CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Ungeficha vinamba hivyo hata mbili tatu ningependelea zaidi.
 
Ungeficha vinamba hivyo hata mbili tatu ningependelea zaidi.

Hivi kuacha au kuhama chama na kuwa member wa chama kingine ni dhambi?????

Jamaa akili yake ili base kwenye kuprove ukweli wa hiyo kadi na badala yake akajikuta ame expose kila kitu.

Kwa mantiki hii kweli CCM imechokwa sana.
 
Nape sasa inabidi aanze kupita majalalani kuokota mitakataka yake maana kwa hali hii hatutaweza kuhepuka Environmental pollusion.
 
Nape sasa inabidi aanze kupita majalalani kuokota mitakataka yake maana kwa hali hii hatutaweza kuhepuka Environmental pollusion.Jamaa hataki kukaa na maiti ndani, ameamua "kuizika Kimasai"
 
Kuendelea kuhiacha CCM-MADARAKANI...watanzania tutakua Madhaifu(DHAIFU)Kwa kura itakua ngumu..je Tukifanya kama Tunisia au Misri
"Vox populi,Vox dei"
 
huyu mtu MUNGU atamuongezea miaka ya kuishi na amani tele moyoni.. kama unataka kua kama yeye basi fanya kama yeye amen
 
Wewe uliyetupa kadi hii nakubariki kwa jina la BABA,NA MWANA,NA ROHO MTAKATIFU-AMEN.Pokea nuru ya mafanikio.
 
Ni zama za ukweli na uwazi haina kuogopana hata kama wanajifanya ni wababe wa umafia unamwisho tena mbaya sana nao ndo unawakaribia
 
angefichaje sasa,

mfano huu pia

ccm2.jpg
 
Back
Top Bottom