CCM kujivua ‘gamba’ Dodoma

CCM kujivua ‘gamba’ Dodoma

dr Slaa na CDM kwa ujumla kama chama na falsafa ya nguvu ya umma
 
Makwaiya wakuyenga..........
Hapo kwenye red Makwaia wa Kuhenga, umemweka hapa umenikumbusha makala zake nzuri pamoja na kitabu chake, cha ccm na mustakabali wa nchi yetu, jamaa japo ni mwanachama wa chama ambacho nami ni mwanachama, huwa anaandika kwa umakini na bila kumwangalia nyani usoni
 
Wengine ni wanaharakati walioko ndani na nje ya nji.
Samson Mwigamba.
Ayub Rioba
Absalom Kibanda
Jabir Idrissa
Lulandali mwananzela nk
 
Lula wa ndali mwananzela, Ayub ryoba, padr. P. karugemdo, Mabala wa Mabala.....
 
''Msomaji Raia'' anayeandika makala zake kwenye gazeti la Raia Mwema. Huyu pengine ndiye kiboko cha ccm.
 
Wengine ni wanaharakati walioko ndani na nje ya nji.
Samson Mwigamba.
Ayub Rioba
Absalom Kibanda
Jabir Idrissa
Lulandali mwananzela nk
Huyu jamaa niliye mbold kwa red color ni asiyevuma lakini yumo..ana makala makini sana kwenye gazeti la mwananchi kila Jumapili...........
 
....S.Rweyemamu je? Maana nasikia halikuwa akitoa siri za ikulu kwa baadhi ya wapiganaji...jamani huyu namshukuru pia........
 
ni kweli sumu is still there na nyoka wenyewe bado wako kwenye shimo lilelile so wataendelea kung'ata wananchi
 
Samwel Sita oooh sorry kumbe ni waandishi tu, nafuta kauli 🙂
 
Dr. Lwaitama teh! (Mchangiaji) Mwanachama mfu..
 
Katuni-April-13.jpg
 
Back
Top Bottom