Hata wakianzisha chama haitasaidia kama jamii bado inawaona ni mafisadi, watapata wapi wanachama? Kama wale ambao jamii inawaamini kwamba sio mafisadi wakitoka na kuanzisha chama chao at least wanaweza kupata wanachama na wakawa na nguvu, hata hivyo haina haja ya wao kutoka either mafisadi au sio mafisadi na kuanzisha chama, kwa kuwa vyama vilivyopo vinatosha waende huko labda kama wanauroho wa madaraka.Huu utitiri wa vyama nao haufai kwa kuwa unawachanganya na kuwagawa wananchi mno, hivyo vinakosa nguvu, vyama vilivyopo vinatosha.