CCM kujivua ‘gamba’ Dodoma

CCM kujivua ‘gamba’ Dodoma

sio siri chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwasasa lakini kimekuwa kina kashfa nyingi sana kama vile swala la udini,ingawa walijaribu kumuita kundini prof safari ili kufuta dhana ya udini lakini bado swala la udini halijafutika mioyoni mwa watu,pia liko swala la kupewa fedha na mataifa ya nje,liko swala la ukabila,pia liko swala la vurugu,mfano hai ni pale mbunge machachari Godbless Lema alipotamka live bungeni kuwa milango ifungwe watu wapigane!(mwananchi ya leo) hivi kweli mtu aliyepewa dhamana na wananchi anaweza kutamka maneno kama hayo katika chombo kikuu cha maamuzi nchini?? sasa je chadema kuvua gamba na kuwa na sura mpya katika macho ya watu?
Wewe unamatatizo, Tanzania kuna udini?watu wanaombana chumvi we unasema udini?CCM hawana jipya,nadhani hata wewe ni kada wao mana unajitaidi sana kuuficha ukwel kuhusu mustakabal wa taifa letu chini ya chama cha mafisadi!
 
cdm hakuna nyoka wakujivua gamba wewe naona huna hoja ya msingi lakini siwezi kukushaa ccm ndo zenu kukurupuka ndio maa hata kikwete kakurupuka na muswada wa mabadiliko ya katiba kuweni na utaratibu wa kujipanga
 
sio siri chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwasasa lakini kimekuwa kina kashfa nyingi sana kama vile swala la udini,ingawa walijaribu kumuita kundini prof safari ili kufuta dhana ya udini lakini bado swala la udini halijafutika mioyoni mwa watu,pia liko swala la kupewa fedha na mataifa ya nje,liko swala la ukabila,pia liko swala la vurugu,mfano hai ni pale mbunge machachari Godbless Lema alipotamka live bungeni kuwa milango ifungwe watu wapigane!(mwananchi ya leo) hivi kweli mtu aliyepewa dhamana na wananchi anaweza kutamka maneno kama hayo katika chombo kikuu cha maamuzi nchini?? sasa je chadema kuvua gamba na kuwa na sura mpya katika macho ya watu?

Nyoka ndio wanavua gamba. Chadema ni wadau na wakala wa wananchi. Ni bahati mbaya mpo ambao mna magamba machoni; ebu jivueni hayo magamba.
 
Labda ulingnishe kwanza tuhuma na kashfa ambazo CCM wamejivulia gama na zile unazojaribu kupost hapa kwa CHADEMA. Ni kama unataka kushindanisha timu ya chekechea Mzimuni S/m na MANCHESTER UNITED utaonekana hamnazo!!
 
Jamani mbunge yule hakumaanisha kupigana kweli bali alitumia usadifu wa kiswahili kuonyesha hisia zake kwa kutumia maneno hayo.Hii inatokana na ukweli kwamba hata kama ni kwa ngumi wao ni wachache wenzao wengi hivyo watapigwa vibaya sana.Alimaanisha hoja zipite kwa nguvu ya hoja sio kwa hoja ya nguvu.Tuwashauri tu wabunge wetu kwamba ni muhimu hoja ipite kwa nguvu yake ie nguvu ya hoja , na siyo kinyume chake kwa kuwa kwa kufanya hivyo ni kuhujumu nchi, ni sawa na kukata tawi ulilolikalia.
 
sio hoja hata mbunge wa ludewa deo filikunjombe alishasema milango ifungwe katika kikao cha kwanza tena akiwa anachangia lakini haikua ishu ..acheni uzandiki CCM imechoka
 
Crrrrrrrrrrrraaaaaaaaaaaaaaapppppppppppppppppppppp

Kama nyie ndo watetezi wa CCM basi chama chenu hakitatokamo.
 
sio siri chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwasasa lakini kimekuwa kina kashfa nyingi sana kama vile swala la udini,ingawa walijaribu kumuita kundini prof safari ili kufuta dhana ya udini lakini bado swala la udini halijafutika mioyoni mwa watu,pia liko swala la kupewa fedha na mataifa ya nje,liko swala la ukabila,pia liko swala la vurugu,mfano hai ni pale mbunge machachari Godbless Lema alipotamka live bungeni kuwa milango ifungwe watu wapigane!(mwananchi ya leo) hivi kweli mtu aliyepewa dhamana na wananchi anaweza kutamka maneno kama hayo katika chombo kikuu cha maamuzi nchini?? sasa je chadema kuvua gamba na kuwa na sura mpya katika macho ya watu?

Kashaga umenifurahisha sana leo si kwa kazi nzuri uliyofanya bali siamini kama kuna watu kama ww na wanajiita great thinker...kwanza badala ujibu au utetee hoja unazoulizwa unaanza uliza muda wa aliyekuuliza inashangaza sana. Kuhusu post yako ni upupu mtupu.
Kwanza hilo gamba la CCM limevuliwa baada ya miaka zaidi na 40 ya upupu wao.
Pili hoja ya CDM na udini haina maana maana ni jana tu waislamu wametoa tamko kusifu kazi ya CDM na kuwaponda viongozi wa Bakwata kwa hoja za upupu kama yako.
Tatu hoja ya ukabila inashangaza sana maana viongozi hawa wa CDM kina Dr. Slaa, Zitto, Lissu, Mdee, Mnyika nk. na watanzania zaidi ya 40% waliopigia CDM kura ni kabila moja?
Suala la vurugu pia ni upupu maana mtu kudai haki yake kihalali sidhani kama ni vurugu. Ungekuwa waongelea vurugu kama za CCM kumwaga damu ZNZ, Mwembechai nk kwa ajili ya wizi wa kura hizo sasa ndo vurugu.
Jichunguze ujipange na ujikane mwenyewe kabla hujapita anga za CDM
 
Kashaga umenifurahisha sana leo si kwa kazi nzuri uliyofanya bali siamini kama kuna watu kama ww na wanajiita great thinker...kwanza badala ujibu au utetee hoja unazoulizwa unaanza uliza muda wa aliyekuuliza inashangaza sana. Kuhusu post yako ni upupu mtupu.
Kwanza hilo gamba la CCM limevuliwa baada ya miaka zaidi na 40 ya upupu wao.
Pili hoja ya CDM na udini haina maana maana ni jana tu waislamu wametoa tamko kusifu kazi ya CDM na kuwaponda viongozi wa Bakwata kwa hoja za upupu kama yako.
Tatu hoja ya ukabila inashangaza sana maana viongozi hawa wa CDM kina Dr. Slaa, Zitto, Lissu, Mdee, Mnyika nk. na watanzania zaidi ya 40% waliopigia CDM kura ni kabila moja?
Suala la vurugu pia ni upupu maana mtu kudai haki yake kihalali sidhani kama ni vurugu. Ungekuwa waongelea vurugu kama za CCM kumwaga damu ZNZ, Mwembechai nk kwa ajili ya wizi wa kura hizo sasa ndo vurugu.
Jichunguze ujipange na ujikane mwenyewe kabla hujapita anga za CDM

fool yourself
 
sio siri chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwasasa lakini kimekuwa kina kashfa nyingi sana kama vile swala la udini,ingawa walijaribu kumuita kundini prof safari ili kufuta dhana ya udini lakini bado swala la udini halijafutika mioyoni mwa watu,pia liko swala la kupewa fedha na mataifa ya nje,liko swala la ukabila,pia liko swala la vurugu,mfano hai ni pale mbunge machachari Godbless Lema alipotamka live bungeni kuwa milango ifungwe watu wapigane!(mwananchi ya leo) hivi kweli mtu aliyepewa dhamana na wananchi anaweza kutamka maneno kama hayo katika chombo kikuu cha maamuzi nchini?? sasa je chadema kuvua gamba na kuwa na sura mpya katika macho ya watu?
Aiseee chali yangu yaani umeongea hoja mtori sana baba angu. Hivi uko wapi wewe? Nilipoona heading yako kikakurupuka kumbe ni kitu mavumbi namna hii bana, acha hizo aiseeee.
 
Kashaga umenifurahisha sana leo si kwa kazi nzuri uliyofanya bali siamini kama kuna watu kama ww na wanajiita great thinker...kwanza badala ujibu au utetee hoja unazoulizwa unaanza uliza muda wa aliyekuuliza inashangaza sana. Kuhusu post yako ni upupu mtupu.
Kwanza hilo gamba la CCM limevuliwa baada ya miaka zaidi na 40 ya upupu wao.
Pili hoja ya CDM na udini haina maana maana ni jana tu waislamu wametoa tamko kusifu kazi ya CDM na kuwaponda viongozi wa Bakwata kwa hoja za upupu kama yako.
Tatu hoja ya ukabila inashangaza sana maana viongozi hawa wa CDM kina Dr. Slaa, Zitto, Lissu, Mdee, Mnyika nk. na watanzania zaidi ya 40% waliopigia CDM kura ni kabila moja?
Suala la vurugu pia ni upupu maana mtu kudai haki yake kihalali sidhani kama ni vurugu. Ungekuwa waongelea vurugu kama za CCM kumwaga damu ZNZ, Mwembechai nk kwa ajili ya wizi wa kura hizo sasa ndo vurugu.
Jichunguze ujipange na ujikane mwenyewe kabla hujapita anga za CDM
Basi baba umenisaidia,
 
sio siri chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwasasa lakini kimekuwa kina kashfa nyingi sana kama vile swala la udini,ingawa walijaribu kumuita kundini prof safari ili kufuta dhana ya udini lakini bado swala la udini halijafutika mioyoni mwa watu,pia liko swala la kupewa fedha na mataifa ya nje,liko swala la ukabila,pia liko swala la vurugu,mfano hai ni pale mbunge machachari Godbless Lema alipotamka live bungeni kuwa milango ifungwe watu wapigane!(mwananchi ya leo) hivi kweli mtu aliyepewa dhamana na wananchi anaweza kutamka maneno kama hayo katika chombo kikuu cha maamuzi nchini?? sasa je chadema kuvua gamba na kuwa na sura mpya katika macho ya watu?

Gongo mbaya
 
Kwanza hata CCM hzo kashfa wanashindwa kuzthibitisha. Udini na ukabila wao ndo wanaouleta 'porojo za kisiasa'. Kuhusu Lema kutamka vile nikuulize, wale waliotamka 'NENDENI MTARUDI KUSAINI KUCHUKUA POSHO MKALIPE MADENI' kipindi Wabunge wa CDM wanatoka bungen kususia kubadili kanuni ya ndoa ya lazima, Je walikua sahihi kwa lugha hyo bungeni?.
 
Angekuwa member mwingine wa kawaida ningeweza kusema ni mjinga lakini wewe naamini umefanya kusudi. Nasikitika kusema kwamba kama unaamini CCM imejivua gamba unakubalina moja kwa moja kwamba CCM ni nyoka. Na kwa ufahamu wangu nyoka ni nyoka tu na siku zote huwa hatari kwa binadamu. Sijui hata JK aliwaza nini kutumia mfano huo. Logic ya CCM kujivua gamba inamaanisha ufisadi na kukosa vision kutakakofuatia mabadiliko hayo vitakuwa waziwazi zaidi kama nyoka mwenye gamba jipya anavyoonekana kwa urahisi kuliko hapo awali.
Nijuavyo mimi CHADEMA hakijawahi kumuuma mtanzania na hivyo si nyoka. CDM ni chama cha siasa kinachopigania maslahi ya walio wengi na wanyonge. Hawahitaji kujivua gamba wala ngozi. Udini na ukabila ni siasa zako muflisi na chama chako mbumbumbu kinachoshangilia JK, Lowasa, Rostam, Chenge, na wengine wachache kuendelea kujitajirisha kwa fedha za umma wakati watu kama wewe mnaambulia laki mbili tatu ambazo zinaishia kununua credit za moderm ili kuwatetea ktk JF.

sio siri chadema........ sasa je chadema kuvua gamba na kuwa na sura mpya katika macho ya watu?
 
Jinsi ulivyoandika unaonekana kabisha wewe ni mgeni humu jamvini na si ajabu hii ni post yako ya kwanza. Unajitahidi karibu nawe utakuwa expert wa jf. Ila jaribu kuwa mbunifu sio unjweka mada ambazo watu wamezoea kuzisikia tangu mwaka jana. Be a great thinker!"!
 
Back
Top Bottom