CCM kujivua ‘gamba’ Dodoma

Wakati mwingine nyoka hutoa gamba kama ameumia ama kama kuna vilemea vinavyoweza mletea magonjwa (Parasites), basi nyoka hutoa gamba hilo. Kitendo cha kujivua gamba wakati mwingine huwa si kirahisi, Nyoka hulazimisha kujisugua kwenye mawe ama sehemu nyingine ngumu, na kama gamba likibakia kwenye macho basi nyoka huyo huwa kipofu kwa muda hadi gamba lile la kwenye macho (eye cap) litoke. Lakini Nyoka anavyozidi kukuwa sumu huwa inaongezeka ukali. Kujivua magamba hakuna uhusiano na ukali wa sumu. Sumu hubaki ile ile kama nyoka atapendeza kuwa na ngozi mwororo na kuongezeka hubakia na sumu ile ile.

Rev Fr Masanilo

Mchungaji Masanilo nimeipenda analysis yako. ila nina swali moja "CCM waliongelea magamba sawa? Mbona hawajawahi kuzungumzia SUMU? na hapo kwenye wekundu umeeleza vizuri kuhusu gamba lakini kwa makusudi unaendelea kufocus analysis yako kwenye sumu. gamba na sumu wapi na wapi? kuna uhusiano wowote kati ya gamba la nyoka na sumu yake kama unayoongelea?
naona kama problem statement, objectives, methodology na conclusion hazifanani hahahahahhahahha
 
Mchungaji Masanilo nimeipenda analysis yako. ila nina swali moja "CCM waliongelea magamba sawa? Mbona hawajawahi kuzungumzia SUMU? na hapo kwenye wekundu umeeleza vizuri kuhusu gamba lakini kwa makusudi unaendelea kufocus analysis yako kwenye sumu. gamba na sumu wapi na wapi? kuna uhusiano wowote kati ya gamba la nyoka na sumu yake kama unayoongelea?
naona kama problem statement, objectives, methodology na conclusion hazifanani hahahahahhahahha

Shida iliyo kwenye nyoka huwa ni SUMU! Magamba hayana madhara hata atoe kiasi gani kama hilo joka lina sumu basi bado hatari iko pale pale....Mkuu hii siyo research project inayotaka kutoa thesis ni uchambuzi tu
 
Huyu ndiye Lipumba niliyemjua mimi miaka ya nyuma..Sijui kilimwingia kitu gani hivi majuzi akapoteza hata mwelekeo.
 
ukienda kwenye you tube vhdeo utamuona mdudu triop wa kwenye majaruba ya mpunga akipitia hiyo hatua! Ila madhani ni lugha ya picha ambayo ccm kufikisha ujumbe wa walichodhamiria. Ni mapema kuwahukumu! Mengi ya yaliyotokea zamani kama azimio la Arusha, tujisahihisha. Tathmini ya miaka kumi ya azimio. Kuwaengua Malima. Jumbe na Maalim Seif na chama kushika hatamu yote yalikuwa kujivua gamba: ecdysis haitokei mara moja ni mchakato wa makuzi
 
  • Wamtaka atangaze mali zake, wadai naye ni fisadi

"Ingawa kwa juujuu anajifanya kupambana na ufisadi, Nape hana uwezo wala uadilifu wa kukemea mafisadi kwa sababu hata Rais Kikwete anayemtetea ametajwa kwenye orodha ya mafisadi kule Mwembeyanga. "…Ningependa kumuuliza Nape katika orodha ya mafisadi 16 waliotajwa na Dk. Slaa, yeye anamtetea fisadi yupi? Anajua kwamba hata Rais Kikwete alitajwa? Ni lini Nape amepewa ajira ya kutetea udhaifu binafsi wa Rais na familia yake?" alihoji Heche kupitia taarifa hiyo.

Tanzania Daima

Hiyo Nimeipenda sana
 
ukienda kwenye you tube vhdeo utamuona mdudu triop wa kwenye majaruba ya mpunga akipitia hiyo hatua! Ila madhani ni lugha ya picha ambayo ccm kufikisha ujumbe wa walichodhamiria. Ni mapema kuwahukumu! Mengi ya yaliyotokea zamani kama azimio la Arusha, tujisahihisha. Tathmini ya miaka kumi ya azimio. Kuwaengua Malima. Jumbe na Maalim Seif na chama kushika hatamu yote yalikuwa kujivua gamba: ecdysis haitokei mara moja ni mchakato wa makuzi

Mkuu sioni kama mnakuwa badala yake mnazidisha makundi! Ni nani aliyefisadi kuliko Mkapa ama Kikwete mwenyewe?
 
Kumbuka ukijivua gamba unavaa lingine wakati huohuo.

Ni kusema kuwa gamba halitatoka kama hakuna 'gamba' jingine kufidia sehemu yake. Gamba out=gamba in? 1-1=1? No change actually!

And it is a continued process thruout the life of this organism, kwa mantiki hiyo sisiem wana mpango wakuendelea kujivua gamba kil baada ya muda fulani kweli? I doubt.
 
  • wamtaka atangaze mali zake, wadai naye ni fisadi
    [


    baadhi ya viongozi na makada wa ccm na vyama vya upinzani wamedai jitihada za rais kikwete kushambulia na kuadhiri wanasiasa wenzake kwa kumtumia katibu wa itikadi na uenezi wa ccm, nape nnauye, ni za kinafiki, kwani naye (kikwete) yu miongoni mwa mafisadi.
    tanzania daima


  • wewe heche unagombea kupitia chadema,mambo ya ccm yanakuhusu nini? Unataka umaarufu chadema kwa kumshambulia nape na mambo ambayo huyajui! Kwanza unapaswa ujue kazi ya nape haikuja kwa bahati mbaya ni mjumbe wa nec,kama mnec nape anafanya kazi ya chama,wewe unaonesha wazi hata unachogombea huelewi unakwenda hapo kufanya nini? Ikitokea chadema wamekupa kadi ya itikadi kama mwenezi kukisemea chama wana ccm watakushambulia wewe au chama? Jk siyo fisadi ndo maana porojo zote za dr na chadema hazikufua dafu,unaonesha hata takwimu zako zinasoma kwa reverse,kura za jk hazipimwi kwa percentage kubwa kujua watanzania wamemchagua au hapana ni ushindi tu,kama watanzania wangezani chadema ni chama mbadala wangemchagua jamaa yako mwizi wa wake za watu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom