CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Wanabodi,

Nikiwa hapa Dom, nimebahatika kukutana baadhi ya wabunge wapya wa CCM na wa kambi ya upinzani, kujaribu kufahamiana, sio siri, baadhi yao hawana hata substance ya ni nini kilichowafanya washinde, na viti maalum ndio usiseme kabisa, wengi ni makapi tuu, kama sio vidumu, basi ni kwa ajili ya kutoa huduma na kibinaadamu, na hili litathibitishwa na michango yao kikao cha Januari.

Nilipoongea na wale makamanda walikata magogo kanda ya ziwa, nao ni wa kawaida tuu, hivyo nimefikia jibu moja la uhakika, CCM imechokwa baadhi ya maeneo, upinzani hata ungesimamisha jiwe, lingechaguliwa, nadhani ni moja ya sababu kuu iliyopelekea wengi hawakujitokeza waliona ni kujisumbua.

Nasisitiza CCM imechokwa, na ule ushindi wa kishindo wa toka Asilimia 80% niliyohakikishiwa na mwana CCM mwandamizi mpaka asilimia 60% ni uthibitisho tosha, Watanzania wameichoka CCM ila pia hawakuwachagua wapinzania kwa wingi zaidi, kwa sababu wapinzani hawajaonyesha wako tayari kukamata dola.

Najua kwa dhati, japo JK anafurahia ushindi kwa furaha ya machoni, lazima atakuwa na huzuni moyoni kwa kukataliwa na hiyo asilimia 20% kukataliwa ni kukataliwa tuu, kunauma. Hivyo CCM lazima watakaa na kujiuliza kulikoni, huenda wakajipanga upya na kuja kwa mbinu mpya, ila kwa vile CCM imechokwa, hata ijipange vipi, safari ya kwaheri ndio imeanza, there is nothing to stop it from failing down.

Dawa pekee ya kuitibu CCM, kuirevamp CCM completely, task nambari moja ni Makamba should go first with his old guards team. Leteni fresh blood kina January type, Kippi, Nape type and the like ambao wanaweza siasa za kisasa za dot com type.

Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja, huku sio kukua bali ni kupaa, tazizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga.

Kichama, wanachadema mkubali msiku chama chenu bado hamjajipanga kwa sura ya kitaifa, Kwa vile CCM imekaa mkao wa kifo, hii ndio opportunity yenu kujipanga muwe na sura ya kitaifa, Watanzania wawamini wawakabidhi nchi mwaka 2015.

Kwanza Freeman Mbowe, ajiuzulu uenyekiti, ampishe Dr. Slaa kwenye Usukani, Katibu Mkuu mpeni Zitto, hii itaifuta ile dhana ya nepotisim kwenye chama chenu, ili Walioichoka CCM wawafungulie mikono kwa kujitokeza kuwapigia kura 2015.

Kitendo cha kuihodhi kambi ya upinzani Bungeni, huu ni udhaifu mkubwa ambao hautawafikisha mbali. Pamoja na kanuni za bunge kuruhusu Chadema kuunda kambi rasmi ya upinzani, Chadema peke yenu hamuwezi!.

Nasisitiza Chadema hamjajipanga vyema na tatizo lenu kubwa ni ubinafsi wa viongozi wenu na ugonjwa wa umimi. Hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Zitto Kabwe na Uwezo wa Freeman Mbowe katika kukata issue. Mbowe sio born leader, ni made leader, tena ameletewa uongozi kwenye kisaani cha chai. Zitto ni born leader na amepambana kufika hapo alipofika.

Kitendo cha Mbowe kuwa ndie kiongozi rasmi wa upinzani Bungeni is a waste. Mbowe hana features za promising great leader, Zitto anazo. Mbowe hana powers from withing to make things happen, Zitto is powerful from within who can make things happen, he is a force to recon with. Juzi wakati wa kampani za Marando, alimgomea kata kata Ole Sendeka kuzungumzia kisemeo cha Marando, alisimama, akagonga meza na kusema kwa sauti kubwa "we can't allow such a thing, never on earth!" Spika Makinda ndipo akakazia msimamo na Ole Sendeka kufurushwa!.

Kiongozi sahihi wa upinzani bungeni should be Zitto not Mbowe. Naibu kiongozi wa upinzani alitakiwa awe Hamad Rashid. Chief Whip Lissu is ok.

Kama CCM iko ICU na Chadema haijajipanga, spika ndio huyo mama ma over confidence na over reaction, 2015 tutegemee nini?.

Angalizo: Pasco wa Jamii Forums ni political analyst ambaye yuko objective, bila kuegemea chama chochote, upande wowote na hufanya kazi kwa wote, ila ni muumini wa demokrasia ya kweli ndani ya ubunge for the balance of power, hivyo nashangilia sana kambi ya upinzani kuingiza vichwa 100 bungeni, ni matumaini yangu, 2015 kazi itakamilishwa!

Heshima kwako Pasco,

Mkuu kwanza nianze kukupa pongezi za dhati kwa bandiko lako lenye nia njema.

Ni kweli wananchi wameanza kuichoka CCM kwa kiwango cha kutisha bahati nzuri nimezunguka sehemu kadha za vijijini sehemu ambazo ukiona mtu kashika gazeti sana sana litakuwa la wiki mbili au tatu zilizopita na ukijaribu kudadisi utagundua ni kwaajili ya kuvuta sonyo si kwa minajili ya kupata habari.Watu wengi wa vijijini ni watu wasiojua nchi yao inaendeshwa vipi hawana habari za kutosha kuhusu serekali yao ukweli watu wa aina hii ni mtaji mzuri wa CCM sasa wameanza kuamka wanauliza maswali mengi ya msingi hakika CCM wanakazi ya ziada mwaka 2015.

Ninakubaliana sana na hoja yako kwamba baadhi ya wabunge wa upinzani [waliowaangusha vigogo kanda ya ziwa ni wakawaida tu].Ukweli ni kwamba wapo wabunge wengi wa upinzani ambao wameingia mjengoni kupitia mgongo wa Dr W Slaa.

CHADEMA ijipange sawa sawa changamoto za 2015 ni kubwa zaidi ya 2010.Uchaguzi umemalizika kuna mafanikio makubwa yamepatikana kwenye uchaguzi huu jitahada za makusudi za kuandaa wawakilishi wa wananchi wazuri na wenye uwezo usio na shaka zifanyike sasa kusubiri habari za kusubiri makapi ya CCM zimepitwa na wakati.Wapo wabunge wa CHADEMA leo hii hawawezi kuweka CV zao hadharani huu ni udhaifu mkubwa kwa chama kinachotarajiwa kushika dola siku za usoni.
 
Analysis isiyo analysis inaishia kuwa attack personalities na kupoteza mwelekeo wa hoja nzima. Hoja ilianza vizuri lakini imekuwa reduced into trash baada ya kuingia kwenye politics of personalities na character assasinations. Kumshambulia Mbowe kuwa ni kiongozi wa kuokota huku ukipendekeza CCM ifanye mabadiliko na majina uliyoyapendekeza ni kina Nape, January Makamba, Kippi, etc... ni kukata tawi lile ulilolikalia. Hapa haioneshi kitu zaidi ya personal hatred kwa baadhi ya watu na ushabiki kwa wale unaopenda kuwa-promote.

Mimi ni muumini wa upinzani wa kweli, si upinzani wa kuwepo na kujigamba kuwa ni upinzani. Kule Zanzibar CCM na CUF wanalala kitanda kimoja, halafu huku bara tunataka CUF hiyo hiyo iungane na CHADEMA!!!!!!!!!!!! Hili limizungumzwa na wengi sana kuanzia day one watu walipoanza kupiga kelele upinzani uungane. In fact mie nilishangaa baada ya uchaguzi kusikia kuwa chadema ilikuwa ikijadiliana na CUF, nikajiuliza CUF ipi? Sasa hivi officially CUF imeamua kuiunga mkono na kushirikiana na CCM kutawala. CUF si chama mbadala tena ni chama tawala shirikishi, in fact, sitashangaa lipumba kuwemo kwenye baraza jipya la kikwete. Sitashangaa!

Anayeendelea kung'ang'ania kuwa Chadema ishirikiane na CUF kwenye upinzani anakuwa hajakisumbua kichwa chake zaidi na kuelewa role ya upinzani. Kushindikana kwa ushirikiiano wa CUF na Chadema kilinipa signal kuwa Chadema ni chama kweli cha upinzani. Hawa kina NCCR, uDP na TLP walioungana na CUF huku wakijua status ya CUF, ujue hawatofautiani na CUF na kwa extension hawatofautiani na CCM. Hatuwezi kuwaangalia hawa kama wapinzani!

Kujipanga kwa CHADEMA ni suala linalohitaji mjadala. Chadema kwa muda huu kinauongozi imara uliopitia test zote. Baada ya uchaguzi huu kitakuwa na financial resources bora kuliko ilivyokuwa mwaka jana. Ruzuku itakuwa kubwa zaidi (kama kitapata asilimia 26 ya ruzuku yote) itakuwa ni jambo jema sana. Chama kielekeze mapato hayo katika kujenga taasisi imara zaidi. Uchaguzi wa 2010, chadema imefanikiwa kuvunja ile psychological barrier iliyokuwa imeshajengeka kuwa ili uwe mbunge lazima upitie CCM. Kuna uwezekano mkubwa Chadema ikapata watu wengi makini zaidi katika uchaguzi wa 2015 na hili linazidi kuashiria kuwa 2015 unaweza kuwa mwisho wa CCM, I can't wait to see that happening.

Ila Chadema ijiepushe sana na kuunda mtandao mkubwa kama wa CCM. Mimi Nadharia ya Donald Rumsfeld kwenye vita ya kule iraq niliipenda sana. Rumsfeld alikosea kitu kidogo sana, lakini largely nadharia yake ilifanikiwa sana. Nadharia yenyewe ilikuwa kutumia jeshi dogo ambalo liko well equiped in terms of technology, resources and knowledge. Nadharia hii ilitofautiana na nadharia ya majemadari wa Zamani kama kina Colin Powell waliotaka wamarekani watumie, "massive and overwhelming force". Vita ilishindwa kirahisi na kwa gharama nafuu sana. Kosa ilikuwa ku-sambaratisha network ya utawala iliyokuwepo, badala ya kui-support ili iendelee.

Sasa Kurudi kwenye siasa za Bongo, Chadema wanahitaji chama kidogo in terms of mtandao, lakini well resourced with knowledgeable people. Safu iliyopo chadema inanipa matumaini kuwa hii kitu inawezekana, come 2015. Chadema iwe na maofisa wa kuajiriwa permanently na wenye resources za kutosha (ofisi nzuri zenye IT facilities zote, Magari ya kutosha kwenda mawilayani na majimboni, n.k.) katika ngazi ya mkoa tu. Kamwe Chadema isiige mtindo wa CCM wa kwenda hadi level ya kijiji. This is a big liability. Chadema kisiige mifumo ya vyama vya kikomunisti, kiangalie quality zaidi ya watendaji kuliko wingi na ukubwa wa network.

Mahali ilipofikia CCM haiwezi kurekebishika kamwe, imeshafika a point of no return. Kama risasi, tayari imeshafyatuka kutoka kwenye ganda, huwezi kuizuia kwenda. Kama Chadema haitakuwa tayari, CCM itaanguka na nchi yote. CCM lazima ianguke!!
 
Na pia mtu kama Zitto anaweza sana kazi ila uongozi wa juu wa cham unataka ukomavu wa hali ya juu sana.Sijui kwa nini mara zote tunafikiria kuwa juu zaidi,hayo ndio yaliyomfanya hata JK kuchakachua.Kila anayekuja na umaarufu wake kidogo tu basi tumpe uongozi,sio kiholela hivyo.
 
Wanabodi,

Nikiwa hapa Dom, nimebahatika kukutana baadhi ya wabunge wapya wa CCM na wa kambi ya upinzani, kujaribu kufahamiana, sio siri, baadhi yao hawana hata substance ya ni nini kilichowafanya washinde, na viti maalum ndio usiseme kabisa, wengi ni makapi tuu, kama sio vidumu, basi ni kwa ajili ya kutoa huduma na kibinaadamu, na hili litathibitishwa na michango yao kikao cha Januari.

Nilipoongea na wale makamanda walikata magogo kanda ya ziwa, nao ni wa kawaida tuu, hivyo nimefikia jibu moja la uhakika, CCM imechokwa baadhi ya maeneo, upinzani hata ungesimamisha jiwe, lingechaguliwa, nadhani ni moja ya sababu kuu iliyopelekea wengi hawakujitokeza waliona ni kujisumbua.

Nasisitiza CCM imechokwa, na ule ushindi wa kishindo wa toka Asilimia 80% niliyohakikishiwa na mwana CCM mwandamizi mpaka asilimia 60% ni uthibitisho tosha, Watanzania wameichoka CCM ila pia hawakuwachagua wapinzania kwa wingi zaidi, kwa sababu wapinzani hawajaonyesha wako tayari kukamata dola.

Najua kwa dhati, japo JK anafurahia ushindi kwa furaha ya machoni, lazima atakuwa na huzuni moyoni kwa kukataliwa na hiyo asilimia 20% kukataliwa ni kukataliwa tuu, kunauma. Hivyo CCM lazima watakaa na kujiuliza kulikoni, huenda wakajipanga upya na kuja kwa mbinu mpya, ila kwa vile CCM imechokwa, hata ijipange vipi, safari ya kwaheri ndio imeanza, there is nothing to stop it from failing down.

Dawa pekee ya kuitibu CCM, kuirevamp CCM completely, task nambari moja ni Makamba should go first with his old guards team. Leteni fresh blood kina January type, Kippi, Nape type and the like ambao wanaweza siasa za kisasa za dot com type.

Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja, huku sio kukua bali ni kupaa, tazizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga.

Kichama, wanachadema mkubali msiku chama chenu bado hamjajipanga kwa sura ya kitaifa, Kwa vile CCM imekaa mkao wa kifo, hii ndio opportunity yenu kujipanga muwe na sura ya kitaifa, Watanzania wawamini wawakabidhi nchi mwaka 2015.

Kwanza Freeman Mbowe, ajiuzulu uenyekiti, ampishe Dr. Slaa kwenye Usukani, Katibu Mkuu mpeni Zitto, hii itaifuta ile dhana ya nepotisim kwenye chama chenu, ili Walioichoka CCM wawafungulie mikono kwa kujitokeza kuwapigia kura 2015.

Kitendo cha kuihodhi kambi ya upinzani Bungeni, huu ni udhaifu mkubwa ambao hautawafikisha mbali. Pamoja na kanuni za bunge kuruhusu Chadema kuunda kambi rasmi ya upinzani, Chadema peke yenu hamuwezi!.

Nasisitiza Chadema hamjajipanga vyema na tatizo lenu kubwa ni ubinafsi wa viongozi wenu na ugonjwa wa umimi. Hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Zitto Kabwe na Uwezo wa Freeman Mbowe katika kukata issue. Mbowe sio born leader, ni made leader, tena ameletewa uongozi kwenye kisaani cha chai. Zitto ni born leader na amepambana kufika hapo alipofika.

Kitendo cha Mbowe kuwa ndie kiongozi rasmi wa upinzani Bungeni is a waste. Mbowe hana features za promising great leader, Zitto anazo. Mbowe hana powers from withing to make things happen, Zitto is powerful from within who can make things happen, he is a force to recon with
. Juzi wakati wa kampani za Marando, alimgomea kata kata Ole Sendeka kuzungumzia kisemeo cha Marando, alisimama, akagonga meza na kusema kwa sauti kubwa "we can't allow such a thing, never on earth!" Spika Makinda ndipo akakazia msimamo na Ole Sendeka kufurushwa!.

Kiongozi sahihi wa upinzani bungeni should be Zitto not Mbowe. Naibu kiongozi wa upinzani alitakiwa awe Hamad Rashid. Chief Whip Lissu is ok.

Kama CCM iko ICU na Chadema haijajipanga, spika ndio huyo mama ma over confidence na over reaction, 2015 tutegemee nini?.

Angalizo: Pasco wa Jamii Forums ni political analyst ambaye yuko objective, bila kuegemea chama chochote, upande wowote na hufanya kazi kwa wote, ila ni muumini wa demokrasia ya kweli ndani ya ubunge for the balance of power, hivyo nashangilia sana kambi ya upinzani kuingiza vichwa 100 bungeni, ni matumaini yangu, 2015 kazi itakamilishwa!

- Mkuu naomba kutofautiana na wewe kwenye hili la Mh. Mbowe, ni yeye aliyejenga mazingara ya Chadema kukubalika sana ndio maana wabunge wengi wamechaguliwa na wananchi na Mh. Zitto akiwemo, mikakati yote ya ushindi wa Chadema imepangwa na kuandaliwa na Mwenyekiti, hutaki kiongozi wa bunge ambaye akiwa-frustrated na ishus ataamua kwenda kusoma PhD, au hatagombea ubunge tena lakini atagombea anyways, Wabunge wa CCM wanasema Dowans haifai yeye anasema inafaa.

- Mh. Mbowe amekuwepo bungeni huko nyuma anaelewa sana nini kinachotakiwa, Chadema wamefanya uamuzi mzuri sana kumpa Mwenyekiti hiyo nafasi, na he deserves it, ameitoa Chadema mbali sana mkuu tizama ilikotoka tujifunze kukumbuka tulikotoka sometimes!


William.
 
Analysis isiyo analysis inaishia kuwa attack personalities na kupoteza mwelekeo wa hoja nzima. Hoja ilianza vizuri lakini imekuwa reduced into trash baada ya kuingia kwenye politics of personalities na character assasinations. Kumshambulia Mbowe kuwa ni kiongozi wa kuokota huku ukipendekeza CCM ifanye mabadiliko na majina uliyoyapendekeza ni kina Nape, January Makamba, Kippi, etc... ni kukata tawi lile ulilolikalia. Hapa haioneshi kitu zaidi ya personal hatred kwa baadhi ya watu na ushabiki kwa wale unaopenda kuwa-promote.

Kwa para hii, Nakugongea senks mkuu
 
hata mimi namkubali sana kamanda Mbowe, huwezi kuyazungumza Mafanikio ya Chadema bila kumhusisha mbowe.
(1) Alivyosacrifice kugombea Uraisi mwaka 2005 ili kukiweka chama katika ramani ya kitaifa, angetaka angegombea ubunge Hai na huenda angepata. wakati huo si Zitto wala Slaa waliokuwa wakifahamika vyema kwa wapiga kura walio wengi nchini.

(2) Jinsi alivyosimamia operesheni Sangara, ambayo imekuwa ni chachu kubwa sana ya kuwaamsha Watanzania.

(3) Jinsi alivyosimamia ishu iliyotaka kuimaliza Chadema, ile ya Chadema kupakwa matope kwamba ni chama cha kichagga, na ishu ya ruzuku, ishu zilizotaka kuisambaratisha Chadema hatimaye chama kikaibuka na ushindi Tarime.


(4) jinsi alivyowapokea wapambanaji wengine kutoka CCM, na kutumia busara kuwaondoa akina dada walioshinda kura za maoni kugombea majimboni lakini wakapewa viti maalum instead ili kuwaandaa.

(5) Uhamasishaji wa hali ya juu katika kampeni, uwezo wa kuresonate na vijana walalahoi, wananchi waliokata tamaa.

So far nadhani kamanda Mbowe amefanya kazi nzuri sana, na Zitto nae tunamhitaji achape mzigo lakini Ishu kama ile ya Dowans kusema kweli ilinisikitisha jinsi alivyokuwa akiipigia debe.
 
- Mkuu naomba kutofautiana na wewe kwenye hili la Mh. Mbowe, ni yeye aliyejenga mazingara ya Chadema kukubalika sana ndio maana wabunge wengi wamechaguliwa na wananchi na Mh. Zitto akiwemo, mikakati yote ya ushindi wa Chadema imepangwa na kuandaliwa na Mwenyekiti, hutaki kiongozi wa bunge ambaye akiwa-frustrated na ishus ataamua kwenda kusoma PhD, au hatagombea ubunge tena lakini atagombea anyways, Wabunge wa CCM wanasema Dowans haifai yeye anasema inafaa.

- Mh. Mbowe amekuwepo bungeni huko nyuma anaelewa sana nini kinachotakiwa, Chadema wamefanya uamuzi mzuri sana kumpa Mwenyekiti hiyo nafasi, na he deserves it, ameitoa Chadema mbali sana mkuu tizama ilikotoka tujifunze kukumbuka tulikotoka sometimes!


William.
Na tatizo letu waTz ni kutazama tulipo bila kutathmini wapi tunaelekea na wapi tumetoka, ndio maana tunapata sana shida kubadilika na kubadili mifumo ya kimaisha na kisiasa. Tunanukuu na kwenda na upepo basi!:A S angry:
 
Analysis isiyo analysis inaishia kuwa attack personalities na kupoteza mwelekeo wa hoja nzima. Hoja ilianza vizuri lakini imekuwa reduced into trash baada ya kuingia kwenye politics of personalities na character assasinations. Kumshambulia Mbowe kuwa ni kiongozi wa kuokota huku ukipendekeza CCM ifanye mabadiliko na majina uliyoyapendekeza ni kina Nape, January Makamba, Kippi, etc... ni kukata tawi lile ulilolikalia. Hapa haioneshi kitu zaidi ya personal hatred kwa baadhi ya watu na ushabiki kwa wale unaopenda kuwa-promote.

Mimi ni muumini wa upinzani wa kweli, si upinzani wa kuwepo na kujigamba kuwa ni upinzani. Kule Zanzibar CCM na CUF wanalala kitanda kimoja, halafu huku bara tunataka CUF hiyo hiyo iungane na CHADEMA!!!!!!!!!!!! Hili limizungumzwa na wengi sana kuanzia day one watu walipoanza kupiga kelele upinzani uungane. In fact mie nilishangaa baada ya uchaguzi kusikia kuwa chadema ilikuwa ikijadiliana na CUF, nikajiuliza CUF ipi? Sasa hivi officially CUF imeamua kuiunga mkono na kushirikiana na CCM kutawala. CUF si chama mbadala tena ni chama tawala shirikishi, in fact, sitashangaa lipumba kuwemo kwenye baraza jipya la kikwete. Sitashangaa!

Anayeendelea kung'ang'ania kuwa Chadema ishirikiane na CUF kwenye upinzani anakuwa hajakisumbua kichwa chake zaidi na kuelewa role ya upinzani. Kushindikana kwa ushirikiiano wa CUF na Chadema kilinipa signal kuwa Chadema ni chama kweli cha upinzani. Hawa kina NCCR, uDP na TLP walioungana na CUF huku wakijua status ya CUF, ujue hawatofautiani na CUF na kwa extension hawatofautiani na CCM. Hatuwezi kuwaangalia hawa kama wapinzani!

Kujipanga kwa CHADEMA ni suala linalohitaji mjadala. Chadema kwa muda huu kinauongozi imara uliopitia test zote. Baada ya uchaguzi huu kitakuwa na financial resources bora kuliko ilivyokuwa mwaka jana. Ruzuku itakuwa kubwa zaidi (kama kitapata asilimia 26 ya ruzuku yote) itakuwa ni jambo jema sana. Chama kielekeze mapato hayo katika kujenga taasisi imara zaidi. Uchaguzi wa 2010, chadema imefanikiwa kuvunja ile psychological barrier iliyokuwa imeshajengeka kuwa ili uwe mbunge lazima upitie CCM. Kuna uwezekano mkubwa Chadema ikapata watu wengi makini zaidi katika uchaguzi wa 2015 na hili linazidi kuashiria kuwa 2015 unaweza kuwa mwisho wa CCM, I can't wait to see that happening.

Ila Chadema ijiepushe sana na kuunda mtandao mkubwa kama wa CCM. Mimi Nadharia ya Donald Rumsfeld kwenye vita ya kule iraq niliipenda sana. Rumsfeld alikosea kitu kidogo sana, lakini largely nadharia yake ilifanikiwa sana. Nadharia yenyewe ilikuwa kutumia jeshi dogo ambalo liko well equiped in terms of technology, resources and knowledge. Nadharia hii ilitofautiana na nadharia ya majemadari wa Zamani kama kina Colin Powell waliotaka wamarekani watumie, "massive and overwhelming force". Vita ilishindwa kirahisi na kwa gharama nafuu sana. Kosa ilikuwa ku-sambaratisha network ya utawala iliyokuwepo, badala ya kui-support ili iendelee.

Sasa Kurudi kwenye siasa za Bongo, Chadema wanahitaji chama kidogo in terms of mtandao, lakini well resourced with knowledgeable people. Safu iliyopo chadema inanipa matumaini kuwa hii kitu inawezekana, come 2015. Chadema iwe na maofisa wa kuajiriwa permanently na wenye resources za kutosha (ofisi nzuri zenye IT facilities zote, Magari ya kutosha kwenda mawilayani na majimboni, n.k.) katika ngazi ya mkoa tu. Kamwe Chadema isiige mtindo wa CCM wa kwenda hadi level ya kijiji. This is a big liability. Chadema kisiige mifumo ya vyama vya kikomunisti, kiangalie quality zaidi ya watendaji kuliko wingi na ukubwa wa network.

Mahali ilipofikia CCM haiwezi kurekebishika kamwe, imeshafika a point of no return. Kama risasi, tayari imeshafyatuka kutoka kwenye ganda, huwezi kuizuia kwenda. Kama Chadema haitakuwa tayari, CCM itaanguka na nchi yote. CCM lazima ianguke!!

Ulivyoanza makala yako inaonyesha hujamwelewa aliyeanzisha hii thread. Kwenye maelezo yako marefu umerudia yale yale aliyosisitiza Pasco. Ila muhimu zaidi kutoka kwa Pasco ni kuhusu hizo personalities ambazo umesema zimekuwa attached. Hizo ndizo zinauwa nguvu ya Chadema na ndiyo wakati muafaka wa kuzirekebisha.
Tatizo kubwa la Chadema wako watu wanadhani wao ndiyo Chadema, kama ilivyo CCM kwa sasa. Ni muda muafaka mtu kama Mbowe asiye na mvuto kwenye jamii ajiepushe na mambo ya utawala kwenye chama na wapewa watu wanaoonekana wazi wana mvuto. Ni wazi Chadema inatakiwa kutoa taswira kuwa siyo chama cha kikabila na ukanda, kitu ambayo naamini ni ngumu sana kwa miaka michache ijayo, lakini hakuna shortcut, ni kuvunjilia mbali hiyo picha. Moja ya mikakati ni kukubali watu kama wakina Mbowe na Mrema wawaachie wengine ambao tayari ni maarufu chamani ili kukiimarisha.
Vinginevyo, dhana ya kusema CCM imejifia mbali si kweli. CCM ya sasa, tofauti na ya zamani, inakwenda na weakness zilizopo. Mfano, siamini kama kuna Waislam walimpigia kura Slaa. Kiuhakika hiii ni mbaya sana kwa nchii hii, lakini inaweza fika sehemu ukabila na umimi wa chadema ukachukuliwa kama ni silaha kubwa sana kuimaliza. Waanze leo, na si kesho, kufanya changes.
 
Ulivyoanza makala yako inaonyesha hujamwelewa aliyeanzisha hii thread. Kwenye maelezo yako marefu umerudia yale yale aliyosisitiza Pasco. Ila muhimu zaidi kutoka kwa Pasco ni kuhusu hizo personalities ambazo umesema zimekuwa attached. Hizo ndizo zinauwa nguvu ya Chadema na ndiyo wakati muafaka wa kuzirekebisha.
Tatizo kubwa la Chadema wako watu wanadhani wao ndiyo Chadema, kama ilivyo CCM kwa sasa. Ni muda muafaka mtu kama Mbowe asiye na mvuto kwenye jamii ajiepushe na mambo ya utawala kwenye chama na wapewa watu wanaoonekana wazi wana mvuto. Ni wazi Chadema inatakiwa kutoa taswira kuwa siyo chama cha kikabila na ukanda, kitu ambayo naamini ni ngumu sana kwa miaka michache ijayo, lakini hakuna shortcut, ni kuvunjilia mbali hiyo picha. Moja ya mikakati ni kukubali watu kama wakina Mbowe na Mrema wawaachie wengine ambao tayari ni maarufu chamani ili kukiimarisha.
Vinginevyo, dhana ya kusema CCM imejifia mbali si kweli. CCM ya sasa, tofauti na ya zamani, inakwenda na weakness zilizopo. Mfano, siamini kama kuna Waislam walimpigia kura Slaa. Kiuhakika hiii ni mbaya sana kwa nchii hii, lakini inaweza fika sehemu ukabila na umimi wa chadema ukachukuliwa kama ni silaha kubwa sana kuimaliza. Waanze leo, na si kesho, kufanya changes.
Kanyafu Nkanwa,
Labda ungeweza kuwashauri Chadema ni kiongozi gani anayewafaa kukiongoza chama badala ya Freeman Mbowe. Utakuwa umewasaidia sana.
 
Nawasalimu wote.
1. Zitto is not as smart as people may think. Ni vuvuzela mzuri. Anahamaki, ana jazba na mara nyingi anashindwa kuwa objective. Anapenda kudandia lift za hoja ili kujijengea umaarufu. Kama kuna anayehitaji mifano arejee rekodi za vikao vya bunge 2005-2010. Sio mtu wa kukaa chini na kustrategise mikakati na sera yeye mwenyewe.
2. Mnyika ana akili na uongozi unamfaa.anahitaji experience zaidi.
3. Mbowe, will all due respect kwa kazi alizozifanyia Chadema, he has to go,please. Jamani sio lazima awe mwenyekiti ili CHADEMA iweze kupata mchango wake. Ndio maana huwa kuna party strategists,wako nyuma ya pazia, yawezekana hatuwajui, na ndio think tanks wa chama. WaTanzania wengi wanaona Mbowe harelate na wao kabisa, kistruggles na kimaisha kwa ujumla.
CHICHIEM
Hivi ili utambulike CCM as a kijana who makes sense ni lazima uwe mtoto wa current/former mjumbe wa NEC na CC. Rejea Makamba,Nnauye na Kippi. Kwahiyo kama baba yako alikuwa mmiliki wa butcher ambaye majukumu yalimbana hakupendelea kujiongezea mengine ya siasa....pole sana?
 
Ulivyoanza makala yako inaonyesha hujamwelewa aliyeanzisha hii thread. Kwenye maelezo yako marefu umerudia yale yale aliyosisitiza Pasco. Ila muhimu zaidi kutoka kwa Pasco ni kuhusu hizo personalities ambazo umesema zimekuwa attached. Hizo ndizo zinauwa nguvu ya Chadema na ndiyo wakati muafaka wa kuzirekebisha.
Tatizo kubwa la Chadema wako watu wanadhani wao ndiyo Chadema, kama ilivyo CCM kwa sasa. Ni muda muafaka mtu kama Mbowe asiye na mvuto kwenye jamii ajiepushe na mambo ya utawala kwenye chama na wapewa watu wanaoonekana wazi wana mvuto. Ni wazi Chadema inatakiwa kutoa taswira kuwa siyo chama cha kikabila na ukanda, kitu ambayo naamini ni ngumu sana kwa miaka michache ijayo, lakini hakuna shortcut, ni kuvunjilia mbali hiyo picha. Moja ya mikakati ni kukubali watu kama wakina Mbowe na Mrema wawaachie wengine ambao tayari ni maarufu chamani ili kukiimarisha.
Vinginevyo, dhana ya kusema CCM imejifia mbali si kweli. CCM ya sasa, tofauti na ya zamani, inakwenda na weakness zilizopo. Mfano, siamini kama kuna Waislam walimpigia kura Slaa. Kiuhakika hiii ni mbaya sana kwa nchii hii, lakini inaweza fika sehemu ukabila na umimi wa chadema ukachukuliwa kama ni silaha kubwa sana kuimaliza. Waanze leo, na si kesho, kufanya changes.
Ukiona Simba anamfundisha Pundamilia jinsi ya kuwaangamiza Simba itabidi ushangae..... Wewe ndugu Mh Mbowe amekuwa mwiba kwako ndio maana unataka aondolewa...
 
mwaka 1995 chadema waliwaunga mkono nccr, 2000 cuf 2005 chadema na nccr walitoa pendekeza kuunganisha nguvu kwa kwa vyama vyote ili kuing'oa ccm lakini cuf na tlp ndiyo walio pinga kwa kutaka wao ndiyo wagombee nafasi urais kwakuwa ndiyo maarufu. je hii mnaikumbuka? ubinafsi wa chdema uko wapi? kwanini tusiamini kuwa hivyo vyama ni matawi ccm?
 
Pasco na wadau wengine,
Naomba tuelewe kuwa Chama cha Chadema kipo kwenye wakati mgumu sana, nadhani kuliko wakati mwingine tangu kilipoanzishwa. Chama cha Chadema kinahitaji kuepuka mabomu ya kutegwa, yaliyowekwa na chama cha CCM kama vile

1. Baadhi ya vyama vya upinzani ni mabomu ya CCM… (Mf TLP, &#8230😉
2. Baadhi ya wanachama na viongozi ndani Chadema ni mamluki (Mf. Kiabo, &#8230😉

Uamuzi wowote wa kuungana ama kutoungana, pia kufanya kazi na mamluki au kuachana nao unahitaji carefulness kubwa na si kukurupuka. Kuungana na vyama vingine au kutoungana navyo inategemea na taarifa za kiusalama wanazopewa viongozi wa Chadema. Watu tunaweza kupoteza muda kulalama oh Chadema wanajitenga, wajiona wao ni bora zaid, hawataki hiki na kile, nk. Sisi hatuna information za kutosha. Tukitaka kujua, tufanye uchunguzi kidogo..

Kumbuka kuwa, maadui wa Chadema siku zote wanataka kunufaika na maamuzi ya Chadema yasiyopimwa ili kujaribu ku-damage image ya chama mbele ya watu.. Sasa tupo kwenye siasa za kiswahili swahili ambazo haziendi kwa nguvu ya hoja bali ya kuchafuana.

Juzi tumepata mfano hai kwenye uchaguzi wa Speaker, vyama vya upinzani viliacha kumpa kura mgombea wa upinzani Mr Mabere na kumpa support Anna! Kwanini? Kwanini wapinzani wasiungane hata kama ni wachache? Ukweli ni kwamba

(1) UDP ni CCM X juzi Mh Cheyo alisema openly kuwa yeye alimpigia kura Anna Makunda kwasababu anafaa zaidi
(2) TLP ni CCM X Mh Mrema hawezi kumpigia Marando, walifarakana tangu walipokuwa NCCR Mageuzi
(3) NCCR Kafulila na wenziye bado wana chuki na Chadema (hiyo chuki haijasuluhishwa bado na wametumia nafasi hiyo kuiumiza Chadema)
(4) CCM wana ajenda ya kulinda kashfa za serikali yao. Hata hivyo afadhali ya CCM kwani kule kuna baadhi ya wapiganaji waheshimiwa ambao wana kiasi cha mawazo ya upinzani ndani ya CCM. Mfano mmoja ni Mzee Sita, Kilango na wengine zaidi ya hao. Baadhi ya waheshimiwa kutoka kambi ya CCM walimpa kura Marando.

(5) CUF ni CCM B. Waheshimiwa wabunge wa CUF wanaeleweka, hawana uchungu sana na vita vya ukombozi wa maslahi ya upande wa bara.

Kwanza CUF wana mwafaka na CCM, na details za mwafaka huo bado ni siri. Lakini ukichungulia zaidi ndani ya mwafaka huo unaweza kuona dalili za maslahi ya watu binafsi na pengine maslahi ya kidini na siyo ya kitaifa zaidi. Wazanzibar wanahofu kuwa bila CCM formula ya Muungano itabadilika na ama Muungano kuvunjika. Hivyo wanaona hatari ya kukosa nafasi za wabunge wa majimbo mengi na madogo ya Zanzibar, wizara wanazopewa kuongoza katika serikali ya muungano, uwakilishi wa balozi za Serikali ya Muungano, nafasi ya Makamu wa Rais au rais pamoja na ardhi na opportunities za biashara bara. Mtu mmoja aliniambia kuwa hata chakula na umeme wanategemea kutoka bara !!!

Lakini pia kuna hofu kuwa kama Chadema ikishinda na kutwaa uongozi wa nchi huenda wakristo watakuwa na nguvu kubwa zaidi kisiasa na kuathiri dini zingine. Chadema kinatizamwa kama chama cha Mapadre na Wakristo! Rejea kwenye kipindi cha kampeini maneno haya tumeyasikia kwenye nyumba za ibada na hata kuyasoma kwenye vyombo vya habari. Hivyo mwafaka wa CUF na CCM unaweza kujikita katika hoja hizo ambazo ni dhaifu na hazina maslahi ya nchi.

Hivyo basi, kutoka na maneno yaliyopo hapo juu, hapana shaka Chadema ipo kwenye wakati mgumu sana wa kufanya maamuzi. Nawaomba viongozi wa chama watumie hekima zao vizuri kutolea maamuzi changamoto zote wanazokutana nazo ili kudumisha ukuaji wa chama na mapambano ya kung'oa ufisadi unaofyonza uchumi wan nchi yetu. Na sisi wengine tusiwe wepesi kutoa lawama kali dhidi ya Chadema na viongozi wanaopigania chama mchana na usiku.

Naamini kuna siku wa-Tz wote watafurahi na kusahau tofauti zao za kiitikadi, kidini na kikabila…
 
Wakuu zangu,
Huu mjadala mzuri sana lakini umeingiwa na dosari kuwa pale watu wanapotumia vibaya nia na malengo ya mtoa hoja hata kumkosoa kuwa ni upinzani ambao umejengwa na imani potovu sizizoweza kuthibitika.. Nakubaliana sana na Pasco kwa kila hali kwa sababu kaeleza jinsi anavyofikiria yeye kwa mapana ya maswala yanayohusika, na haiwezi kuumiza kama utaweza kuwa msikivu..

Pia nakubalina na baadhi ya majibu ya Mh.Dr.Slaa ingawa kalenga zaidi kumkosoa Pasco kuliko kuelezea sababu ya kutofanya yale aloyazungumza Pasco ili tupate picha halisi kwa nini maamuzi hayo yamefikiwa. Na maadam hawezi kuandika hapa utumbo wa CUF au vyama vingine basi hapakuwa na haja ya kumkosoa Pasco pasipo kutazama upande wa pili wa shilingi ambao una represent wananchi wengi wasiokuwa na mapenzi na Chadema.Nadhani lengo la Pasco ni ktk kutazama upande huo wa pili ambao Chadema watahitaji kura zao ama kuungana na chama hicho ikiwa hitlafu hizo zitaondoka.

Kwanza kuhusiana na model ya Bunge letu sidhani kama Dr.Slaa amefanya utafiti wenye malengo ya kutazama mazingira yetu hii ikiwa na maana kwamba huwezi kuchukua model ya American au WestMinster na kuitumia kama ndio utafiti wa kisayansi wakati bunge letu halikuundwa ktk misingi hiyo. Sisi tuna wabunge wa kuteuliwa ambao wanachukua zaidi ya asilimia 40 ya Bunge pasipo kuwalikisha jamii au taasisi fulani ili mradi kujenga hisia ya kutokuwa na Ubaguzi na sababu nyinginezo. Mgombea Urais aliyeshindwa harudi Bungeni, Nchi moja kama Zanzibar yenye wakazi millioni moja kuwakilishwa na Wabunge 50 na hata nchi ndogo kama Tanzania yenye population millioni 40 kuwa na Wabunge zadi ya 300. Na sijui ni asilimia ngapi ya Budget hutumika kuwalipa watu hawa ukilinganisha na sekta nyinginezo.. Yoote haya sidhani kama haya yametokana na model yeyote kati ya hizo hapo juu...

Na kuunda kwa bunge hili, na hao wataalam walikuwa na well founded base scientific na logic kufikia conclusion hiyo. Lakini hii haina maana ujenzi huu hauwezi kuwa challenged na mtu, na kwamba based on their conclusion mwenye ku challege hana well pre founded major au minor kwa kupinga msingi wa analysis ya kutumika vigezo hivyo vilivyotumiwa. Na nadhani Pasco alichotugusa zaidi ni mapungufu ya vyama hivi kisiasa ikiwa ni pamoja na CCM , kisha ktk ujenzi wa chombo cha Upinzani badala ya sababu zake yeye mwenyewe kama tunavyoweza kupinga muundo wa Bunge letu.

Kwa mfano, mimi binafsi sioni kabisa sababu ya kuwepo na viti maalum kwa kutumia jinsia ili kuelta haki buingeni hali bungeni ni mahala panapotakiwa kuwa na wawakilishi wetu. Mbunge akiwa mwanamme au mwana mke, jaji akiwa mwanaume au mwanamke na wengine wote wawe wawakilishi wa wananchi na taasisi ambazo ni muhimu za zipo kutoa huduma kwa wananchi. Na sababu ya kusema hivi ni kuonyesha bungeni sio mahala pa kujenga tofauti na uadui ulotokana na siasa za uchaguzi ambazo zilijengwa na fotauti ya sera na pengine hata muundo wa chama husika.

Kwa maana kubwa ni kwamba tukiwa katika uchaguzi hakuna urafiki baina ya vyama na CUF wanaweza chukua maamuzi yeyote kulingana na maslkahi yao na Chadema tutayaheshimu maamuzi hayo ktk uchaguzi. Matokeo yakisha toka na tukaingia hatua ya pili ambayo ni bungeni tunategemea ushirikiano mwingine baina ya vyama hata kama hawakubaliani kwani hapo ni ktk kuwakilisha hoja za wananchi dhidi ya sera za chama tawala..Na ndio maana tumekuwa na hata mgombea Uspika kutoka Chadema hali CCM wangeweza kabisa kusema hatutaki kuwashirikisha vyama vingine hata kidogo..

Na mwisho Bungeni tunategemnea viongozi wawakilishi wote wa CCM, Chadema, CUF na vyama vingine vyote kushirikiana ktk kuweka maamuzi yenye manufaa kwa wananchi na Taifa zima badala ya vyama vyao. Kwa hiyo tumeanza na tofauti za vyama vyote 18 na uadui wa kisera, bungeni tunapunguza uadui wa kisera na kulenga chama tawala na kisha kitaifa sote tunakuwa kitu kimoja kufikia maamuzi ya ujenzi wa Taifa.

Sasa huwezi kusema ni busara kwa CCM kukataa kabisa kushirikiana na Chadema katika maamuzi ya taifa kwa sababu tu ni vyama pinzani na hawakubaliani kwa mengi ya kisiasa. Mwisho wa siku wananchi kunataka maamuzi yenye busara toka kwa Wabunge wote wawakilishi ikiwa ni pamoja na CCM Kwa hiyo chama au niseme Tanzania tunaweza kabisa kuwa na muundo wetu tofauti na ule wa nchi za magharibi kutokana na mazingira yetu. Utafiti uliopo ujmejengwa kwa kutazama mazingira ya Ulaya na nchi zao sio lazima nasi tufuate kila kitu..

Na kuhusiana na swala la Zitto na Mbowe hizi ni siasa mbaya sana kwa pande zote.. Inawezekana kumsimamisha Zitto pasipo kujali uenyekiti kwani Chadema waliweza vipi kumsimamisha katibu wa chama Dr.Slaa kugombea Urais na wamamwacha mwenyekiti? na mbona tumepata matunda bora zaidi.. Hivyo isiwe Zitto na Mbowe ndio kigezo cha ushindani au uhalali wa mfumo wa chama ila uwezo wa mwakilishi ktk nafasi hiyo ndio mwenye manufaa kwa chama. Nina hakika kama Zitto ndiye angegombea Urais wengi wangekuja na kupiga mawe kishenzi kwa sababu tu ni Zitto aliyegombea. Na wapo watu ambao kama Mbowe angegombea Urais wangemrushia mawe hadi aonekane sii mtu ila mchawi fulani... Siasa hizi hasifai kabisa ndani ya chama kinachojaribu kujijenga kisiasa.

Binafsi siwezi kusema nani mbora ktk kuwakilisha Uongozi wa Upinzani bungeni kwani miaka mitano iliyopita Chadema wamepeta na wawakilishi wao Dr.Slaa na Zitto ambao hawakuwa kiongozi wa Upinzani bali ni busara na hekima za kiongozi Hamad Rashid kama kiongozi wa Upinzani na sii msemaji mkuu ndizo zilituwezesha bunge lililopita kuwa vile. kwa hiyo sii lazima Mbowe awe ndiye msemaji mkuu wa Upinzani bali busra na hekima zake ktk maamuzi ndizo tunazozitegemea zaidi.

Waswahili wanasema Utamu wa chai ni Sukari, hii haina maana kupongezwa kwa sukari kunaondoa maana na nguvu ya majani ya chai ktk kutengeneza chai yenyewe.. Na wala huwezi kuikana sukari kuwa muhimu kwa sababu tu sio jamii ya chai..
 
Ukiona Simba anamfundisha Pundamilia jinsi ya kuwaangamiza Simba itabidi ushangae..... Wewe ndugu Mh Mbowe amekuwa mwiba kwako ndio maana unataka aondolewa...

Jasusi na Macho_mdiliko, si kweli kamba Slaa amekuwa mwiba kwangu. Naamini ni mtu anayetaka maendeleo ya nchi ila labda hajajua bado nchi hii, tofauti na zingine zinazotuzunguka kuna namna ndogo tu ya kuwezesha hayo. Hapa suala ni jinsi gani na namna gani ya kuweza kufanikisha maendeleo. Hilo ni la mjadala daima. Mfano, mIaka ya sabini hakuna mtu aliyeamini path inayochukuliwa na China kuhusu mageuzi ingewawezesha kufika pale walipo sasa hivi. Hivyo hivyo sidhani kama kuna mtu atataka kujaribu China walivyofanya kuwawezesha kufika pale. Kila kitu ni situation/area specific. Ukiangalia post ya Slaa pale juu, utaona kwamba yeye amejikita zaidi kwenye kuelezea academics/taaluma ya science ya jamii badala ya kuelezea hali halisi ya nchi. Hakuwa tayari kukubali kuwa nchi hii ina makabila, dini na utamaduni tofauti sana!

Hata kwenye kampeni zake, alikuwa akienda kutoa ahadi za kiwango ambacho baadhi ya watu maarufu duniani walikuwa wanamshangaa. Kwa mfano, kumilikisha migodi kwa watu wa Geita au maeneo yenye madini! Wapi umeona Duniani kitu kama hicho? Nataka mmoja aelezee hali ilivyo Botswana ambayo ni role model ya Africa kwa madini kama kichochoea cha maendeleo. Mimi nadhani angesema kuwa tutawaleteeni wawekezaji ambao tutawabana wachangie kiasi kikubwa kimaendeleo badala ya kuwadanganya wale watu kuwa wangemilikishwa. Matokeo yake kuna majimbo wananchi wamewachagua wabunge ambao ni classfied conmen. Na hii issue itakuja, bado muda wake.

Anyway, kwa kifupi, Slaa amekwepa kuelezea vitu kadhaa ambavyo ni dhahili kabisa na viko kwenye feelings za watu wengi sana nchini kuhusu Chadema; u-mimi na u-kabila. Kama mwanzilishi alikuwa Mtei na huyo huyo boss, leo kuna Mbowe, Mrema, Lucy, plus utitiri wa shemejis and uncles, kwanini Chadema wasiandae mazingira ya kutawanya madaraka nchi nzima ili kuwa na uwakilishi wa kijumla.

Nina imani na baadhi ya wabunge wa Chadema kama ambavyo nina hakika Chadema itakuja kupasukia hapa hapa kwenye ukabila, U-mimi na u-kaskazini.
 
Ulivyoanza makala yako inaonyesha hujamwelewa aliyeanzisha hii thread. Kwenye maelezo yako marefu umerudia yale yale aliyosisitiza Pasco. Ila muhimu zaidi kutoka kwa Pasco ni kuhusu hizo personalities ambazo umesema zimekuwa attached. Hizo ndizo zinauwa nguvu ya Chadema na ndiyo wakati muafaka wa kuzirekebisha.
Tatizo kubwa la Chadema wako watu wanadhani wao ndiyo Chadema, kama ilivyo CCM kwa sasa. Ni muda muafaka mtu kama Mbowe asiye na mvuto kwenye jamii ajiepushe na mambo ya utawala kwenye chama na wapewa watu wanaoonekana wazi wana mvuto. Ni wazi Chadema inatakiwa kutoa taswira kuwa siyo chama cha kikabila na ukanda, kitu ambayo naamini ni ngumu sana kwa miaka michache ijayo, lakini hakuna shortcut, ni kuvunjilia mbali hiyo picha. Moja ya mikakati ni kukubali watu kama wakina Mbowe na Mrema wawaachie wengine ambao tayari ni maarufu chamani ili kukiimarisha.
Vinginevyo, dhana ya kusema CCM imejifia mbali si kweli. CCM ya sasa, tofauti na ya zamani, inakwenda na weakness zilizopo. Mfano, siamini kama kuna Waislam walimpigia kura Slaa. Kiuhakika hiii ni mbaya sana kwa nchii hii, lakini inaweza fika sehemu ukabila na umimi wa chadema ukachukuliwa kama ni silaha kubwa sana kuimaliza. Waanze leo, na si kesho, kufanya changes.
ukabila upo saana tanzania wewe hapo unachojaribu kusema ni kuwa CHADEMA haiwezi kuendelea kwa sababu ya watu wa Kilimanjaro tu! Hivi unasoma unachoandika au ndo mambo ya kuwa unconscious na maana ya neno ukabila kwanini Mrema na Mbowe tu ndio kikwazo na kwa nini umewaona hao tu na coincidentally woote wametokea Kilimanjaro? Hivi hujiulizi hiko CHADEMA kilivyo hapo kuna watu wame-sacrifice muda mwingi tu kukifikkisha hapo! jamani CHADEMA ni ya woote na tusiwe na hulka ya chuki za watu fulani fulani!
 
Kingereza kina nakshi hasa linapokuja suala la umakini na uchambuzi maana kazi nyingi zimefanyika kwa kutumia lugha hiyo. Mambo ya msingi kwa chadema ni kuwa na consitency na coherence. Nguvu ya sasa ya chadema inatokana na udhaifu wa kujitakia wa ccm. Kampeni zilishindanishwa katika misingi ya hoja (chadema) na ubabaishaji (ccm). Hoja kwa hoja zingezaa mzani usiotabirika kabla ya uchaguzi. Itakuwaje kama ccm wakajipanga na kuja na mpango madhubuti wa kimaendeleo? Pasco alisema ccm imechokwa kiasi kwamba jiwe lingekuwa na uwezo wa kuingia bungeni na na katika halmashauri. Ingekuwa vipi kwa chadema kama Nape angepitishwa jimbo la Ubungo? Binafsi naona pia Mbowe anahodhi madaraka. Mbowe ni mhamasishaji mzuri ila sidhani kama ni mtendaji mzuri. Chadema wanalifahamu hili ila wako makini sana kwa sasa wasije wakaharibu hadharani na ccm wakapata pa kuanzia. Wenyewe wanajua udhaifu wao uko wapi.
 
Thanks to Pasco for bringing this topic. Whether or not you support his observations, the fact remain that the opposition is divided. And, this is not the first time. It has been so since 1995, I mean in the last 15 years. If doing the same thing over and expecting a different result tantamount to insanity, then the 2015 election will be a turning point for Tanzanians and its opposition parties. If the opposition proceeds to repeat fundamental mistakes of the previous four election cycles, over a period of 15 years, by splintering, then they would prove to all and sundry that they are all insane. And insanity, according to the law, disqualifies persons from standing for office.

If they however, decide to do the right thing and unite, as many have called for, then they will be worthy of the privilege to occupy space in public office. But 2015 goes beyond mere occupancy of public office. The next 5 years will be the most crucial period of Tanzania's political history. It will be a time that will call into question the integrity of political opposition, whereby its unity, utterances of democracy, tolerance, public spiritedness, and even internal governance architecture will be scrutinized. The fact that almost all opposition parties have not had a concrete together meeting in more than two election cycles, signals that there are worries of hypocrisy afoot, whereby the opposition party leaders have ceased to perceive their deception by feigning ignorance at their deceit.

All these opposition parties have several things in common: none have demonstrated a democratic culture, albeit that, that is their mantra; they have not practiced it, but preach it really well. None have been able to get into office, they think and say they can, but they have not done so. The signs point to an increasing probability that they will never get in unless they shed their lust for individual power and stop embracing the destructive and arrogant attitude of ‘self coronation'. If they continue, then all of them will be left to wonder in the political wilderness, eternally.

The urgency for the opposition parties in Tanzania to be responsible to all Tanzanians has therefore arrived. Suggestions have been bandied about, on the processes and procedures of a formulation of a party of national unity. Debates have been had, tempers have flared even here at jamiiForums, and passions stirred and yet, there have not been any signs that the clarion call by many Tanzanians for a united opposition will be answered. This is the first hurdle that must be stepped over if the oppostion want to enter the State House.

The fact that CHADEMA and other opposition parties are paying lip service to unity, and doing the complete opposite, signals the power lust for leadership even before they've reached State House. What will they do, as individuals, when they get there? The time to build a much needed public trust is now. Some of the leaders in political opposition have shown that Tanzania is greater than their own parties, and even themselves. However, the fact is that the political process in Tanzania has deteriorated over the last fifteen years. The statistics tell us that.

The 2010 election sent a strong message signalling disgust at the bickering. Voter turnout was the lowest in the history of the Republic. All this at the behest of an over bearing and intransigent attitude of leaders who seem desperate to get to the State House as individuals instead of representatives of a people. And the people have seen and responded to this by not voting.

Tanzania deserves to have a vibrant political landscape where people are given the best possible options in the leadership contest so that the probabilities of better talent in government can be harnessed. But if the quality of choice is few, so will the voters, as demonstrated in the last election. Tanzanians know what they want, even though they are often discrete about it, for various reasons. Given the right choices, at the right time, they will make the right decision. 2015 is therefore the time; perhaps the last time for a long time, to ensure that the vibrancy needed to jolt the body politic back to life again is seized upon.

The Diaspora should play a role in this because they have as much at stake as those residing in here in Tanzania. Diaspora is also a political currency that must be leveraged by the opposition. This constituency has made the call for a united front. They have done so before, and they were ignored by the opposition. They did not retaliate, like their fellow countrymen and women residing in Tanzanian, because they could not vote. Neither did they vent their anger by withdrawing their contributions to households that they feed, clothe and send to school. They forgave and took the disappointment with grace. However, a forgiving spirit wears thin. If agenda 2015 is not embraced by opposition leaders, there is a strong possibility that the wave of anger will drown out even the innocent by-standers, the ones that queue the Western Union lines monthly to receive their livelihood from loved ones abroad.

The call is therefore loud, and the message is clear: the opposition must unite, and the leadership issue will not be fought over, or even negotiated away by the few that have refused to live up to their pronouncements of democracy, transparency and good governance. When I look at the so called WABUNGE WA KUTEULIWA, both from CCM and Chadema I get sick! We should stop this dam thing!

Instead, a process must be identified, whereby a primary is held with all parties agreeing to the modalities, and a criteria set stipulating that: ANY Tanzanian, having reached the age set, in good character, can contest the primary. This should not be about having to chose from a shallow pool of existing political ‘big-wigs' and relatives, but about a deep reservoir of talented Tanzanians capable of winning, and delivering for all Tanzanians at all times. The task will be daunting but it will not be impossible. In fact, the litmus test for the leadership abilities of the Tanzanian opposition leaders is willingness to undergo this challenge.

We need opposition leaders who heed to the voices of reason, who shout for a united front, who clamour for greater political space, who yearn for a democratic process in choosing a capable leader to carry the flag in 2015. The vote will only count if the candidate can stand up and be counted, and a candidate can only stand if the voter can count on him. Can we count on the opposition to unite, embrace the political will and commitment to see this arduous task through and emerge with a single candidate, elected through a transparent manner and endorsed by all? If the opposition cannot unite and organize a primary, for whatever reason, why should the voters put any faith in them winning, let alone running the country?
 
Jasusi na Macho_mdiliko, si kweli kamba Slaa amekuwa mwiba kwangu. Naamini ni mtu anayetaka maendeleo ya nchi ila labda hajajua bado nchi hii, tofauti na zingine zinazotuzunguka kuna namna ndogo tu ya kuwezesha hayo. Hapa suala ni jinsi gani na namna gani ya kuweza kufanikisha maendeleo. Hilo ni la mjadala daima. Mfano, mIaka ya sabini hakuna mtu aliyeamini path inayochukuliwa na China kuhusu mageuzi ingewawezesha kufika pale walipo sasa hivi. Hivyo hivyo sidhani kama kuna mtu atataka kujaribu China walivyofanya kuwawezesha kufika pale. Kila kitu ni situation/area specific. Ukiangalia post ya Slaa pale juu, utaona kwamba yeye amejikita zaidi kwenye kuelezea academics/taaluma ya science ya jamii badala ya kuelezea hali halisi ya nchi. Hakuwa tayari kukubali kuwa nchi hii ina makabila, dini na utamaduni tofauti sana!

Hata kwenye kampeni zake, alikuwa akienda kutoa ahadi za kiwango ambacho baadhi ya watu maarufu duniani walikuwa wanamshangaa. Kwa mfano, kumilikisha migodi kwa watu wa Geita au maeneo yenye madini! Wapi umeona Duniani kitu kama hicho? Nataka mmoja aelezee hali ilivyo Botswana ambayo ni role model ya Africa kwa madini kama kichochoea cha maendeleo. Mimi nadhani angesema kuwa tutawaleteeni wawekezaji ambao tutawabana wachangie kiasi kikubwa kimaendeleo badala ya kuwadanganya wale watu kuwa wangemilikishwa. Matokeo yake kuna majimbo wananchi wamewachagua wabunge ambao ni classfied conmen. Na hii issue itakuja, bado muda wake.

Anyway, kwa kifupi, Slaa amekwepa kuelezea vitu kadhaa ambavyo ni dhahili kabisa na viko kwenye feelings za watu wengi sana nchini kuhusu Chadema; u-mimi na u-kabila. Kama mwanzilishi alikuwa Mtei na huyo huyo boss, leo kuna Mbowe, Mrema, Lucy, plus utitiri wa shemejis and uncles, kwanini Chadema wasiandae mazingira ya kutawanya madaraka nchi nzima ili kuwa na uwakilishi wa kijumla.

Nina imani na baadhi ya wabunge wa Chadema kama ambavyo nina hakika Chadema itakuja kupasukia hapa hapa kwenye ukabila, U-mimi na u-kaskazini.



nafikiri tunapoteza umakini wa mada pale tunapoingiza maneno yasiyo na ukweli ndani yake,Tazama safu ya uongozi wa juu hadi chini wa chadema tuambie ukabila uko wapi?Not only that do you know really who is Chadema?ni wanachama wangapi wa chadema wako behind the curtains ambao hawataki hata wajulikane,kwa kuheshimu hilo katika uchaguzi wa viongozi nani utamchagua kwa trend hiyo?

Sote tupo kwa ajili ya kujenga Tanzania,mawazo na maoni ni muhimu sana kuliko shutuma,wengi mnaoshutumu mtakuwa kama wengi wetu ambao hatujui the long journey of Chadema in deep.

tuwashahuri tuwatie moyo kwakuwa sote tunataka mabadiliko let us join hands together for better Tanzania.
 
Kanyafu Nkanwa,
Mkuu kweli kabisa unapoteza mada hii kwa kuanza kumfuata Dr.Slaa ktk maswala ambayo hata wewe huwezi kueleza kinachofanyika. Kwa mfano umezungumzia maswala ya madini na kutoa mfano wa Botswana, wewe twambie Botswana wanafanya nini ambacho ni sawa na Tanzania au tofauti na hoja alosimamisha Dr.Slaa. Na hao watu maarufu waliomshangaa Dr.Slaa ni kina nani nakuomba tutajie!

Yes, kuna matatizo Chadema, CCM, CUF na vyama vinginevyo, na ndio sababu kubwa ya mijadala kama hii kuyazungumza pasipo kutumia lugha za ushabiki na kejeli. Sasa hizo ahadi za Lipumba au JK zilikuwa na msisimko gani kwa hao watu maarufu maanake sioni hata moja linalowezwa kuigwa na nchi nyingine yeyote. Kweli kuna matatizo Chadema na lugha inayotumiwa na wanaChadema kusema kweli zisipendi kabisa na hakika kwa mtu kama mimi nayetazama upande wa pili hushindwa kuelewa.

Kwa mfano, kuna madai ya Waislaam kuhusika na mchango mkubwa ktk kutafuta Uhuru hivyo leo wanadai nafasi zaidi ya kupewa madaraka kwa sababu wao walikuwa waasisi wa chama..Hizi ni fkra finyu za Umimi na wana Chadema wanpotumia mfano wao kuwa waasisi wa Chadema hivyo kuwa na fursa zaidi ya kupewa madaraka ya juu ni jambo ambalo nalipinga kama navyopinga mjadala wa Uhuru wetu lakini wapo watu hapa watapinga lile la Uhuru lakini wataunga mkono hili la Chadema au hata CCM kuendelea kuitawala nchi hii kwa sababu ndio wao waliuleta Uhuru hivyo pasipo wao - Haiwezekani!

Hizi ni fikra finyu na hakika Chadema ili wapate kujijenga zaidi wanatakiwa kuingia mikoani na hata vijijini kutafuta nguvu za wananchi pasipo kujali dini, jinsia, rangi na tofauti nyinginezo isipokuwa kuunda umoja unaolenga itikadi wanayosimamia. Kinyume cha hapa itakuwa vigumu sana kwa Chadema kuweza kuchukua roho na mapenzi ya watu ambao bado wanakigugumizi na kujiunga au kuwapa support kutokana na mashaka haya. NI wakati wa Chadema kuondoa dosari hizo na hakuna sababu yeyote inayoweza kuleta maana kwa Mtanzania yeyote ikiwa Chadema itaendelea kulenga watu na sehemu ambazo zinawakubali.

Hata Manabii wetu walikwenda itangaza dini sehemu ambazo haijafika au kukubalika na hasdi leo hii ni jukumu la waumini wa dini zote kuendelea kuitangza dini kwa amani ktk maeneo ambayo hawajapata ujumbe huo na kuelezea mazuri ya imani hiyo hata kama haikubaliki badala ya kuendelea kuwashawishi wale waliokuwa wamekwisha pokea mafundisho..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom