutojali nami naomba un-ipm nakala na unipe ruhusa ya kui-critique hapa jamvini, Kiranga nitaomba msaada wako tufanye hii kazi pamoja kama muhusika kweli atatutumia nakala.
 
Nimeisoma hiyo ripoti ila du, analysis yako inaonekana kuwa na ushabiki mwingi na kubadilisha maana kabisa ya matokeo ya utafiti huo. Hivi chama kuendelea kuwa maarufu sana duniani na katikati yake ni dimbwi la umaskini na ufukara kwa watu wake ina maanisha nini? tumieni umaarufu uliopo kubadilisha maisha ya watu wenu ili umaarufu wenu duniani uwe na maana.

Taarifa za kichunguzi bado zinaonyesha kuwa pamoja na pato la taifa kukuwa kwa kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na Tanzania bado idadi ya maskini Tanzania leo ni zaidi ya miaka 10 iliyopita. Katika hali hii chama tawala bado kinasherehekea umaarufu wake duniani.
 
Mimi na jamii inayonizunguka hapa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameshahojiwa na hawa Synovate!! Huu ni uongo mtakatifu!? Kawadanganye waliolala, sio Watz wa leo!!
 
Nimeisoma hiyo ripoti ila du, analysis yako inaonekana kuwa na ushabiki mwingi na kubadilisha maana kabisa ya matokeo ya utafiti huo. Hivi chama kuendelea kuwa maarufu sana duniani na katikati yake ni dimbwi la umaskini na ufukara kwa watu wake ina maanisha nini? tumieni umaarufu uliopo kubadilisha maisha ya watu wenu ili umaarufu wenu duniani uwe na maana.

Taarifa za kichunguzi bado zinaonyesha kuwa pamoja na pato la taifa kukuwa kwa kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na Tanzania bado idadi ya maskini Tanzania leo ni zaidi ya miaka 10 iliyopita. Katika hali hii chama tawala bado kinasherehekea umaarufu wake duniani.
.
Tumeshahoji sana Mwananchi watupe Sampling wako kimya, Hata huyu TandaleOne nae Kimya. Mie nadhani magazeti ya ache kupika sana vitu, yanaleta mkanganyiko Kwa jamii
 
Last edited by a moderator:
Sina uhakika Na Hili ila nadhani Ofisi zote Za Synovate EA ziko bize Na uchaguzi wa keshokutwa KENYA. Kwa sasa wanafanya tafiti Za uungwaji Mkono wagombea Out of Kenya baada ya juzi ya Ndani as KURA YA maoni ya Synovate kuonyesha Uhuru Kenyatta amepanda hadi 44.8%, juu ya Raila Odinga 44.4%. Mudavadi 5.2%, Kenneth 1.6% Karua 0.8%.

Mengine yanayoendelea mmmh..! Sijui labda Kuna Synovate nyingine siijui..

Please TandaleOne Au Mwali mni pm hiyo sampling niiwasiliahe Kama ni Yao .. Mie niko mwazi sana .. Napenda kweli iwe kweli Na jamii ipokee kilicho kweli.
Mchungaji, waulize wametumia sampling ya aina gani? Stratified? kwa kuangalia nguo za kijani au vipi?
 
labda kama utafiti wameufanyia kwenye mikutano ya ccm na kwenye ofisi yao pale lumumba
 
wanachofanya ccm(synovate)ni kuwajibu mwananchi kwa ule utafiti wao kuwa slaa anaongoza(sina uhakika mwananchi walizipata wapi!
 
Mods;
Hamishieni uzi huu kwenye ule ulioanzishwa na kbm, wenye kichwa cha habari "Synovate: Vinara tisa urais 2015"
 
Tunaomba methodology ya huo utafiti tujue kama results are valid
 
Waaay!Watafiti wenyewe synovate???HAMNA UTAFITI HAPO NI PROPAGANDA TU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom