CCM kujivua ‘gamba’ Dodoma

CCM kujivua ‘gamba’ Dodoma

Lowassa anasafishika akichafua kiti
ban.mchokonozi.jpg

Charles Mulinda

amka2.gif
KWA mtu yeyote mwenye akili zinazofanya kazi sawa sawa, natumaini atakubaliana na mimi kuwa sasa kazi ya kusafishwa au kujisafisha yeye mwenyewe, mtu anayetuhumiwa sana kwa ufisadi, Edward Lowassa, imekuwa nyepesi mno.
Sambamba na hilo, kwa wasomaji wa safu hii waliokuwa wakinitumia ujumbe mfupi kupitia simu yangu ya kiganjani wakipinga kile nilichokuwa nikieleza kuwa CCM itameguka au itafia mikononi mwa rafiki yangu, Rais Jakaya Kikwete, nadhani sasa wanakubaliana na mimi katika hilo.
Sihitaji tena kutoa maelezo marefu ya kuwasadikisha jambo hili kwa sababu hata kama akili zao zimeganda mithili theluji ya kileleni mwa mlima Kilimanjaro, ninaamini katika mgando ule zitakuwa zina hisi hali ya joto joto la upinzani mkali utakaotolewa na kambi ya wale wanaotakiwa sasa kukaa kando ya uongozi wa chama hicho, kisa! Eti, kwa sababu ya kutuhumiwa kwa ufisadi.
Inashangaza kweli kwa sababu wanaowatuhumu wenzao kwa uchafu huu wanatuhumu kwa macho makavu utadhani wao sio mafisadi. Kwa wenye akili nadhani hapo nimeeleweka. Nirudi kwenye mada yangu ya msingi ya Lowassa na kujisafisha.
Mara zote katika safu nilikuwa nikikwepa sana kuwajadili watu wa aina ya Lowassa kwa sababu ya kutambua umuhimu wao katika uhai wa chama chetu cha maulaji kilichojaa kila aina ya uchafu ambao kwangu mimi kama ingekuwa ni sakafu, hata ikisuguliwa kwa jiwe haiwezi kutakata.
Nilikuwa natambua kuwa ingawa Lowassa anatuhumiwa sana kwa mambo kadha wa kadha, tuhuma hizo ni nyepesi mno kulinganisha na zile kinazotuhumiwa nazo chama cha maulaji na baadhi ya viongozi wake wakuu.
Na ninatambua kuwa Lowassa ana mengi moyoni yanayohusiana na ufisadi wa chama cha maulaji na viongozi wake, hivyo kumwendea kichwa kichwa kungeweza kumfanya akose uvumilivu na kumwanga mchele kwenye kuku wengi.
Naamini wanaCCM wenye akili wanalitambua hili na ndiyo maana hata kama alikuwa na mabaya walikuwa wanayamezea moyoni kwa sababu hata wao wana ya kwao ambayo pengine ni makubwa kuliko ya kwake.
Lowassa naye alikuwa kimya kwa sababu alikuwa bado na kaulaji fulani ndani ya chama cha maulaji hata kama kalikuwa hakalingani na yeye mwenyewe alivyo lakini kalitosha kwa sababu kalikuwa kanampa hadhi fulani ya kujiona na yeye ni miongozi mwao baada ya kudhalilishwa sana, kusingiziwa sana na kufedheheshwa sana.
Na inawezekana pia kama inavyosemwa na baadhi ya wachokonozi kuwa alikuwa kimya kwa sababu alikuwa na malengo ya siku moja kusafishika na kukwea tena katika kilele cha siasa za maji taka ndani ya chama chetu na hata kufikia malengo ya kisiasa aliyojiwekea katika maisha yake.
Hali sasa ni tofauti, mapinduzi ya vigogo wa ndani ya chama chetu ya wiki iliyopita yanamlazimisha na yeye hata kama alikuwa na kaukubwa kidogo kukaachia na kukaa pembeni kabisa! Eti, abaki akiwaangalia wengine wakila tu! Hili ni jambo gumu sana kulikubali hata kama lingetokea kwangu.
Kama mpambanaji naamini atapambana kuhakikisha hafi peke yake, kwa sababu waliomfikisha hapo anapohangaika sasa ndiyo aliokuwa akila na kunywa nao na pengine alitumia nguvu zake kuwafikisha katika maulaji yao ya sasa.
Kwa sisi tunaomfafamu Lowassa kwa kusimuliwa ni mtu asiyekata tamaa, ni bingwa wa kupanga mikakati na kiumbe anayefanya kazi bila kuchoka hadi kile anachokipigania kifanikiwe.
Kutokana na masimulizi hayo, ninakuwa wa kwanza kujitokeza kumtia moyo kuwa walichokifanya wenzetu ndani ya chama ndiyo mauti yao kwa sababu funguo za umoja, amani yenye mashaka na mshikamano anayo yeye na wenzake anaotuhumiwa nao. Hivyo ndivyo ninavyooamini.
Anachopaswa kufanya katika kipindi alichonacho cha kuugulia maumivu ya kutoswa ni kusali sala ya toba akimuomba Mungu amuongeze nguvu na ujasiri wa kueleza hata yale machafu ambayo hayapaswi kuelezwa mbele ya watoto na wakubwa, yaliyofanywa na chama chetu bila kujali kama na yeye alishiriki kuyafanya au lah!
Anapofanya hivi awe na lengo moja! La kuchafua kiti cha enzi ya Tanzania ili hata hao wanaomfanyia mtima nyongo sasa asikikalie kama kweli alikuwa akikitaka, nao wakikose. Na wale walioko kileleni wachafuke kuliko yeye.
Baada ya sala ya toba na kama Mungu ataikubali na kumjaza roho mtakatifu kama yule aliyewajaza mitume kumi na wawili kisha wakaanza kunena kwa lugha za mataifa mbalimbali. Na iwe hivyo hata kwake Lowassa, akishajazwa na huyo roho anene, na ili kunena kwake kunoge, aanze hivi;
Aitishe mkutano na waandishi wa habari aeleze alichokuwa amekusudia kukizungumza muda mfupi baada ya kutangaza kujiuzuru na kuanza kufanya mahojiano na televisheni ya Taifa (TBC) kabla hayajakatishwa ghafla kwa sababu ambazo hazijawekwa hadharani hadi sasa.
Kwa ujasiri ule ule kama watume, aeleze Richmond ni mdudu gani? Nani aliuleta! Asema kama baraza la mawaziri chini ya rais Kikwete halikuketi au liliketi kubariki ujio wake, jinsi alivyoshiriki kishinikiza kama ni kweli mdudu huyo kupewa zabuni ya kufua umeme huku akijua au hajui kuwa haina uwezo huo.
Bila kuwaruhusu waandishi wa habari kumuuliza maswali hadi atakapomaliza kutoa maelezo yake, taratibu kama wahubiri, aeleze kilichosababisha hatua ya kuletwa kwa Richmond nchini na kama anajua aeleze ni kwanini rais Kikwete alikuwa akiisifia sana mwanzoni na kujigamba kuwa baada ya kuanza kazi tatizo la umeme litakuwa historia nchini.
Na kama atakuwa anakumbuka, atoboe siri ya kwanini rais Kikwete alifuta sehemu ya hotuba iliyokuwa ikizungumzia Richmond mwezi ule anaoujua yeye, aliyoitoa kwa wananchi na awataje mashahidi wa kushabikia maelezo yake kama ni ya ukweli.
Atakapokuwa akieleza haya atakuwa akikichafua vibaya kiti cha urais, lakini hilo asijali kwa sababu ili afanikiwe kujisafisha ni lazima afanye hivyo. Ni lazima achafue kiti hicho kama alivyochafuliwa yeye ili asafishike.
Akimaliza hapo amgeukie Spika wa Bunge lililopita na kamati teule aliyoiunda na kuibuka na jina lake kama mmoja wa watu waliohusika kwa karibu na kashfa hiyo.
Kwa sababu mtu anapozungumzia jambo lililomuumiza anaruhusiwa kukunja sura kuashiriria anachokizungumza kilimuumiza, akipenda hapa anaweza kukunja sura wakati akieleza ni kwanini Bwana Spika Sitta alifanya vile.
Aseme kama alikuwa na ugomvi naye au kama tatizo lilikuwa uwaziri mkuu au kama walikuwa na ugomvi mwingine ulioeleka huku uswahilini kwa wachokonozi.
Bila kuchoka kuzungumza kwa sauti ile ile, aeleze kile ambacho kamati teule ya bunge ilikificha ili kuilinda serikali yote ya Rais Kikwete isianguke na kumtwisha zigo hilo yeye na waliokuwa chini yake.
Na ili kuwaridhisha waandishi wa habari, awaeleze kuwa amekwishawasiliana na mtuhumiwa mwenzake katika kashfa hiyo, Rostam Aziz, ambaye alifungwa mdomo na Spika Sitta alipotaka kueleza jinsi ripoti iliyowasulubu ilivyokuwa imechakachuliwa na kwamba sasa yuko tayari kuitoa ripoti hiyo hata kama ni kwa kuilipia kama tangazo kwenye vyombo vya habari.
Asiachie hapo, aeleze madudu mengine yoyote yanayomuhusu Spika Sitta kama yapo. Kama anapenda sana ukubwa! Kama alimchukia kwa sababu ya kukataa kumpa walinzi au lolote baya analolijua linalomuhusu ambalo ana uhakika lina ushahidi usiokuwa na shaka.
Maelezo haya yatamsaidia kwa kiwango cha juu kujisafisha na kashfa zinazomuandama sasa hata kama atakiri kushiriki katika madudu hayo.
Atakuwa amezua mjadala mpya wa Richmond ambao kwa jinsi Watanzania walivyo na hasira kwa sasa, hasa kutokana na makali ya mgawo wa umeme na wengi wao kushindia mlo mmoja huku wengine wachache wakila na kusasa, wao na mbwa zao, watailazimisha serikali hii ninayoipenda kuishia kule kule aliko yeye sasa.
Bila Kuwaruhusu waandishi wa habari viherehere kumuuliza lolote, akimaliza tu hilo adakie na ufisadi wa EPA na CCM.
Hapa aanze kwa kueleza historia ya EPA. Jinsi EPA na CCM zilivyojenga ushoga na kuwa kitu kimoja katika uchaguzi wa 2005. Awataje waliosuka dili ya kukwapua mabilioni ya EPA hata kama ni rafiki zake, awataje tu kwa sababu hiyo ndiyo silaha pekee ya kujisafisha. Na hapa azingatie kuwa vita haina macho.
Afumbe macho kama walivyofumba wenzake wakati wanamtosa anapoeleza kama kweli CCM kilitumia mabilioni ya EPA kufanikisha ushindi wa mgombea kiti cha urais wa CCM mwaka 2005 na amalizie kwa kueleza sababu zinazoifanya serikali ya CCM kushindwa kuwakamataka wezi wa mabilioni ya EPA.
Akifanikiwa katika hili, Lowassa atakuwa shujaa wa Tanzania aliyerejea kuwaeleza ukweli wa jinsi wezi wanaotutawala wanavyotuibia.
Atakuwa amejisafisha na kwa kipindi chote kilichobaki kuelekea mwaka 2015 atakuwa akitengeneza vichwa vya habari katika vyombo vya habari vyenye akili kwa sababu atakuwa maarufu kuanzia mijini hadi vijijini.
Na halitakuwa jambo la ajabu hata atakapoamua kurejea katika ulingo wa siasa za CCM hiyo hiyo akakosa mpinzani kwa sababu wote atakuwa amewachafua akiwemo yeye mwenyewe lakini yeye atakuwa na ahueni kwa sababu atakuwa ametubu kwa kueleza ukweli wa kutoa siri za zilizoficha sirini ndani ya chama chetu.
Ikiwa hivi asitokee mtu wa kushangaa kama Lowassa anaweza kurudi kuwa mtu muhimu anayeweza kugombea urais na kushinda au mzee ambaye atakuwa akitegemewa na wengi kumtwaa kati ya vijana wengi ndani ya chama, kijana atakayekuwa mgombea urais 2015 na akampigia kampeni na kushinda.
 
CCM ni ile ile ya watu wale wale!
ban.blank.jpg

Abdul Juma

amka2.gif
WIKI hii, vyombo vya habari vimepambwa na habari ya vikao vya juu vya Chama Cha Mapinduzi (CCM), vilivyofanyika mjini Dodoma na kumalizika vikiwa na mageuzi ya uongozi wa wajumbe wa Sekretariati na Kamati Kuu (CC) ya chama.
Kwa sasa viongozi wa juu wa CCM na wafuasi wake wanatamba mitaani kuwa wamejivua gamba na kujitazama upya kwa kufanya mabadiliko kwenye chama chao ikiwa ni pamoja na kuwatosa watuhumiwa wa ufisadi waliokuwa wakilalamikiwa.
Kujivua gamba kwa tafsiri nzuri ya Kiswashili ni kujivua ngozi ngumu mfano kasa au nyoka. Lakini kwangu mimi nadhani CCM wamefanya makosa makubwa kutumia msemo huo kuwa wanajivua gamba badala ya kujipanga upya.
Kimsingi na hata kimantiki kujivua gamba ni kubadili aina ya ngozi lakini mambo mengine unabakia kuwa vile vile. Yaana kwa mfano nyoka ni nyoka tu hata akijivua gamba lake anabakia kuwa nyoka mwenye sumu ile ile.
Kwenye mabadiliko hayo ya CCM, yanayoitwa kujivua gamba, wadhifa wa ukatibu mkuu umekwenda kwa Wilson Mukama, akirithi mikoba ya Yusuf Makamba, ambaye anatajwa kuifikisha CCM katika wakati mbaya iliyonao.
Wajumbe wengine wa sekretarieti, John Chiligati (Naibu Katibu Mkuu Bara), ambaye hata hivyo ni kama amegeuzwa tu nafasi maana alikuwemo kwenye sekretarieti iliyopita akiwa ni Katibu wa Itikadi na Uenezi.
Vuai Ali Vuai anakuwa Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Nape Nnauye anakuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, January Makamba, ambaye ni mtoto wa Katibu Mkuu aliyeng'oka, ameteuliwa kuwa Katibu wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa na Mwigulu Nchemba atashika nafasi ya Katibu wa Uchumi na Fedha.
Hiyo ndiyo CCM inayoitwa mpya, ambayo vile vile imefanya mabadiliko ya wajumbe wa CCM ikiwa ni kuwaacha vigogo waliokuwa wakituhumiwa kwa ufisadi kama Edward Lowassa, Andrew Chenge na Rostam Aziz.
Kama vile sinema, CCM imetangaza vita dhidi ya wanachama wa chama hicho wanaotuhumiwa na kashfa za ufisadi na kuwataka wajiondoe wenyewe kwenye nafasi walizonazo ndani ya chama.
Naibu Katibu Mkuu, Chiligati alisema kama wanachama hao wasipojiwajibisha wenyewe chama hicho hakitasita kuwatimua mara moja. Maneno yake ni kama yanachekesha kwa kidogo kwa vile ni yeye huyo huyo na viongozi wengine walikuwa waking'aka kama mbogo hapo nyuma kuwa tuhumza za kusadikika haziwezi kumtia mtu hatiani.
Sawa, tukubali kuwa CCM imebadilika na kuzaliwa upya, lakini bado wana wasiwasi na matendo ya baadhi ya viongozi wao mbele ya macho ya umma ndiyo maana wameshindwa kujibainisha kuwa wanajifanyia mabadiliko ya kimuundo na kifalsafa badala yake wakajichafua kuwa wamejivua gamba tu lakini yaliyobakia wako vile vile.
Kwangu mimi bado naona CCM ni ile ile na watu wake ni wale wale ambao wameshindwa kutusaidia serikalini ndiyo wameshindwa kukisaidia chama ili kiendelee kuwa na mvuto kwa wananchi wake.
Alama za CCM ni jembe na nyundo. Yaani wakimaanisha kuwa alama ya jembe ni kuwatetea wakulima na ile ya nyundo ni kwa wafanyakazi wanyonge wa nchi hii. Je, katika mabadiliko ya kujitafakari na kujifanyia mageuzi hili pia walilitazama kuwa ni kero kubwa?
Hivi wanajua kwa sasa chama kimesimama na kushikiliwa mikononi mwa alama ya fedha, yaani wafanyabiashara? Je, wanakubali kuwa gamba wamelivua tu lakini bado matatizo ya msingi yaliyowafikisha hapo yako pale pale?
Zamani katika Chama cha TANU na baadaye CCM, walikuwa na kanuni yaani ahadi kumi za mwanachama ambazo ziliwaongoza. Lakini kwa masikitiko makubwa baadaye ahadi hizi au kanuni hizo ziliwekwa kando ikabakiwa kuwa holela. Je, kwenye vikao vya kujisafisha mwenyekiti alilikumbuka hili kuwa ndilo limezaa ufisadi kwenye chama?
Hayati Mwalimu Julius Nyerere katika moja ya hotuba zake aliwahi kusema kuwa zamani katika chama na serikali, sifa mojawapo ya kupoteza sifa za kuchaguliwa kama kiongozi (disqualification), ilikuwa ni mhusika kuwa na mali.
Anasema mgombea alipaswa kuwathibitishia mali hiyo kaipata wapi? Je, hivi ndivyo ilivyo kwa CCM iliyojivua gamba na kuanza kujisifu? Je, sifa ya viongozi wao wa sasa ni ipi, mali zao wamezipataje?
Kwa mfumo potofu tulionao nchini bado watu wanaamini kuwa chama ndiyo dola. Yaani tunashindwa kutenganisha baina ya dola na chama. Kama ndivyo kuna haja gani ya CCM kutoa vitisho kwa wanachama wake ilhali inawajua kila mmoja sifa zake na jinsi alivyopata uongozi?
Si tuliwaona baadhi walivyopata ubunge, uwaziri, ujumbe wa NEC, CC, Sekretariati. Nani hajui kulikuwa na kutazamana usoni kuona kama kuna mtoto wa kiongozi, mfadhili wa chama angalau awemo kwenye orodha?
Mbona watoto wa maskini hatuwaoni kwenye nafasi mpya za kukisafisha chama. Hao wanaoitwa sura mpya za vijana kwenye chama wamelelewa katika mazingira haya ya wakulima na wafanyakazi, wamesoma shule zetu tulizosoma, wanaishi maisha kama ya kwetu?
Kama kwenye vyama vya upinzani vya NCCR-Mageuzi, CUF na CHADEMA tunawaona viongozi vijana wanaopewa vyeo vikubwa ni watoto wa maskini wenzetu, kwanini kwenye CCM hilo lishindikane na badala yake vijana wanaochukuliwa ni lazima wawe wa viongozi wastaafu? Huku ndiko kujivua gamba si kujisafisha. Tafakari!


h.sep3.gif

Niachie ujumbe: 0788452350/ mpyafikra@yahoo.com
 
CCM imekumbuka shuka asubuhi!
ban.blank.jpg

Barnabas Maro

amka2.gif
LISEMWALO lipo na kama halipo linakuja. Hatimaye wale watuhumiwa wakubwa walioitikisa nchi kwa kusaini mikataba dhalili (hali ya chini; dhaifu) iliyodhoofisha kabisa uchumi wa nchi, wametoswa na chama chao (CCM) kwa kupewa siku tisini wajiondoe wenyewe katika uongozi wa chama hicho, vinginevyo waondoshwe kwa fedheha.
Hao ni Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kufua umeme ya Richmond na Dowans, Edward Lowassa na Mbunge wa Bariadi Mashariki, Andrew Chenge aliyepata kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Wahenga walisema "lila (wema) na fila (ubaya) havipatani" na ndivyo ilivyo kwa watu hawa na masahibu wao.
Walipotajwa kwa mara ya kwanza na Dk. Willibrod Slaa wa CHADEMA pale Mwembe Yanga, Temeke jijini Dar es Salaam mwaka 2007, walifoka kama moto wa kifuu wakitishia kwenda mahakamani kwa madai ya kukashifiwa.
Kuna waliosema wangedai shilingi milioni 100 na wengine zaidi ya hapo ili kusafisha majina yao.
Kwa vile lila na fila havipatani, hakuna hata mmoja aliyethubutu kufungua kesi dhidi ya Dk. Slaa ingawa aliwaambia wafanye haraka ili wakapambane mahakamani lakini wakagwaya.
Miongoni mwa waliotishia kushitaki, sasa ndio wanaoshitakiwa kwa ufisadi. Na mara hii chama (CCM) kimethubutu kuwatosa hata wale waliodhaniwa kutogusika, licha tu kuwanyooshea vidole vya tuhuma.
Hatua hii ni sawa na CCM kukumbuka shuka asubuhi wakati kila mtu anawahi kwenye shughuli zake. Kama CCM wangekuwa watu wanaoambilika.
Wangemshukuru Dk. Slaa na CHADEMA kwa kufichua ufisadi na uozo mkubwa ulio ndani ya serikali lakini katika hali ya kulindana na kupinga kila kisemwacho na wapinzani wakapuuza na sasa wanakula matapishi yao wenyewe!
Walikanusha nini na sasa wanafanya nini! Kati ya CCM na CHADEMA hivi sasa ni kipi chenye imani na mvuto kwa wananchi?
Dk. Slaa alitaja orodha ya mafisadi 11 wanaoitafuna nchi lakini wakakingiwa kifua na CCM kuwa ni watu 'safi'.
Hata katika kampeni za mwaka jana, baadhi yao walinyanyuliwa mikono na Kikwete akiwapa sifa kemkem wasizostahili, kuwa ni watu wazuri ingawa baadhi yao tayari walikuwa na kesi mahakamani!
Rais Kikwete alipoulizwa ni kwa nini anawafanyia kampeni watu walio na kesi mahakamani, alitoa majibu ya kushangaza. Eti kesi walizofunguliwa ni tuhuma tu kwani huenda mahakama ikawaacha huru au serikali baadaye ikaona hakuna haja ya kuendelea na kesi, hivyo ikaamua kufuta kesi zinazowakabili!
Hii inaonyesha kuwa huenda washitakiwa wakaachiwa ama na mahakama (kwa shinikizo la serikali) au serikali yenyewe ikafuta kesi, kwa mujibu wa maelezo ya Kikwete mwenyewe.
Unashangaa nini? Hii ni nchi ya wajinga ndio waliwao ila mjinga akierevuka mwerevu lazima atafute pa kukimbilia. Hili ni onyo kwa wenye tabia ya kuwadanganya wenzao au hata kuwatapeli; wajue kwamba watafikwa na mabaya iwapo wanaodanganywa wakierevuka na kutambua matendo yao.
Kuerevuka kwenyewe ni mwitikio wa wananchi wa kada na makundi yote yanayojitokeza kwa wingi kwenye maandamano na mikutano ya CHADEMA kwa hiari yao bila kununuliwa wala kusafirishwa bure!
Wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ambao wengi walizugwa na CCM kwa kufunguliwa matawi ya chama hicho, sasa wanajua ukweli uko wapi.
Fedha wanazostahiki kulipwa ili kujikimu wanapigwa danadana huku wahadhiri wazuri wakikimbilia nchi za n-nje wanakolipwa mishahara maradufu ya waliyokuwa wakilipwa nchini. Wakati hayo yakifanyika, wanasiasa wanalimbikiziwa mamilioni ya shilingi za walalahoi.
Baada ya kuona wanafunzi wa vyuo vikuu wanashtukia kiinimacho cha serikali ya CCM, bila aibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa anathubutu kuwakemea wahadhiri "wanaohubiri mambo ya siasa vyuoni badala ya kufundisha".
Eti tabia hiyo imekuwa ikiota mizizi siku hadi siku kwa baadhi ya wahadhiri kufundisha na kutumia mifano ya EPA, Richmond na Dowans.
Waziri Kawambwa anapaswa kufahamu kuwa elimu ni mafunzo yatolewayo na jamii kwa watu wake, darasani au pasipokuwa darasani. Ni maarifa apatayo mtu baada ya kujifunza jambo.
Wahadhiri wanapaswa kuwafundisha wanafunzi jinsi nchi inavyoendeshwa, rasilimali zilizopo, mgawanyo wa mapato, sababu za mfumuko wa bei, ukosefu wa ajira, maana ya demokrasia, umuhimu wa vyama vya upinzani, n.k. Kama wasipofundisha mambo yanayogusa maisha ya kila siku watafundisha nini?
Kama isemwavyo kuwa penye msafara wa mamba na kenge wamo, ndivyo ilivyokuwa kwenye mkutano wa CCM Dodoma.
Wakati wakichambua sababu za kutaka Lowassa, Rostam na Chenge watoswe, walizuka baadhi ya wajumbe, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake, Sophia Simba na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba kuwatetea.
Watetezi hao walijenga hoja kuwa uletwe ushahidi wa tuhuma hizo, vinginevyo ni maneno yasiyoweza kufanyiwa kazi! Wakati fulani Kikwete alisikika akisema "hakuna chama kama CCM".
Kwa tafsiri ya haraka ni kweli hakuna chama kama hicho kwani ndicho kikubwa kuliko vyama vyote vya siasa nchini, kina wanachama wengi zaidi ya vingine, kimeenea nchi nzima na kuwa na mfumo mzuri wa utawala kuanzia ngazi za chini mpaka juu.
Ukiingia kwa undani zaidi, ni chama kikubwa kilicholeta ufukara kwa wananchi walio wengi huku viongozi wa serikali wakifumbwa midomo na matajiri wachache waliouweka uchumi wa nchi mikononi mwao.
Kikwete pia amewaambia wenzake kuwa ni lazima CCM ijivue gamba kama nyoka ili ijisafishe. Ni kweli kuwa baada ya nyoka kujivua gamba, huwa na ngozi nyororo yenye rangi inayomeremeta lakini habadiliki kuwa mjusi bali hubaki kuwa nyoka yuleyule anayegonga watu.
Sasa CCM imejivua kujivua gamba ina maana gani kama si ghiliba (udanganyifu) juu ya ghiliba?
Iwapo kweli CCM inataka kujivua gamba isiishie kwenye chama tu bali iende mpaka serikalini ambako kuna vigogo wanaotafuna fedha za walalahoi bila huruma. Watuhumiwa wa makosa mbalimbali ya ufisadi wamo serikalini.
Wachunguzwe na kueleza jinsi walivyopata utajiri walio nao – mashamba makubwa ya mifugo, majumba kadhaa yaliyogharimu mabilioni ya shilingi jijini Dar es Salaam, Arusha na kwingineko kwenye soko zuri la kupangisha kwa kipindi kifupi walichokuwa madarakani.Ikithibitika wafikishwe mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake.
Pia nyumba za serikali walizouziana kwa bei za kutupa zirejeshwe. Nyumba hizo zilijengwa na wakoloni kwa ajili ya wafanyakazi wake.
Kinachosikitisha ni kwamba nyingi zilikarabatiwa kwa mamilioni ya shilingi lakini wajanja wakauziana kwa bei zisizolingana na ukarabati uliofanywa.
Sasa baadhi ya watumishi wakuu wa serikali wanaostahiki kupewa nyumba, huwekwa kwenye mahoteli ya gharama kubwa.
Haya ni baadhi ya mambo yanayopaswa kufanywa na CCM katika kujivua gamba ili kupata sura nzuri inayovutia.
Kinyume cha hivyo, bado itaendelea kuwa CCM ile ile kwani hata hao wanaokuja watataka kula na kuponda mali kama waliowatangulia, tena kwa ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi!


h.sep3.gif

marobarnabas@yahoo.com
0784/0715 33 40 96 na 0756 85 53 14
 
Kigoda cha Mwalimu na harakati za ukombozi wa Mwafrika
ban.blank.jpg

Lucy Ngowi

amka2.gif
UPROFESA ni cheo cha kitaaluma ambacho ni cha juu kabisa katika vyuo vikuu. Kuna ngazi za kitaaluma katika ajira ya chuo kikuu na wahadhiri huajiriwa katika ngazi mbalimbali kutokana na sifa na vigezo rasmi vilivyowekwa.
Kwa kawaida mhadhiri hupata cheo cha uprofesa baada ya kufundisha chuo kikuu kati ya miaka kumi na kumi na tano pamoja na kufanya utafiti, kuchapisha vitabu au makala za kichambuzi katika majarida yanayotambulika kimataifa. Uprofesa kama huo ni wa kawaida.
Lakini kuna uprofesa wa aina nyingine, ambao unatokana na utamaduni wa vyuo vikuu kuunda uprofesa maalumu kwa jina la mtu mashuhuri kama njia ya kumuenzi, au kwa jina la mtu anayefadhili huo uprofesa. Uprofesa huu kwa kawaida hujikita kwenye fani mahususi.
Katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kumekuwa na uprofesa wa aina hii katika kitivo cha uhandisi tu, ambamo kulizinduliwa uprofesa katika fani ya mawasiliano-simu, na fani ya rasilimali-maji. Lakini huu ulikuwa uprofesa katika kitivo maalumu na si uprofesa katika ngazi ya chuo.
Profesa wa Kigoda cha Taaluma cha Mwalimu Julius Nyerere katika Umajumui wa Afrika, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Issa Shivji anasema, uprofesa wa taaluma wa Mwalimu Nyerere, ulikuwa wa kwanza katika ngazi ya chuo na uliundwa kumuenzi Baba wa Taifa.
Anasema ulizinduliwa Aprili 19, 2008 na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Na yeye ndiye aliyepewa heshima ya kuteuliwa kuwa profesa wa kwanza wa cheo hiki baada ya kufanyiwa usaili na kutimiza masharti mengine ya kitaaluma.
Kwa mujibu wa Shivji, kigoda cha Mwalimu kimepewa kazi na jukumu la kipekee ikiwa ni kuibua mijadala kupitia njia mbalimbali juu ya masuala ya maendeleo ya nchi yetu na bara letu.
"Mijadala ambayo inaziendeleza, kuzichambua, kuzikosoa, kuzipanua na kuzistawisha fikra za Mwalimu juu ya masuala mbalimbali ya maendeleo na hasa juu ya suala la umajumui wa Afrika," anasema.
Shivji anaeleza kuwa, katika kuendeleza mijadala, kigoda kimebuni njia mbalimbali zikiwemo zile za mhadhara wa Nyerere kila mwaka, tamasha la taaluma la Mwalimu Nyerere, Mbongi wa Makamu Mkuu wa Chuo, Tafakari na Mwalimu pamoja na makongamano na mihadhara ya wazi.
Profesa huyo anaendelea kueleza kuwa, mwaka huu ni wa tatu tokea kuanzishwa kwa kigoda hicho, hivyo ni wakati muafaka wa kutathmini mafanikio na kuchambua upungufu uliojitokeza.
"Kwangu mimi, kama profesa wa kwanza kukalia kigoda cha Mwalimu, faraja yangu kubwa kupita yote ni kwamba, vijana wetu wa vyuo vikuu na hata shule za sekondari wamekichukulia kigoda kama ni chombo chao, sio tu cha kitaaluma bali pia cha ushawishi wa kuukuza uzalendo wao wa kiafrika na ukereketwa wao kulikomboa bara letu kutoka ubeberu na ubepari-uchwara uliotumeza bila kifani," anasema Shivji.
Shivji anasema, popote pale panapokuwa na uzuri, ubaya haukosekani. Kwa kuwa fikra za kimaendeleo hupingwa na fikra za kihafidhina.
Na kwamba, uchambuzi wa kina kuondosha dhuluma popote pale ilipo hupingwa na fikra finyu za wale ambao daima hufikiria tu jinsi ya kulinda maslahi ya wachache badala ya kuboresha taasisi na wanajumuiya kwa ujumla wao.
"Giza la ujinga mara zote hujaribu kufunika mwanga wa uelewa. Ndio kanuni ya historia," anasema.
Anaendelea kusema kuwa, gurudumu la maendeleo katika historia ni mapambano ya kitabaka ambayo hujidhihirisha katika mkwaruzo wa mawazo miongoni mwa wasomi na wanazuoni.
Na kwamba, chuo kikuu ni medani ya mikwaruzano hii na hujitokeza katika sura mbalimbali.
"Mara nyingine wasomi wapinga maendeleo hukosa hoja, kwa hiyo hutumia nguvu na uwezo wao kuua hoja, mara nyingine badala ya kupinga hoja kwa hoja, hutumia njia za kificho na kuchakachua wazo, jina au heshima ya mtoa hoja," anasema Shivji.
Anatoa mfano kwa kusema kuwa heshima ya mtu kama mwalimu inaweza kufifishwa kwa kurudufisha vitu, taasisi au shughuli zenye jina la mwalimu, kama vile kwa kufanya hivyo ndio tunaashiria mapenzi makubwa ya fikra zake.
"Mahala pa mawazo na migongano ya fikra kama vyuo vikuu, lazima hoja zijibiwe na hoja. Mijadala, migongano na mikwaruzano ya mawazo ni moyo wa uanazuoni," anasema.
Anawaasa wasomi vijana kuwa njia pekee ya kupambana na hoja za kihafidhina ni kujenga hoja za mabadiliko zilizojikita kwenye utafiti na uchambuzi wa kina na kuweka mbele kila mara msimamo wa walio wengi.
Profesa Shivji anazungumzia tamasha la kigoda cha mwalimu lililofanyika wiki iliyopita kuwa nia yake ilikuwa ni kutafakari hasa suala la umoja wa Afrika, kwa kuwa viongozi wake hawajaweza kutimiza ndoto za Afrika.
Anasema, baada ya uhuru viongozi walioingia madarakani walianza kuangalia maslahi yao binafsi badala ya kuangalia maslahi ya wananchi.
Anakiasa kizazi kipya kutowategemea viongozi wao kwa kudhani kuwa, watawaletea mshikamano, badala yake waungane na kuleta mageuzi.
"Uhuru ni kukufanya maamuzi yetu wenyewe bila kushinikizwa na mataifa makubwa. Viongozi wetu waliotutangulia kama Nyerere na Nkrumah, waliona hayo na kutuonya," anasema.
Anasema malengo makubwa ya tamasha hilo ni kuwaamsha wananchi ili waweze kutafakari kwa kuweka medani wazi ili watu watoe fikra zao bila woga.
"Madaraka ya kisiasa na vyeo vinatumika kwa ajili ya kujitajirisha wachache, mara nyingine nasita kuita viongozi kwenye matamasha kama haya. Lakini tafsiri sahihi ya kiongozi ni yule ambaye hataki madaraka lakini anajitolea kuongoza wengine," anasema Shivji.
Kwa mujibu wa profesa huyo ni juu ya wananchi hasa vijana kuchambua na kuona tulikotoka, tuliko na tuendako.
Kwa upande mwingine, Owawa Steven, aliyejitambulisha kama mwanaharakati, anasema kuwa, mijadala yote inayofanyika imekuwa ikipingana na uhalisia uliopo, kwa kuwa miaka 50 imepita hivi sasa lakini Bara la Afrika limeshindwa kutatua matatizo yake yenyewe.
Anasema hata yale matatizo yanayotokea, bado yanatatuliwa na nchi za nje na kutolea mfano wa migogoro mbalimbali inayotokea katika nchi mbalimbali za Afrika.
"Lakini kuna migongano imedumu katika bara la Afrika kama Somalia, imeshindwa kutatua. Hii inaonyesha kuwa, majadiliano yapo kinadharia sana," anasema.
Naye mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Arusha, Dady Igogo, anasema kuwa, umoja wa Afrika ni jambo ambalo halina uhalisia na wale wote ambao wamejaribu kuanzisha upya harakati za kutaka kuungana, yamewapata kama vile Kanali Muammar Gaddafi yalivyompata.
"Wale ambao walitaka nchi zao ziwe huru kisiasa, kiuchumi na kijamii, yamewapata kama Rais Mugabe yalivyompata," anasema mhadhiri huyo.
Anasisitiza kuwa bado Afrika ni koloni la wazungu ambalo bado huratibiwa na kusimamiwa na vyombo vya Magharibi.
Anakwenda mbali zaidi na kusema kuwa viongozi wa Kiafrika wakitaka kutembelea na kusuluhisha nchi nyingine lazima waombe kibali na ruhusa kutoka nchi za Magharibi, na hii ni wazi bado ni vibaraka wanaotenda yale Wazungu wanayoyataka.
Anasisitiza kuwa mawazo ya Kwame Nkrumah na Mwalimu Nyerere bado yanapuuzwa.
 
Kigoda cha Mwalimu na harakati za ukombozi wa Mwafrika
ban.blank.jpg

Lucy Ngowi

amka2.gif
UPROFESA ni cheo cha kitaaluma ambacho ni cha juu kabisa katika vyuo vikuu. Kuna ngazi za kitaaluma katika ajira ya chuo kikuu na wahadhiri huajiriwa katika ngazi mbalimbali kutokana na sifa na vigezo rasmi vilivyowekwa.
Kwa kawaida mhadhiri hupata cheo cha uprofesa baada ya kufundisha chuo kikuu kati ya miaka kumi na kumi na tano pamoja na kufanya utafiti, kuchapisha vitabu au makala za kichambuzi katika majarida yanayotambulika kimataifa. Uprofesa kama huo ni wa kawaida.
Lakini kuna uprofesa wa aina nyingine, ambao unatokana na utamaduni wa vyuo vikuu kuunda uprofesa maalumu kwa jina la mtu mashuhuri kama njia ya kumuenzi, au kwa jina la mtu anayefadhili huo uprofesa. Uprofesa huu kwa kawaida hujikita kwenye fani mahususi.
Katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kumekuwa na uprofesa wa aina hii katika kitivo cha uhandisi tu, ambamo kulizinduliwa uprofesa katika fani ya mawasiliano-simu, na fani ya rasilimali-maji. Lakini huu ulikuwa uprofesa katika kitivo maalumu na si uprofesa katika ngazi ya chuo.
Profesa wa Kigoda cha Taaluma cha Mwalimu Julius Nyerere katika Umajumui wa Afrika, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Issa Shivji anasema, uprofesa wa taaluma wa Mwalimu Nyerere, ulikuwa wa kwanza katika ngazi ya chuo na uliundwa kumuenzi Baba wa Taifa.
Anasema ulizinduliwa Aprili 19, 2008 na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Na yeye ndiye aliyepewa heshima ya kuteuliwa kuwa profesa wa kwanza wa cheo hiki baada ya kufanyiwa usaili na kutimiza masharti mengine ya kitaaluma.
Kwa mujibu wa Shivji, kigoda cha Mwalimu kimepewa kazi na jukumu la kipekee ikiwa ni kuibua mijadala kupitia njia mbalimbali juu ya masuala ya maendeleo ya nchi yetu na bara letu.
“Mijadala ambayo inaziendeleza, kuzichambua, kuzikosoa, kuzipanua na kuzistawisha fikra za Mwalimu juu ya masuala mbalimbali ya maendeleo na hasa juu ya suala la umajumui wa Afrika,” anasema.
Shivji anaeleza kuwa, katika kuendeleza mijadala, kigoda kimebuni njia mbalimbali zikiwemo zile za mhadhara wa Nyerere kila mwaka, tamasha la taaluma la Mwalimu Nyerere, Mbongi wa Makamu Mkuu wa Chuo, Tafakari na Mwalimu pamoja na makongamano na mihadhara ya wazi.
Profesa huyo anaendelea kueleza kuwa, mwaka huu ni wa tatu tokea kuanzishwa kwa kigoda hicho, hivyo ni wakati muafaka wa kutathmini mafanikio na kuchambua upungufu uliojitokeza.
“Kwangu mimi, kama profesa wa kwanza kukalia kigoda cha Mwalimu, faraja yangu kubwa kupita yote ni kwamba, vijana wetu wa vyuo vikuu na hata shule za sekondari wamekichukulia kigoda kama ni chombo chao, sio tu cha kitaaluma bali pia cha ushawishi wa kuukuza uzalendo wao wa kiafrika na ukereketwa wao kulikomboa bara letu kutoka ubeberu na ubepari-uchwara uliotumeza bila kifani,” anasema Shivji.
Shivji anasema, popote pale panapokuwa na uzuri, ubaya haukosekani. Kwa kuwa fikra za kimaendeleo hupingwa na fikra za kihafidhina.
Na kwamba, uchambuzi wa kina kuondosha dhuluma popote pale ilipo hupingwa na fikra finyu za wale ambao daima hufikiria tu jinsi ya kulinda maslahi ya wachache badala ya kuboresha taasisi na wanajumuiya kwa ujumla wao.
“Giza la ujinga mara zote hujaribu kufunika mwanga wa uelewa. Ndio kanuni ya historia,” anasema.
Anaendelea kusema kuwa, gurudumu la maendeleo katika historia ni mapambano ya kitabaka ambayo hujidhihirisha katika mkwaruzo wa mawazo miongoni mwa wasomi na wanazuoni.
Na kwamba, chuo kikuu ni medani ya mikwaruzano hii na hujitokeza katika sura mbalimbali.
“Mara nyingine wasomi wapinga maendeleo hukosa hoja, kwa hiyo hutumia nguvu na uwezo wao kuua hoja, mara nyingine badala ya kupinga hoja kwa hoja, hutumia njia za kificho na kuchakachua wazo, jina au heshima ya mtoa hoja,” anasema Shivji.
Anatoa mfano kwa kusema kuwa heshima ya mtu kama mwalimu inaweza kufifishwa kwa kurudufisha vitu, taasisi au shughuli zenye jina la mwalimu, kama vile kwa kufanya hivyo ndio tunaashiria mapenzi makubwa ya fikra zake.
“Mahala pa mawazo na migongano ya fikra kama vyuo vikuu, lazima hoja zijibiwe na hoja. Mijadala, migongano na mikwaruzano ya mawazo ni moyo wa uanazuoni,” anasema.
Anawaasa wasomi vijana kuwa njia pekee ya kupambana na hoja za kihafidhina ni kujenga hoja za mabadiliko zilizojikita kwenye utafiti na uchambuzi wa kina na kuweka mbele kila mara msimamo wa walio wengi.
Profesa Shivji anazungumzia tamasha la kigoda cha mwalimu lililofanyika wiki iliyopita kuwa nia yake ilikuwa ni kutafakari hasa suala la umoja wa Afrika, kwa kuwa viongozi wake hawajaweza kutimiza ndoto za Afrika.
Anasema, baada ya uhuru viongozi walioingia madarakani walianza kuangalia maslahi yao binafsi badala ya kuangalia maslahi ya wananchi.
Anakiasa kizazi kipya kutowategemea viongozi wao kwa kudhani kuwa, watawaletea mshikamano, badala yake waungane na kuleta mageuzi.
“Uhuru ni kukufanya maamuzi yetu wenyewe bila kushinikizwa na mataifa makubwa. Viongozi wetu waliotutangulia kama Nyerere na Nkrumah, waliona hayo na kutuonya,” anasema.
Anasema malengo makubwa ya tamasha hilo ni kuwaamsha wananchi ili waweze kutafakari kwa kuweka medani wazi ili watu watoe fikra zao bila woga.
“Madaraka ya kisiasa na vyeo vinatumika kwa ajili ya kujitajirisha wachache, mara nyingine nasita kuita viongozi kwenye matamasha kama haya. Lakini tafsiri sahihi ya kiongozi ni yule ambaye hataki madaraka lakini anajitolea kuongoza wengine,” anasema Shivji.
Kwa mujibu wa profesa huyo ni juu ya wananchi hasa vijana kuchambua na kuona tulikotoka, tuliko na tuendako.
Kwa upande mwingine, Owawa Steven, aliyejitambulisha kama mwanaharakati, anasema kuwa, mijadala yote inayofanyika imekuwa ikipingana na uhalisia uliopo, kwa kuwa miaka 50 imepita hivi sasa lakini Bara la Afrika limeshindwa kutatua matatizo yake yenyewe.
Anasema hata yale matatizo yanayotokea, bado yanatatuliwa na nchi za nje na kutolea mfano wa migogoro mbalimbali inayotokea katika nchi mbalimbali za Afrika.
“Lakini kuna migongano imedumu katika bara la Afrika kama Somalia, imeshindwa kutatua. Hii inaonyesha kuwa, majadiliano yapo kinadharia sana,” anasema.
Naye mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Arusha, Dady Igogo, anasema kuwa, umoja wa Afrika ni jambo ambalo halina uhalisia na wale wote ambao wamejaribu kuanzisha upya harakati za kutaka kuungana, yamewapata kama vile Kanali Muammar Gaddafi yalivyompata.
“Wale ambao walitaka nchi zao ziwe huru kisiasa, kiuchumi na kijamii, yamewapata kama Rais Mugabe yalivyompata,” anasema mhadhiri huyo.
Anasisitiza kuwa bado Afrika ni koloni la wazungu ambalo bado huratibiwa na kusimamiwa na vyombo vya Magharibi.
Anakwenda mbali zaidi na kusema kuwa viongozi wa Kiafrika wakitaka kutembelea na kusuluhisha nchi nyingine lazima waombe kibali na ruhusa kutoka nchi za Magharibi, na hii ni wazi bado ni vibaraka wanaotenda yale Wazungu wanayoyataka.
Anasisitiza kuwa mawazo ya Kwame Nkrumah na Mwalimu Nyerere bado yanapuuzwa.
 
CCM inatuhadaa, tatizo si Chenge, Rostam
ban.nyamaza.jpg

Salehe Mohamed

amka2.gif
NILISHAWAHI kuandika ‘Taifa la wajinga huongozwa kijinga' nikionyesha namna viongozi wetu wanavyoutumia ujinga wetu kututawala kwa faida yao.
Leo tena nadiriki kurudia kauli hiyo hasa baada ya kuona baadhi ya watu wakishabikia kitendo cha kujiuzulu kwa wajumbe wa sekretarieti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kukinusuru chama baada ya kupoteza imani kwa wanachama na wananchi.
CCM ilikwenda mbali zaidi kwa kutoa muda wa miezi mitatu (siku 90) kwa wanachama wanaotuhumiwa kwa ufisadi kujiuzulu nyadhifa zao na kutoa onyo kuwa wasipofanya hivyo wataondolewa.
Nimesikia tayari barua kwa watuhumiwa wa ufisadi zimeshatolewa na hivi sasa kinachofanywa na safu ya uongozi mpya ni kupita mikoani kujitambulisha na kuwashawishi wananchi kuwa chama hicho kimebadilika na hakilei ufisadi.
CCM wanataka wananchi waamini kuwa umasikini wao umeshamiri zaidi kwa sababu ya uwepo wa watuhumiwa wa ufisadi ndani ya chama hicho ambao si vibaya nikawataja kwa uchache.
Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, Andrew Chenge (Bariadi Mashariki), Edward Lowassa (Monduli) ndio wanaotajwa mara kwa mara kuwa ni mafisadi na wamekiyumbisha chama na nchi kwa kiwango kikubwa.
Binafsi nimesikitishwa na ushabiki wa baadhi ya watu wanaoamini kuwa makada hao ndiyo waliochangia umaskini kama CCM inavyowataka wananchi waamini.
Ukweli ni kwamba hiyo ni hadaa ya CCM, umasikini wetu unatokana na utawala mbovu wa chama hicho kwa kushindwa kubuni mbinu na mikakati kamambe ya kutukwamua hapa tulipo licha ya kuwa na rasilimali lukuki.
Ufisadi unaodaiwa kufanywa na Rostam, Chenge na watuhumiwa wengine ni wa kitaasisi zaidi kuliko tunavyoambiwa, tusikubali ghilba zinazotolewa na watawala ili kujitafutia uhalali wa kutawala.
Siamini hata kidogo kuwa watuhumiwa wa ufisadi walikuwa na uwezo wa kwenda Benki Kuu kuchota fedha kupitia kwenye akaunti ya madeni ya nje (EPA) bila kupata baraka wakubwa wa chama na serikali.
Nani anaweza kuthibitisha kuwa Chenge akiwa mwanasheria mkuu wa serikali aliidhinisha au kushauri ununuzi wa rada, ndege ya rais bila baraka za rais wa wakati huo na baraza la mawaziri?
Ninavyojua mimi maamuzi mazito kama hayo ili yafanyike ni lazima kuwepo na baraka za baraza la mawaziri na rais wa wakati huo, je, katika mazingira haya Rais Kikwete ambaye alikuwa waziri wakati huo anawezaje kuepuka kuhusishwa na ufisadi?
CCM inajivuaje gamba bila ya Rais Kikwete kuwajibika wakati naye ni miongoni mwa watuhumiwa wa ufisadi ama kwa kushiriki au kwa kukubali kwa njia zozote zile?
Tunamtenganisha vipi na ufisadi wa IPTL, Kagoda, Meremeta, madini na mwingineo ambao kwa kiasi kikubwa umepoteza mabilioni ya fedha za wavuja jasho?
Kama kweli alikuwa akikerwa na ufisadi mbona hatukuwahi kumsikia hata siku moja akiukemea zaidi ya kukanusha kuwa chama hakihusiki na ufisadi, sasa leo hii anawezaje kutuambia wanataka kuwatosa watuhumiwa wake?
CCM ni wasanii kama kweli wana nia ya kupambana na ufisadi kwanini walishindwa kuwatosa moja kwa moja kina watuhumiwa wa ufisadi mpaka wawape miezi mitatu?
Ukweli ni kuwa CCM haina ubavu wala nia ya kuwawajibisha watuhumiwa wa ufisadi bali inafanya hivyo ili kutuliza upepo mbaya unaowavumia, hasa kwa kulea mafisadi na ufisadi.
Kama kweli chama hicho tawala kingekuwa na dhamira ya kweli ya kupambana na ufisadi kingewawajibisha watendaji wa serikali ambao kwa namna moja au nyingine walishirikiana na vigogo wa CCM.
Kuna viongozi kadhaa wa serikali ambao kwa takriban miaka mitano sasa wanatuhumiwa kushiriki kwenye ufisadi lakini serikali imekaa kimya kuwawajibisha, je, huku ndiko kujivua gamba?
Kiongozi aliyetueleza kuwa ana orodha ya waingizaji, wauzaji dawa za kulevya, lakini ameshindwa kuwawajibisha anawezaje kukisimamia chama ili kijivue gamba?
Kimsingi Kikwete, ni miongoni mwa magamba yanayotakiwa kuvuliwa ndani ya CCM, hawezi kuwa kiongozi wa kuwavua magamba wenzake.
Tusikubaliane na kafara ya CCM kwa sababu tatizo si Rostam, Chenge au Lowassa ni mfumo walionao ambao kama ungevunjwa unafuu wa maisha ya wananchi utapatikana.
Waliotufikisha hapa tulipo si Rostam, Lowassa au wengine, bali ni sera mbovu za chama ambazo zimetengenezwa ili kuwakumbatia wawekezaji na kuwaondoa wazawa kwenye maeneo ya madini, mbuga za wanyama, ardhi zenye rutuba na nyinginezo.
CCM ndio waliotuletea sera ya ubinafsishaji ambayo kwa kiasi kikubwa ndiyo imewafanya Watanzania kugeuka wageni kwenye nchi yao, imewafanya wawe wanyonge mbele ya wawekezaji, imewafanya wapigwe risasi kwenye migodi kama wafanyavyo mbwa wanaoumwa kichaa.
Ni uwekezaji gani ambao unawakaribisha mpaka wamachinga wa China, Malaysia na kwingineko kuuza maua pale Karikakoo? Ziko wapi sheria zinazozuia ajira kwa wageni kwenye kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania?
Kila kitu hivi sasa ni hobela hobela kwa sababu ya serikali ya CCM, imeruhusu uwekezaji hadi kwenye maeneo yasiyostahili kuwekezwa.
Kwa nini India, Marekani ziongoze duniani kwa kuuza tanzanite huku Tanzania haimo kwenye orodha hiyo ilhali madini hayo yanapatikana hapa nchini pekee?
Tuna sababu gani ya kuwa maskini wakati tuna dhahabu, almasi, vivutio vya utalii, tanzanite na vinginevyo? Jibu ni moja kuwa hakuna uongozi thabiti katika usimamizi wa rasilimali hizo.
CCM imeruhusu kuuzwa kwa nyumba za serikali hata kwenye maeneo nyeti kwa usalama wa nchi, leo hii mabilioni ya fedha za wavuja jasho yanapotea kwa kulipia gharama za watendaji na viongozi wa serikali wanaoishi kwenye hoteli.
Tunapokuwa na viongozi wasiojua umaskini wetu unasababishwa na nini, tutawezaje kufikia Tanzania yenye neema? Ili kulitatua tatizo ni lazima ujue kiini chake, sasa watawala hawajui kiini cha umaskini watawezaje kuendesha mapambano?
Hata tukiwateua malaika waje kuiongoza CCM hawataweza kubadili mambo kama sera za chama hicho hazitabadilisha pamoja na kutekeleza ahadi wanazozitoa kwa wananchi.
Kufikiri kuwa kuondoka kwa Yusuf Makamba katika nafasi ya ukatibu mkuu wa chama hicho ndiyo dawa ya kutatua matatizo ni kujidanganya, chama kinatakiwa kifanye mapinduzi makubwa na wala si kuziba viraka.
Leo hii mzawa amekuwa mtumwa kwenye nchi yake, amekuwa shuhuda wa rasilimali zake zikipelekwa nje ya nchi, amekuwa mnyama mbele ya mwekezaji, amekuwa kero kwa viongozi wanaojilimbikizia mali.
Yote haya hayajaletwa na mafisadi bali chama kilichoamua kuacha kuwa cha wakulima na wafanyakazi, sasa kimegeuka na kuwaacha wakoloni wa Kitanzania ambao wanagawa rasilimali kana kwamba ni mali binafsi
SITANYAMAZA kukemea hadaa hizi za CCM ambazo tusipokuwa makini ipo siku tutakuja kubaini kuwa nchi yetu imeuzwa na chama tawala na tutakapowauliza watasingizia ni mafisadi.
Nawaomba wananchi wasihadaike kuwa CCM imeamua kuzaliwa upya, wasikubali kuwa nyoka akijivua gamba hugeuka samaki, wasikubali hadaa ya upya wa chupa wakati mvinyo ni wa zamani.
CCM wamelazimika kubuni mbinu ya kuwahadaa wananchi baada ya kuona imekaliwa kooni kwa kusababisha mgawo wa umeme, ugumu wa maisha, malipo kwa Kampuni ya Dowans na mengineyo.
Nina imani kama wananchi kwa kushirikiana na vyama vya upinzani wataendelea kushikilia mambo hayo CCM hawataweza kukwepa njia ya kuyatatua, nafasi ya kuwabana tunayo tusiwaruhusu wakatuhadaa.
Dalili mbaya kwa CCM, zilianza kuonekana baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka jana ambapo walipoteza majimbo mengi yaliyoangukia kwa wapinzani ambao wameonekana kuwa na nguvu na umaarufu.
Hawa CCM wanaosema wamejivua gamba serikali yao ndiyo iliyotuandalia muswada mbovu wa sheria ya mapitio ya katiba wa mwaka 2011, badala ya kutuandalia muswada mzuri wa uundwaji wa katiba mpya.
CCM wamelewa madaraka, hawataki kusikiliza vilio vya wananchi pamoja na kutatua matatizo yanayowakabili wananchi, kila kukicha wamekuwa wakifikiri namna ya kujinufaisha wao
Tusikubali usanii wao kuwa wamejivua gamba, tuwabane mpaka watakapotuletea maisha bora waliyotuahidi miaka sita iliyopita, wasituletee mchezo wa mbuni kuficha kichwa chake ndani ya shimo ilhali mwili wote uko nje.
 
CCM wasipoangalia ndo itakuwa mbaya zaidi kwa sababu hao wafisadi kwenye majimbo Yao wamefanya vitu vingi vya maendeleo wakitamka chochote wapiga Kira wake pia wanawezakukihama cha na kwenda upinzani hasara itakuwa kwa ccm, ngoja tusubiri siku 90 maana hakuna mtu atakayekiri kwamba yeye ni fisadi hadi afukuzwe.

Ni kweli mafisadi wana nguvu kubwa ya kuamua mambo ndanii ya CCM.
Sitarajii sana mafisadi kijiondoa CCM, zaidi watang'ang'ania humo humo kwani wakiwa nje ya CCM ni hatari sana kwa mustakabali wa utajiri wa mafisadi. Pia wakiwa wanajua watashughulikiwa na serikali kirahisi.

Tusubiri
 
Can audacity for change bring back lost glory




By Florian Kaijage



17th April 2011



Comments




For more than five years corruption allegations tainted the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party, in the wake of some of its influential office bearers being accused of masterminding dubious deals that cost the nation dearly.
The allegations involving the looting of about Sh133 billion from the Central Bank's External Payments Arrears (EPA), the controversial purchase of a $40 million radar and the dubious $179million Richmond deal have haunted the ruling party for quite some time.
But, whenever the allegations surfaced, the audacity by the party establishment to ‘fire' those implicated in those and other scandals was lacking.
The Opposition capitalised on the apathy by spearheading the anti-corruption campaign, and put the future of Africa's oldest ruling party at the crossroads.
Perhaps what puzzled many was the fact that those accused of corruption resigned from their positions within the government, but continued to hold their top slots within the party.
Finally, the people spoke loudly in last year's general election, giving the ruling party a slim victory of about 61.5 percent.
However, for the first time in more than five years, CCM had the audacity to fire some of its most influential figures perceived to be the brains behind dirty deals, which have translated into a huge financial burden and loss to the country, as well as soiling the party's image and popularity.
It emerged that the party at its recent National Executive Committee (NEC) meeting in Dodoma was pressured to reach difficult conclusions as it (CCM) struggled to control the increasing internal strife ahead of the party polls in 2012 and general election in 2015.
A few high-profile, well-connected figures were said to be untouchables and applied their enormous influence to fight off various attempts to dislodge them from their leadership positions.
The clout and attendant arrogance have however been weakened, in the wake of the CCM establishment's long-nursed patience snapping, resulting in those heavyweights being thrown out of the Central Committee, the superior organ to NEC.
Hopes of bouncing back would be tantamount to pipe dreams as CCM has issued a three-month ultimatum to the culprits to resign from their leadership posts voluntarily; risking stern party sanctions if they don't comply.
The emphatic tones on the issue via the media by newly appointed Deputy General Secretary John Chiligati and Secretary for Ideology and Publicity Nape Nnauye spell doom for the individuals in question.
Their boss, Secretary General Wilson Mukama, also a new entrant into the CCM secretariat, also voiced mess-clearing sentiments that spell doom for perceived wayward individuals.
Topping the list – on account of seniority – is ex-premier Edward Lowassa, who resigned in 2008, amid consistently escalating allegations that he used his influence to influence the government to award an electricity generation tender to the mysterious, much-discredited Richmond company.
Lowassa's pensive mood during the NEC meeting was indicative of a one-time popular politician whose political future was bleak.
He was accused of violating public tendering procedures as provided for in the Public Procurement Act, under the pretext of rushing to avert the looming crisis of the country being enveloped by total darkness.
Since his resignation, Lowassa, a close friend of President Jakaya Kikwete who doubles as CCM National Chairman, assumed a low profile, rarely making public appearances and avoiding media reactions to scathing criticisms against his prime ministerial tenure.
Predictably, he successfully defended his Monduli parliamentary constituency seat in last year's election, but the first tangible evidence that his dimming star was beginning to shine again was his appointment as chairperson for Parliamentary standing Committee on Foreign Affairs, Defence and Security.
The slot, according to political analysts, was a potential springboard for Lowassa to both repair his considerably damaged image and campaign for CCM's candidature for the 2015 Presidential race.
A shot for that highest office in the land would otherwise be much tougher if he were to count solely on being an MP, plus influence dating back to his ministerial and prime ministerial era.
But the proverbial Nyerere ghost can't be wished away. During the countdown to the 1995 presidential election, the first under the multi-party dispensation, the Father of the Nation, as powerful CCM National Chairman, disqualified Lowassa as candidate (due, reportedly, to his wealth-amassing tendencies) , ticking off Benjamin Mkapa as the suitable candidate instead.
Kikwete was in the race, too, but insiders hinted that Mwalimu prevailed upon him to be patient and gun for entry to Ikulu after Mkapa's ten-year tenure in 2005, when he would have become a more experienced and more mature politician.
Some observers say Lowassa's presidential ambitions may be wrecked by the Nyerere ghost, which his rivals may invoke as a basis for his unsuitability to become head of state.
Rostam Aziz, Member of Parliament for Igunga in Tabora Region is another focus of CCM's cleansing mission.
He was constantly reported to be associated with Richmond, which cost Lowassa's political life as PM and subsequently Dowans Tanzania Ltd and Dowans South Africa which took over Richmond activities.
He has been linked to the ‘dubious firm' that bears the name Kagoda Agricultural Company Limited, which is at the centre of the Sh194bn which was withdrawn from the EPA at the Bank of Tanzania (BoT) in 2005, a few months before elections that catapulted Jakaya Mrisho Kikwete to the presidency.
Though a number of dubious companies were named, and ordered to repay the withdrawn money, it was alleged that part of the money was spent on the CCM presidential campaigns. But Rostam and the party vehemently dismiss the allegations.
Sources within the NEC meeting confirmed to The Guardian on Sunday that for being accused openly Rostam Aziz opted for resignation from his parliamentary post and as NEC member, but had second thoughts following consultations with Stephen Wassira, the State Minister in the President's Office responsible for Public Relations and Coordination.
Rostam, who once served as CCM treasurer as he headed Finance and Economic Affairs department and controlled all the funds during the 2005 Kikwete campaigns, reportedly boycotted the last session of the NEC meeting, complaining of unfair treatment and criticism leveled against him.
Reports say that Mara Regional Party Chairperson Makongoro Nyerere, son of Mwalimu Nyerere, argued strongly that if CCM was keen on retaining its status as the ruling party, it must cultivate uncompsomising intolerance for corrupt elements within its ranks.
The last bigwig kicked out of the party's key organ is Andrew Chenge, Member of Parliament for Bariadi West in Shinyanga Region.
The former Attorney General during Mkapa's reign and later Minister of Infrastructure under Kikwete was accused of deliberately misleading the government during the process of buying the overpriced Radar from BA Systems of England for allegedly personal gains.
He resigned from the ministerial post in response to mounting pressure by the public, which was particularly angered by underplaying the significance of the Sh1billion he allegedly pocketed from the Radar deal as ‘vijisenti' loose change or peanuts.
National CCM Chairman Kikwete said the recent decisions, which he conceded were difficult, were geared at re-setting the party on a new track.
A common thread that runs through postmortems within and outside CCM, is that corruption by some influential Establishment personalities was instrumental in the party's poor performance in the 2010 presidential elections, earning 61 percent – roughly 20 per cent drop from the preceding pols in 2005.

What next
The CCM fraternity is overwhelmingly delighted by the recent decisions by its key organs, as they seek to cleanse the party and therefore create a conducive environment ahead of, respectively, the 2012 and 2015 CCM and general elections.
In politics, though, its is not proper, and in some cases actually suicidal to take things for granted. Retention of power by CCM, as well as bridging factional differences and forging full-scale cohesion, cannot, therefore, be foregone conclusions.
The party's major challenges are thus broadly two-fold: firstly, it has to contend with a consistently maturing opposition that, as the last elections showed, is increasingly endeared to the citizenry.
Secondly, those targeted for purging from key posts, or their voluntary exit may on the surface represent victory for CCM, but beneath the surface, the ‘victims' may pursue the military tactic of ‘tactical retreat', to re-strategise and make a comeback as a more energized fighting force.
Lowassa and Chenge may do that. Rostam is essentially a symbolic politician who seldom speaks in public , not even in Parliament; but behind-the-scenes, he is reportedly a wheeler-dealer who, as a businessman, has a stake on the composition of the government. It would thus be a mistake to conclude that he has, or will soon become irrelevant as part of the caucus of ‘king makers' and ‘destroyers'.
Kikwete, for one, is at a cross-roads. He rode to the presidency on an unprecedented wave of popularity in 2005, but the popularity gradually waned as his much-orchestrated ‘Better Life for Every Tanzanian' slogan didn't translate considerably into action, but life became harder for wananchi instead.
In the 2011 polls campaign, the man fondly referred to as JK gave various promises which, if his fifth phase government manages to fulfill, will redeem his popularity; the reverse would earn his legacy harsh judgement as a failure.
On the CCM front, he is tasked to restore its popularity and steer it to admirable victories at various levels in the 2015 elections, the climax of which will mark the end of his ten-year-old tenure as Head of State.
Peaceful and admirable presidential retirement, and earning the ‘statesman' title into the bargain, are certainly taxing his mind, as they did to his predecessors, and will confront his successors.



SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
Looming crisis: How empty stomachs, dry fuel tanks will haunt EA region




By Staff writer



17th April 2011



Comments




As East African Presidents meet in Dar es Salaam tomorrow (Monday), the surging fuel prices and the skyrocketing of food prices pose a serious threat that could turn the region into a demonstration zone, The Guardian on Sunday has learnt.
The East African leaders will on Monday attend the 9th Africa Investment Forum at Mlimani City International Conference Centre hosted jointly by the Government of the United Republic of Tanzania, the Commonwealth Business Council and the East African Community (EAC).
But, as they meet in Dar es Salaam, back home millions of their people can't afford the rising food prices as well as the surging fuel cost in the region.
On Friday, this week, the World Bank warned that rising food prices, driven partly by rising fuel costs, are pushing millions of people into extreme poverty.
World food prices are 36 percent above levels of a year ago, driven by problems in the Middle East and North Africa, and remain volatile, the bank said.
That has pushed 44 million people into poverty since last June. A further 10 per cent according to the bank rise would push 10m people more below the extreme poverty line of $1.25 (76p) a day, warned, adding that a 30 percent cost hike in the price of staples could lead to 34 million more poor.
With Tanzanian consumers facing the highest pumps prices which in the past twelve months have surged by between 33 and 55 percent, their counterparts in Uganda and Kenya are also nursing the wounds of the skyrocketing oil prices.
In Zanzibar archipelago, the residents have threatened to stage demonstration to protest the skyrocketing of fuel prices which has also hiked transport cost in the isles.
In Tanzania fuel prices have gone up by an average of 33 percent, reaching about Sh1970 per litre in Dar es Salaam and Sh2,200 per litre of petrol in upcountry outlets.
According to a survey conducted by comparing how fuel prices traded in March, 2010 and where it stood by March 9, this week, kerosene, which is consumed by majority of Tanzanians, has increased by 59 percent in both Dar es Salaam and upcountry.
While in March last year, petrol prices in Dar es Salaam and upcountry traded at between Sh1,462 and Sh1,669 per litre, by March, this year, prices were at Sh1970 and Sh2170, our survey has established.
According to our survey, in March, last year, Kerosene was trading at Sh963 per litre but by mid this week prices surged to Sh1537 per litre, sending an alarming message to millions of consumers who depend on it as their main source of energy.
With about 450,000 vehicles cruising on Tanzania's roads with almost 60 percent of these being in Dar es Salaam, oil dealers predict that prices could reach up to historic Sh2,700 per litre before the end of the year should the global situation remain the same.
Tanzania consumes 1.54 million cubic metres per annum of petroleum products or 0.01percent of the world's share, according to data from Energy and Water Utility Regulatory Authority's website.
According to Ewura's monthly fuel prices report, the surge of prices at the domestic market is mainly caused by the skyrocketing of crude oil at the global market resulting from the unrest in some oil producing countries like Libya, Oman and Egypt and the growing demand mainly in China.
While oil is expected to lose a little of its overall market share, since its 30-year increase is expected to be 60 percent, some areas of the world are expected to see an explosive increase in oil use.
For example, oil consumption in China is expected to soar from around 5 mb/d (250 metric tons a year) in 2000 to 12 mb/d (600 mt/y) in 2030. Soaring Chinese demand contributed to the record-high crude oil prices recorded in 2004.
Another factor, according to the regulator, is the weakening of the shilling against the major international currencies, especially the US Dollar. For the past few months the shilling has been trading at Sh1,500 against US dollar compared to Sh1,300 recorded in March, last year.
"What disturb me is that despite the worsening situation, our leaders are busy with cheap politics instead of addressing serious threat facing our country…politics without food is a disaster." A senior lecturer from the University of Dar es Salaam who declined to be named told The Guardian on Sunday.
The Senior Lecturer added, "For the past few weeks politicians have focused on Loliondo, Dowans and many more but without addressing the rising cost of living caused by high fuel prices and acute food shortage."
In Tanzania food prices have gone up by 30 and 50 percent respectively, during the past few months, making the cost of living ‘a dream to millions' in a country where 40 percent of the total population live below the poverty line.
For instance while a kilo of first grade rice was trading at Sh1,000 by June last year, currently, the price has surged to Sh1600 per kilo, raising a concern to millions especially in the urban areas where the commodity is their staple food.
During that period, a kilo of maize flour has surged to Sh1,000 from Sh600 recorded in mid last year.
In its report released on Friday, the World Bank says prices of basic commodities remain close to their 2008 peak, with the prices of wheat, maize and soya all rocketing.
The only exception is rice, which has fallen slightly in price in the past year.
The bank suggests a number of measures to help alleviate the impact of high food prices on the poor.
They include encouraging food-producing countries to ease export controls, and to divert production away from biofuels production when food prices exceed certain limits.
Other recommendations include targeting social assistance and nutritional programmes to the poorest, better weather forecasting, more investments in agriculture, the adoption of new technologies - such as rice fortification to make it more nutritious, and efforts to address climate change.
It also said financial measures were needed to prevent poor countries being subject to food price volatility.
According to details gathered by The Guardian on Sunday for two weeks, the situation if not curbed, could trigger social unrest in the country especially in major towns as some opposition leaders plan to use it as an entry point to stage demonstration.
Already in Uganda, where opposition leader retired Colonel Kiiza Besigye has staged walk-to work-demonstration several people have been killed by the government forces in a bid to stop the escalating anti-government peaceful demonstration.
The walk-to-work campaign was organised by a pressure group Action 4 Change countrywide protesting high fuel prices and the rising cost of living in Uganda.



SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
CCM alerted




By The guardian team



14th April 2011



Comments




headline_bullet.jpg
Butiku: Some are seeking wealth and leadership



Butikusema.jpg

Joseph Butiku


CCM has been cautioned to watch out against a group of members said to be searching for leadership and wealth at the same time.
The caution was sounded by the Executive Director and Trustee of the Mwalimu Nyerere Foundation Joseph Butiku in Dar es Salaam yesterday.
Butiku hailed the move to get rid of leaders and members who do not believe in the party principles, saying the changes were good because they were adopted after a lengthy discussion.
However, he pointed out the emergence of two types of leaders in the party at the same time.
"There are leaders and members of CCM who know the party's principles and its manifesto, but do not uphold them at all, while on the other side are those who know the principles and the manifesto and faithfully uphold and implement them."
He said it is important for the party to get rid of members who do not apply its principles because they are the ones who have been tarnishing its image.
"One of the principles of our party is to fight against corruption," he pointed out.
Butiku who was being interviewed at the ongoing festival of the Mwalimu Nyerere's Intellectual Chair at the University of Dar es Salaam pointed out that CCM is still the same party left behind by Mwalimu Nyerere in terms of its manifesto, directives and operating procedures.
Meanwhile the newly elected Ideology and publicity secretary for CCM, Nape Nnauye told the press yesterday that if there were corrupt people planning to ruin the party, they will not succeed because it is well organised.
He said he was confident the party would win the war against corruption because it has good strategies to fight the evil.
He was briefing journalists on the party's programme of meeting members and introducing the new leaders starting today.
He said today's meeting will be held at Nyerere square grounds and would be led by the party's National Vice Chairperson, Pius Msekwa.
Nnauye said the party is undertaking the tour following many requests by members who want to congratulate the new leaders led by Secretary General Wilson Mukama.
He said the party will also introduce the new leadership in Morogoro on Friday.
"We will be received by CCM members. We will talk to them, introduce the new leaders and explain the decisions reached by NEC," Nnauye said.
He further said they expect to be in Coast Region on Saturday, passing through Chalinze and Kibaha and will be received by the Party's chairman Jakaya Kikwete.
"On the same day, the processions will proceed to Dar es Salaam where we will address our members again at the CCM Sub –Head office at Lumumba Street," he said.
He added that the leaders are expected to be in Zanzibar on Sunday, followed by a break before proceeding to other regions in the country.



SOURCE: THE GUARDIAN


0 Comments | Be the first to comment
 
CCM alerted




By The guardian team



14th April 2011



Comments




headline_bullet.jpg
Butiku: Some are seeking wealth and leadership



Butikusema.jpg

Joseph Butiku


CCM has been cautioned to watch out against a group of members said to be searching for leadership and wealth at the same time.
The caution was sounded by the Executive Director and Trustee of the Mwalimu Nyerere Foundation Joseph Butiku in Dar es Salaam yesterday.
Butiku hailed the move to get rid of leaders and members who do not believe in the party principles, saying the changes were good because they were adopted after a lengthy discussion.
However, he pointed out the emergence of two types of leaders in the party at the same time.
“There are leaders and members of CCM who know the party’s principles and its manifesto, but do not uphold them at all, while on the other side are those who know the principles and the manifesto and faithfully uphold and implement them.”
He said it is important for the party to get rid of members who do not apply its principles because they are the ones who have been tarnishing its image.
“One of the principles of our party is to fight against corruption,” he pointed out.
Butiku who was being interviewed at the ongoing festival of the Mwalimu Nyerere’s Intellectual Chair at the University of Dar es Salaam pointed out that CCM is still the same party left behind by Mwalimu Nyerere in terms of its manifesto, directives and operating procedures.
Meanwhile the newly elected Ideology and publicity secretary for CCM, Nape Nnauye told the press yesterday that if there were corrupt people planning to ruin the party, they will not succeed because it is well organised.
He said he was confident the party would win the war against corruption because it has good strategies to fight the evil.
He was briefing journalists on the party’s programme of meeting members and introducing the new leaders starting today.
He said today’s meeting will be held at Nyerere square grounds and would be led by the party’s National Vice Chairperson, Pius Msekwa.
Nnauye said the party is undertaking the tour following many requests by members who want to congratulate the new leaders led by Secretary General Wilson Mukama.
He said the party will also introduce the new leadership in Morogoro on Friday.
“We will be received by CCM members. We will talk to them, introduce the new leaders and explain the decisions reached by NEC,” Nnauye said.
He further said they expect to be in Coast Region on Saturday, passing through Chalinze and Kibaha and will be received by the Party’s chairman Jakaya Kikwete.
“On the same day, the processions will proceed to Dar es Salaam where we will address our members again at the CCM Sub –Head office at Lumumba Street,” he said.
He added that the leaders are expected to be in Zanzibar on Sunday, followed by a break before proceeding to other regions in the country.



SOURCE: THE GUARDIAN


0 Comments | Be the first to comment
 
CCM outlines 2015 eletoral strategies

By DAILY NEWS Reporter, 16th April 2011 @ 14:00, Total Comments: 0, Hits: 279

THE ruling CCM has at last presented the reasons that led to cleansing itself and being reborn with the aim of restoring confidence among its members and popularity in the eyes of the public.

Addressing thousands of CCM members and other citizens who turned up to extend a tumultuous welcome to the new party secretariat at the Bakhresa ground in Dar es Salaam on Saturday, the Deputy CCM Chairman (Mainland), Mr Pius Msekwa, listed six reasons that led the party to make a clean-up.


He said that the results of the elections which were held in the country last year were a clear indication that the party had started losing people's confidence, a factor that made President Jakaya Kikwete to form a special committee of six people who included experts (who were not CCM members) to trace the root cause behind this development. The committee was led by Mr Wilson Mukama.


The committee outlined the reasons that contributed to people's rejection of CCM. Only a few people gave their votes to the CCM presidential candidate, a situation that led the party to lose many constituency seats. This also reduced its subsidies.


The committee explained that CCM became liable for carrying a big burden of some of its members who were accused by the people of engaging in corruption. As a result people drew a general conclusion that CCM was tainted with corruption and bribery.


"This was the first problem that the Chairman, Mr Kikwete, took measures to show that we are not corrupt and we are not condoning corruption. Therefore, we have decided to do away with all corrupt elements in the party," he said.


Mr Mukama's committee also explained how the poor system of running the party, had contributed to the party's loss of popularity. They attributed such resentments arising from the poor chain of command at the national level.


It was mentioned that skipping some levels of authority in the party hierarchy led some leaders going straight to the party branches, sidelining officials by giving directives to the branches.


This denied CCM leaders a chance to be near the people, a situation that dashed the posibility of winning their hearts and minds in supporting the party.


The third reason was the economic hardships that people were facing. The committee members said that the party had failed to supervise and facilitate better life for every Tanzanian.


According to Mr Msekwa, the fourth reason was lack of youth participation in the affairs of the party. Instead, he said, the party was concentrating on appeasing the old guards. The youth had told them that CCM has a treasure of youth that was lying idle and the party took the challenge to address the matter.


The fifth reason, according to him, was the existence of factions within CCM members, which clearly manifested itself during the last parliament that just completed a one year cycle.


This prompted the President to appoint former president Ally Hassan Mwinyi, Mr Msekwa and Mr Abdulrahman Kinana to probe the matter, he said. The sixth reason was the party fielding candidates who were not acceptable to the people.


He also said that in preparation for the 2015 elections it was eminent that if the party was not to "commit suicide" it should undergo drastic changes.


As a matter of fact some elements in the party had started to develop strategies to hinder the implementation of the Party Manifesto for 2010/2015.


The resignation of the National Executive Committee was the first step towards embracing changes and this will have a trickle-down effect at all levels
 
What next after CCM changes? Send to a friend Sunday, 17 April 2011 09:35 digg

By The Citizen Reporters
Dar es Salaam. Despite making changes to its secretariat and central committee, CCM faces difficult times ahead as competing forces within the party marshal for support in what could become a major showdown whose outcome, analysts say, may redefine the country’s political landscape ahead of President Jakaya Kikwete’s succession in 2015. CCM national chairman Kikwete and the party’s new leadership could be in for some trying moments as the party prepares to implement some tough decisions arrived at last week’s National Executive Committee and Central Committee meetings in Dodoma.

One of the resolutions is an apparent agreement to offload some party heavyweights, whose alleged link to corruption has been cited as a constant drawback in efforts to clean the party’s tainted image to win approval, mainly among the youth and well schooled segment of the population.


Some CCM insiders and independent political commentator say the planned expulsion of scores of members, even if well intentioned, could backfire and deepen existing divisions and cause irreparable damage to the party’s endeavour to continue holding power beyond 2015.


The Dodoma meeting gave a three-month ultimatum to unnamed leaders holding various positions in the party hierarchy to voluntarily step down or face expulsion. No particular names or positions were given and it was not made very clear if those targeted will leave the party altogether. However, the new deputy secretary-general (Mainland), Captain (rtd) John Chiligati, gave a hint in Dodoma, suggesting that those on notice were the ones whose names have frequently been linked with various major corruption scandals in the country.


Capt Chiligati mentioned some of the scandals as the External Payment Arrears (EPA) account in which about Sh133 billion ($116 million) was lost by the Bank of Tanzania to 22 companies in 2005 through repayment of the country’s external debt and the Richmond saga, where a $172 million emergency power generation contract was awarded to a company which a parliamentary probe committee dismissed as a “briefcase outfit”.

Former Prime Minister Mr Edward Lowassa and former Cabinet ministers Nazir Karamagi and Ibrahim Msabaha resigned after they were adversely mentioned in the committee’s report.

But as CCM members and an anxious public await the outcome, warnings have begun to emerge over the intended purge. A NEC member who attended the Dodoma meetings told The Citizen on Sunday that the plan to expel those perceived as corrupt had put the party on a “knife edge”.The official, who did not want to be named due to the sensitivity of the discussions, said the names of some “very powerful” people in CCM were being mentioned as among those the party wanted to get rid of.


He added that it was safe to conclude that CCM was headed for an irreparable split.

“Some of us are concerned about how this unprecedented exercise will be carried out. Who doesn’t know the influence of these people? Their tentacles run very deep, and their expulsion could see half of the members leaving the party,” said the source, who heads one of CCM’s regional secretariats.

The head of the Department of Political Science and Public Administration at the University of Dar es Salaam (UDSM), Dr Benson Bana, also cautioned the party against making assumptions as far as corruption was concerned.

“We all know that this country is governed by the rule of law…it’s true that Nyerere insisted on one taking responsibility even when he or she is just a suspect, but we should keep in mind that it’s only a court of law that can prove one’s innocence or otherwise. There are a lot of rich people in CCM, so where do you draw the line?” he queried.


He added: “I have said before that this party needs to go back to basics, and that is the Arusha Declaration, where the corrupt should never join the party in the first place.”Reached for comment yesterday, Capt Chiligati, who was elevated in Dodoma from the post of publicity and ideology secretary, was adamant, saying the party would implement all resolutions arrived at in Dodoma.


“There is no one who is more powerful than the party itself. The CC (Central Committee) has decided and the National Executive Committee unanimously agreed that they should go, they should do that,” he said, adding that fears of a damaging fallout were unfounded. During the Dodoma meeting, Mr Kikwete was quoted saying: “We will ask them to take responsibility, and if that doesn’t happen then we will ask the delegates to deal with them.”


Pundits, however, said as things stood now, the planned countrywide weeding of “undesirable” elements would not be easy since the targeted group includes officials running party affairs across the country.


“A lot needs to be done since those being targeted are so powerful, and must be strategising already,” Mr Joseph Butiku, executive director and trustee of the Mwalimu Nyerere Foundation, told The Citizen on Sunday on the sidelines of the third Julius Nyerere Intellectual Festival Week at the UDSM.
Two top UVCCM officials, Mr Paul Makonda (Kilimanjaro), and Mr Hussein Bashe, who are both members of the wing’s executive council, have expressed contrasting views on how the intended purge should be carried out.

Mr Makonda told a press conference in Dar es Salaam that there were “hundreds” of corrupt people in CCM’s top echelons, adding that none should be spared if the party was really intent on being viewed as serious in its endeavour to cleanse itself.

For his part, Mr Bashe said he had written to the new secretariat, warning against smear campaigns and what he described as “personality politics”. “Character assassination won’t take us anywhere if we want to get out of the shell and remain united,” he said.

Writing about the CCM challenges, UDSM lecturer Azaveli Lwaitama said CCM should revisit the Arusha Declaration to see where it went astray. He said, however, that the problems the country was facing required much more than just leadership changes in CCM or other political parties. He said leaders should focus on issues of leadership and policy reforms rather than engaging in a witch-hunt of a few “rotten apples”.
Reported by Tom Mosoba and Sylivester Ernest



Comments




0 #1 Daniel Kyoma 2011-04-17 10:59 CCM is trying to clean the cup from the outside.It is trying to impress the community especially the learned youth.
Nothing new as new members are in one way or another associated to the former incubets.Like father like son.

Quote







Refresh comments list
RSS feed for comments to this post
 
Sitta makes an emphatic return to NEC Send to a friend Saturday, 16 April 2011 11:45 digg

sittaspika.jpg
Mr Samuel Sitta

By The Citizen Reporter
Dodoma. Former speaker of the National Assembly, Mr Samuel Sitta was overwhelmingly voted back into Chama Cha Mapinduzi National Executive Committee (NEC) on Thursday.The ruling party MPs meeting in Dodoma endorsed Mr Sitta's candidature by 104 votes to give him an emphatic approval to represent them in one of the top decision making organs of CCM. He garnered a higher number of votes than any of the other contestants.

The Urambo East MP lost his NEC membership in November last year when the party settled for Ms Anne Makinda for the speaker's post. Mr Sitta, who had intended to vie for a second term as speaker failed in the bid as NEC chose to endorse only women contestants.

By virtue of her position, Ms Makinda became an automatic member of the party's Central Committee (CC), replacing her predecessor. But on Thursday it was clear the former Speaker was still popular with most of the ruling party MPs, some of whom campaigned openly for him to enable his name carry the day for the few seats usually reserved for the party's parliamentary caucus.

Other than NEC, the Central Committee is the other most powerful ruling party organ, which is chaired by the national chairman who is usually the sitting president, and together drive the party's agenda and makes decisions for all its over 5 million members countrywide.

Mr Sitta who still holds the East African Community portfolio, as minister will be joined by Mr Livingstone Lusinde (Mtera), Mr Nimrod Mkono (Musoma Rural) and Mr Abbas Mtemvu (Temeke) who also garnered the required votes.

Other new NEC members included minister of State in the President's Office (Public Service Management) Hawa Ghasia, deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation Mahadhi Juma Maalim, Special Seats MPs Angela Kairuki, Munde Tambwe and Faida Mohamed Bakari and Kigoma Urban MP Peter Serukamba.

Notable names of those who failed to clinch the NEC tickets include the minister for Lands, Housing and Human Settlements Development, Prof Anna Tibaijuka, Deputy Minister for Communications Athman Mfutakamba, Brigadier General (rtd) Hassan Ngwilizi, Murtaza Mangungu, Buchosa MP Dr Tizeba and the outspoken Simanjiro MP Christopher ole Sendeka.

Other losers were: Kigamboni MP, Dr Faustine Ndungulile, Solwa's Ahmed Salum Ali, Yahya Kassim Issa, Mwanahamisi Kassim Saidi, Martha Mlata and Saidi Mussa Zubeir.

Early withdrawal
The contest also saw some MPs withdrawing early for unknown reasons. These were deputy minister for Works Harrison Mwakyembe, Deputy Speaker Job Ndugai, Dr Hamis Kigwangala, Lediana Mg'ong'o and former Union Affairs minister Muhammad Seif Khatib.

Peramiho MP Ms Ganister Magma was elected secretary of the CCM MPs committee, a position that gives her an automatic seat in the ruling party's Central Committee. The MP is also one of the alternate chairmen in Parliament. The MPs committee is chaired by Prime Minister Mizengo Pinda and is usually used to mobilise the party's support of various issues that come up in Parliament.

Last week, CCM conducted its NEC and CC meetings for three days in Dodoma, during which the entire party's secretariat and the Central Committee resigned to pave the way for the appointment of new officials in what has been billed a "rebirth" for a party facing internal division and stiff political competition from smaller opposition parties.

The resignation saw Mr Mukama replace Mr Yusuf Makamba as party's new secretary-general. Mr January Makamba, the outgoing secretary general's son, took the post of head of the Foreign Affairs Committee, replacing Mr Bernard Membe, the minister for Foreign Affairs and International Cooperation

Captain (rtd) Chiligati, who was the publicity secretary, became the new Deputy Secretary, General for Mainland. Mr Chiligati succeeds Captain (Rtd) George Mkuchika, while Mr Vuai has taken over from Mr Saleh Ramadhan Feruz as Deputy in Zanzibar. The NEC, one of the ruling party's top decision-making organs, also announced names of members of its Central Committee, dropping political heavyweights like the controversial Igunga MP Rostam Aziz and his Bariadi West counterpart, Mr Andrew Chenge.

The new Mainland CC members announced by President Kikwete are: Mr Abdulrahman Kinana, Ms Zakia Meghji, Mr Abdallah Kigoda, Mr Steven Wassira, Ms Pindi Chana, Mr William Lukuvi and Ms Constancia Buhiye.

The Zanzibar CC members are: Dr Hussein Mwinyi, Dr Maua Daftari, Ms Samia Suluhu Hassan, Mr Shamsi Vuai Nahodha, Mr Omari Yusuf Mzee, Mr Makame Mbarawa Mnyaa and Mr Mohamed Seif Khatibu.

The members of the party secretariat now are: Mr Mukama, Mr Chiligati, Mr Vuai, Mr Makamba (Foreign Affairs), Mr Mungulu Mchemba (Finance and Economic Affairs), Ms Asha Abdallah Juma (Organisation) and Mr Nape Nnauye (Publicity).

President Kikwete also named the new NEC members as: Ms Anna Abdallah, Mr Peter Kisumo, Mr Mchemba, Mr Makamba, Mr Ali Juma Shamhuna, Mr Emmanuel Nchimbi, Mr Mukama and Haji Omari Kheri.



Comments




0 #1 Doctor No 2011-04-17 02:13 The brick is rolling dowhill now, uh?
Quote







Refresh comments list
RSS feed for comments to this post
 
mimi naogopa pale EL atapowataja waliokula nae pesa sijui na mkubwa wetu katika taifa yumo?
 
Sitta makes an emphatic return to NEC Send to a friend Saturday, 16 April 2011 11:45 digg

sittaspika.jpg
Mr Samuel Sitta

By The Citizen Reporter
Dodoma. Former speaker of the National Assembly, Mr Samuel Sitta was overwhelmingly voted back into Chama Cha Mapinduzi National Executive Committee (NEC) on Thursday.The ruling party MPs meeting in Dodoma endorsed Mr Sitta’s candidature by 104 votes to give him an emphatic approval to represent them in one of the top decision making organs of CCM. He garnered a higher number of votes than any of the other contestants.

The Urambo East MP lost his NEC membership in November last year when the party settled for Ms Anne Makinda for the speaker’s post. Mr Sitta, who had intended to vie for a second term as speaker failed in the bid as NEC chose to endorse only women contestants.

By virtue of her position, Ms Makinda became an automatic member of the party’s Central Committee (CC), replacing her predecessor. But on Thursday it was clear the former Speaker was still popular with most of the ruling party MPs, some of whom campaigned openly for him to enable his name carry the day for the few seats usually reserved for the party’s parliamentary caucus.

Other than NEC, the Central Committee is the other most powerful ruling party organ, which is chaired by the national chairman who is usually the sitting president, and together drive the party’s agenda and makes decisions for all its over 5 million members countrywide.

Mr Sitta who still holds the East African Community portfolio, as minister will be joined by Mr Livingstone Lusinde (Mtera), Mr Nimrod Mkono (Musoma Rural) and Mr Abbas Mtemvu (Temeke) who also garnered the required votes.

Other new NEC members included minister of State in the President’s Office (Public Service Management) Hawa Ghasia, deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation Mahadhi Juma Maalim, Special Seats MPs Angela Kairuki, Munde Tambwe and Faida Mohamed Bakari and Kigoma Urban MP Peter Serukamba.

Notable names of those who failed to clinch the NEC tickets include the minister for Lands, Housing and Human Settlements Development, Prof Anna Tibaijuka, Deputy Minister for Communications Athman Mfutakamba, Brigadier General (rtd) Hassan Ngwilizi, Murtaza Mangungu, Buchosa MP Dr Tizeba and the outspoken Simanjiro MP Christopher ole Sendeka.

Other losers were: Kigamboni MP, Dr Faustine Ndungulile, Solwa’s Ahmed Salum Ali, Yahya Kassim Issa, Mwanahamisi Kassim Saidi, Martha Mlata and Saidi Mussa Zubeir.

Early withdrawal
The contest also saw some MPs withdrawing early for unknown reasons. These were deputy minister for Works Harrison Mwakyembe, Deputy Speaker Job Ndugai, Dr Hamis Kigwangala, Lediana Mg’ong’o and former Union Affairs minister Muhammad Seif Khatib.

Peramiho MP Ms Ganister Magma was elected secretary of the CCM MPs committee, a position that gives her an automatic seat in the ruling party’s Central Committee. The MP is also one of the alternate chairmen in Parliament. The MPs committee is chaired by Prime Minister Mizengo Pinda and is usually used to mobilise the party’s support of various issues that come up in Parliament.

Last week, CCM conducted its NEC and CC meetings for three days in Dodoma, during which the entire party’s secretariat and the Central Committee resigned to pave the way for the appointment of new officials in what has been billed a “rebirth” for a party facing internal division and stiff political competition from smaller opposition parties.

The resignation saw Mr Mukama replace Mr Yusuf Makamba as party’s new secretary-general. Mr January Makamba, the outgoing secretary general’s son, took the post of head of the Foreign Affairs Committee, replacing Mr Bernard Membe, the minister for Foreign Affairs and International Cooperation

Captain (rtd) Chiligati, who was the publicity secretary, became the new Deputy Secretary, General for Mainland. Mr Chiligati succeeds Captain (Rtd) George Mkuchika, while Mr Vuai has taken over from Mr Saleh Ramadhan Feruz as Deputy in Zanzibar. The NEC, one of the ruling party’s top decision-making organs, also announced names of members of its Central Committee, dropping political heavyweights like the controversial Igunga MP Rostam Aziz and his Bariadi West counterpart, Mr Andrew Chenge.

The new Mainland CC members announced by President Kikwete are: Mr Abdulrahman Kinana, Ms Zakia Meghji, Mr Abdallah Kigoda, Mr Steven Wassira, Ms Pindi Chana, Mr William Lukuvi and Ms Constancia Buhiye.

The Zanzibar CC members are: Dr Hussein Mwinyi, Dr Maua Daftari, Ms Samia Suluhu Hassan, Mr Shamsi Vuai Nahodha, Mr Omari Yusuf Mzee, Mr Makame Mbarawa Mnyaa and Mr Mohamed Seif Khatibu.

The members of the party secretariat now are: Mr Mukama, Mr Chiligati, Mr Vuai, Mr Makamba (Foreign Affairs), Mr Mungulu Mchemba (Finance and Economic Affairs), Ms Asha Abdallah Juma (Organisation) and Mr Nape Nnauye (Publicity).

President Kikwete also named the new NEC members as: Ms Anna Abdallah, Mr Peter Kisumo, Mr Mchemba, Mr Makamba, Mr Ali Juma Shamhuna, Mr Emmanuel Nchimbi, Mr Mukama and Haji Omari Kheri.



Comments




0 #1 Doctor No 2011-04-17 02:13 The brick is rolling dowhill now, uh?
Quote







Refresh comments list
RSS feed for comments to this post
 
Why does that old tyrant Nyerere look so good today? Well, just look around you...

Jenerali+Ulimwengu.jpg



By JENERALI ULIMWENGU (email the author)







Posted Monday, April 18 2011 at 00:00

The third Mwalimu Julius Nyerere Intellectual Festival took place at the University of Dar es Salaam this past week, and saw the participation of many eager people, young and old, from the region and beyond, all drawn to the the ever growing image and stature of a man who died a dozen years ago.

The question many people were asking at this festival was: How is it that Nyerere, so long after his death, still exercises such influence on young people?

What is the mystique about the man that still keeps people, even those who never knew him, in a form of intellectual thrall?

Answers to these questions cannot be easy, for Mwalimu was many things to many people.

Some will remember him as the nationalist leader who led his country on a peaceful, bloodless campaign for Independence, thus avoiding the bloodbath that other movements had been prone to.

This has been seen in some quarters as evidence of wise leadership, careful stewardship and maturity in negotiating skills.

However, Nyerere's subsequent leadership of Tanganyika, and later Tanzania, with the socialist policies laid down in the Arusha Declaration, has had as many detractors as it has had admirers.

There are those who considered Nyerere's policies doomed to failure because they ignored the basic tenets of human nature - that is, that man is selfish and that he can be motivated to work only when he is working for himself, and further that collective work cannot be productive because of what is called "the tragedy of the commons" - what belongs to all belongs to no one.

Even at an event that is dedicated to a certain level of reverence for the man, it was not easy to avoid the perennial issues attaching to the authoritarianism of many African leaders of the Independence generation and their failure to translate national Independence into their peoples' freedom(s).

While our leaders resisted oppression as practised by the colonial regimes, observed a young participant in the festival, they brooked no opposition or criticism from their own people, a charge Nyerere could not be said to be above.

So, once again, what is this mystique about Nyerere?

I honestly don't know, but I can only guess that the reason resides in the immortality, not of the man, but of some of the ideals he stood and fought for: The freedom and equality of peoples. Human dignity. Social justice. Integrity and ethical leadership.

In plain English, Nyerere believed, preached and practised, to the best of his ability, the philosophy that human beings need to be treated as deserving equal rights without regard for their birth or background, tribe or creed, that leaders do not own people or nations, that thieves should go to jail and not to Government House - the simple things that should be taken for granted but are alien to our rulers today.

It is because of these attributes of Julius Nyerere, which are so conspicuously absent in our present rulers, that the man's lustre refuses to go away, and young men and women flock to him posthumously.

It speaks to the absence of an heir, a leader who would have emerged from the current crop of leaders to take over the mantle of Nyerere or Nkrumah. We are bereft of leadership at a time when we sorely need to be led.

flashad 1 | 2 Next Page »
 
Tumeimba sana wimbo ule usemao "Ili nchi iendelee tunahitaji vitu vinne Watu, Ardhi, Siasa safi na Uongozi bora". Ni aibu kwamba waliokua wanaimbiwa (viongozi wa nchi) na sie tuliokua tunaimba (watawaliwa) hatukutambua kwamba hatuna viongozi bora wala Siasa safi. Hivi haya maneno ya Msekwa kwamba hata yeye amewahi kuteuliwa kuwa Katibu baada ya kuongoza tume anamwambia nani asiyejua kwamba yeye(wao viongozi 'vikongwe') ndio tatizo??? Hivi na uzee wote na historia ya kuwepo kila jambo linapotokea katika nchi nchi haumfanyi akajiangalia kwenye kioo na kuona ukweli wa Sura Yake na kukaa pembeni? Hawa wazee ndio mzigo mzito wa mawazo mgando ambao kwa sababu za kulipana fadhila C.C.M inaendelea kuubeba. Huu usanii unaoendelea unatugharimu mnoo.
 
Back
Top Bottom