Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,120
- 12,548
Ni muda sasa wakuambiana ukweli.
Na ukweli ni kwamba sikweli kuwa changamoto na matatizo ya Watanzania yatatamatika pale CCM itakapo toka madarakani.
Mtanzania ana matatizo na changamoto za aina mbili zinazo mkabili
Moja changamoto ya yeye kuwa Mtanzania pale tu utakapo kuwa Mtanzania kuna changamoto za kurithi unapata kutoka vizazi vilivyo pita na hizi ni changamoto zaidi za kitamaduni na mtindo wa maisha.
Pili kuna changamoto za kuwa mwafrika mweusi hizi ni changamoto ambazo utazikuta ukienda Malawi, ukienda Zambia, ukienda Ghana na sehemu yoyote ilipo jamii kubwa ya watu weusi.
Hivyo kutoka CCM madarakani haimaanishi chama kitakacho ingia kitakuwa hakina changamoto hizo.
Changamoto hizo mbili zipo kwa Watanzania waliopo CCM na Watanzania waliopo vyama vingine na hata wasio na vyama.
Mfano suala la kutawaliwa na chama kimoja halijaweza kuwa tatizo kwa China kuwa superpower duniani, halijaweza kuwa tatizo kwa Singapore kuwa na uchumi mkubwa, halijaweza kuwa tatizo kwa Vietnam uchumi wake kukua kwa kasi, halijaweza kuwa tatizo kwa Korea kujiimarisha kiulinzi, kiteknolojia na kiviwanda, halikuweza kuwa tatizo kwa Japan kukua na uchumi mkubwa, halikuwa kizuizi kwa Taiwan kupata maendeleo makubwa.
Lakini suala la chama kimoja kukaa muda mrefu kwetu lina onekana ni tatizo kwa nini ? Sababu hizo mbili zina athiri.
Kingine mabadiliko ya kivyama Afrika hayajaleta maendeleo ya kasi ya maendeleo ukilinganisha na hizo nchi nilizo tolea mfano ambazo zimeweza kuwa chini ya utawala wa chama kimoja kwa muda mrefu.
Malawi wamefanya mabadiliko, Kenya wamefanya mabadiliko, Zambia wamefanya mabadiliko lakini hizi nchi zote zipo katika cycle ile ile tuliyo nayo waafrika wengine.
Mnapaswa kufahamu sipingi mabadiliko ya kuitawala ila nipende kuwa kumbusha Tanzania, Watanzania, Africa na Mwafrika tuna changamoto na matatizo ya kiasili yanayo athiri mabadiliko na maendeleo yetu.
Muafrika aliyepo marekani ( black Americans) hana tofauti na mwafrika aliyepo Durban Afrika kusini.
Muhindi, muarab, mchina, mjapan, mzungu,mkorea aliyepo nje ya nchi yake hana tofauti na aliye ndani ya nchi yake kitamaduni, kufikiri na kutenda.
Waafrika na Watanzania tuna matatizo ya asili pale tu unapo zaliwa mwafrika na Mtanzania unazaliwa na matatizo ya kurithi.
Na ukweli ni kwamba sikweli kuwa changamoto na matatizo ya Watanzania yatatamatika pale CCM itakapo toka madarakani.
Mtanzania ana matatizo na changamoto za aina mbili zinazo mkabili
Moja changamoto ya yeye kuwa Mtanzania pale tu utakapo kuwa Mtanzania kuna changamoto za kurithi unapata kutoka vizazi vilivyo pita na hizi ni changamoto zaidi za kitamaduni na mtindo wa maisha.
Pili kuna changamoto za kuwa mwafrika mweusi hizi ni changamoto ambazo utazikuta ukienda Malawi, ukienda Zambia, ukienda Ghana na sehemu yoyote ilipo jamii kubwa ya watu weusi.
Hivyo kutoka CCM madarakani haimaanishi chama kitakacho ingia kitakuwa hakina changamoto hizo.
Changamoto hizo mbili zipo kwa Watanzania waliopo CCM na Watanzania waliopo vyama vingine na hata wasio na vyama.
Mfano suala la kutawaliwa na chama kimoja halijaweza kuwa tatizo kwa China kuwa superpower duniani, halijaweza kuwa tatizo kwa Singapore kuwa na uchumi mkubwa, halijaweza kuwa tatizo kwa Vietnam uchumi wake kukua kwa kasi, halijaweza kuwa tatizo kwa Korea kujiimarisha kiulinzi, kiteknolojia na kiviwanda, halikuweza kuwa tatizo kwa Japan kukua na uchumi mkubwa, halikuwa kizuizi kwa Taiwan kupata maendeleo makubwa.
Lakini suala la chama kimoja kukaa muda mrefu kwetu lina onekana ni tatizo kwa nini ? Sababu hizo mbili zina athiri.
Kingine mabadiliko ya kivyama Afrika hayajaleta maendeleo ya kasi ya maendeleo ukilinganisha na hizo nchi nilizo tolea mfano ambazo zimeweza kuwa chini ya utawala wa chama kimoja kwa muda mrefu.
Malawi wamefanya mabadiliko, Kenya wamefanya mabadiliko, Zambia wamefanya mabadiliko lakini hizi nchi zote zipo katika cycle ile ile tuliyo nayo waafrika wengine.
Mnapaswa kufahamu sipingi mabadiliko ya kuitawala ila nipende kuwa kumbusha Tanzania, Watanzania, Africa na Mwafrika tuna changamoto na matatizo ya kiasili yanayo athiri mabadiliko na maendeleo yetu.
Muafrika aliyepo marekani ( black Americans) hana tofauti na mwafrika aliyepo Durban Afrika kusini.
Muhindi, muarab, mchina, mjapan, mzungu,mkorea aliyepo nje ya nchi yake hana tofauti na aliye ndani ya nchi yake kitamaduni, kufikiri na kutenda.
Waafrika na Watanzania tuna matatizo ya asili pale tu unapo zaliwa mwafrika na Mtanzania unazaliwa na matatizo ya kurithi.