CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

Anaekunyonya unamjuwa mwenyewe.

maccm yanatuchokesha sisi wavuja jasho wa nchi.Ata mafuta ya taa juu!si mgeogeza kodi mafuta ya ndege au mgeongeza kodi kwenye tiketi za ndege!ccm na vibaka mtatuua wenzenu
 
hapo ndipo ninapokukubali faiza halafu hawajui kuwa hiyo shilingi 100 yenyewe inakwenda kusambaza na kupelek umeme vijijini, tatizo lao wanapenda mjini na kusahau babu zao wanaoumia na vibatari
Hivi unafikiria vizuri kweli? Unajua kwanini yameshuka bei? Je siku kwenye soko la dunia yakipanda huku watakuja kushusha kodi?Kuongeza kodi kwenye mafuta ni kumnyonga kila mtu.
 
Watu wanakamuliwa hadi senti ya mwisho,tunauawa indirect.Mtu unakamuliwa mpaka ukose hela ya kutibiwa,kila kitu ghali tu mpaka matibabu ni ghali usiombe huku ni kutua indirect
 
mimi huwa na mshangaa sana faizafoxy kwa kutetea vitu ambavyo hata kwa mtu mwenye uelewa mdogo kama sio wa kawaida anaweza kuona hali ilivyo.ni mtu mbinafsi kama ilivyo serikali hii anayohangaika kutwa kucha kutetea utendaji wake.lakini simshangai kwasababu sophia simba alifurahia sana katiba yao pendekezwa hiyo lakini alipokuja kufumbuliwa macho alihamaki na hakuamini alichokuwa anakiona.natarajia siku moja na yeye faizafoxy atafunuliwa macho aweze kuona uhalisia.
 
mimi huwa na mshangaa sana faizafoxy kwa kutetea vitu ambavyo hata kwa mtu mwenye uelewa mdogo kama sio wa kawaida anaweza kuona hali ilivyo.ni mtu mbinafsi kama ilivyo serikali hii anayohangaika kutwa kucha kutetea utendaji wake.lakini simshangai kwasababu sophia simba alifurahia sana katiba yao pendekezwa hiyo lakini alipokuja kufumbuliwa macho alihamaki na hakuamini alichokuwa anakiona.natarajia siku moja na yeye faizafoxy atafunuliwa macho aweze kuona uhalisia.
Huyo ajitambuagi kabisa
 
Porojo ndeeefu.

Haujuwi kuwa mafuta yameshuka bei zaidi ya hiyo shillingi 100 iliyoongezwa?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?

Kodi imeongezeka ni tatizo,bei ya mafuta inaratibiwa na ewura kulinga na bei katika soko la dunia pamoja na gharama za usafirishaji ,kuongeza kodi unamuadhiri direct mtumiaji wa mwisho
 
maccm yanatuchokesha sisi wavuja jasho wa nchi.Ata mafuta ya taa juu!si mgeogeza kodi mafuta ya ndege au mgeongeza kodi kwenye tiketi za ndege!ccm na vibaka mtatuua wenzenu

Wewe hata haujuwi unachokiongea, tena unaonesha mpaka leo unalishwa, vishwa na kulazwa.
 
Hii budget iko poa, kinywaji bei ileile, hayo ya diesel mtajua nyinyi.


Hivi hicho kinywaji kinatengenezwa kwenye mkeka?, kupanda kwa mafuta ni kupanda kwa vinywaji,nguo,mkate na chai ya tsh 200 itauzwa tsh 400, kiberiti cha tsh 100 kitauzwa tsh 500, majani ya chai ya tsh 200, yatauzwa tsh 500 na tumekwambia nauli ndoo usiseme mfano Dar to Moro itakuwa elfu 20, Mwanza kutoka tsh 45000, itakuwa tsh 60, 000!

Pembejeo ndoo usipime ili maskini aendelee kusota kwenye umaskini wa kutupwa!
 
Wewe hata haujuwi unachokiongea, tena unaonesha mpaka leo unalishwa, vishwa na kulazwa.


Do you know what exactly changes taken affect a large number of community?

You have never critically thought,but just provocation
 
Hivi hicho kinywaji kinatengenezwa kwenye mkeka?, kupanda kwa mafuta ni kupanda kwa vinywaji,nguo,mkate na chai ya tsh 200 itauzwa tsh 400, kiberiti cha tsh 100 kitauzwa tsh 500, majani ya chai ya tsh 200, yatauzwa tsh 500 na tumekwambia nauli ndoo usiseme mfano Dar to Moro itakuwa elfu 20, Mwanza kutoka tsh 45000, itakuwa tsh 60, 000!

Pembejeo ndoo usipime ili maskini aendelee kusota kwenye umaskini wa kutupwa!

Kwakua Ccm wameshazoea ufisadi ndio maana wanaona maisha marahisi Kamanda
 
Hata kugegedana bei ipo juu sn Kipindi hiki kuliko zamani
 
Hakuna mtu ambaye mafuta hayamhusu,ila kinywaji kuna wengine hakiwahusu.Mafuta hata awe nani lazima yamuathiri

Kuna watu hawajauona umeme vijijini huko toka wazaliwe na sasa hivi wanamika 70, leo wakati wa Kikwete wameanza kuuona. Kabla yaKikwete ni Watanzania asilimia 10 walikuwa na umeme, leo zaidi ya asilimia 35, yeye peke yake kwa miaka 9 tu kishaongeza aslimia 25 ya umeme wote Tanzania. Changanya wote wa kala yake miaka 44 na mkoloni wao hawafikii hata nusu ya umeme aliousambaza yeye, dogo hilo?

Hiyo pesa ndogo iliyoongezwa ni kwa ajili ya huo umeme, ni nini usichokielewa?
 
Kuna watu hawajauona umeme vijijini huko toka wazaliwe na sasa hivi wanamika 70, leo wakati wa Kikwete wameanza kuuona. Kabla yaKikwete ni Watanzania asilimia 10 walikuwa na umeme, leo zaidi ya asilimia 35, yeye peke yake kwa miaka 9 tu kishaongeza aslimia 25 ya umeme wote Tanzania. Changanya wote wa kala yake miaka 44 na mkoloni wao hawafikii hata nusu ya umeme aliousambaza yeye, dogo hilo?

Hiyo pesa ndogo iliyoongezwa ni kwa ajili ya huo umeme, ni nini usichokielewa?
Zile mlizofisadi zingeongeza asilimia ngapi ya umeme vijijini
 
Zile mlizofisadi zingeongeza asilimia ngapi ya umeme vijijini

Zile tulizonunulia fuso mbili chakavu kwa millioni 600? au zile tulizojengea mahawara nyumba? au zile za nyumba zetu za London na Dubai?
 
Kodi imeongezeka ni tatizo,bei ya mafuta inaratibiwa na ewura kulinga na bei katika soko la dunia pamoja na gharama za usafirishaji ,kuongeza kodi unamuadhiri direct mtumiaji wa mwisho

Kama kumpa umeme aliyeko kijijini ni kumuadhiri basi wataadhirika wengi sana.

Au ulimaanisha "unamuathiri"?

Maana wengine shule zenu mmeenda kusomea ujinga.
 
Zile tulizonunulia fuso mbili chakavu kwa millioni 600? au zile tulizojengea mahawara nyumba? au zile za nyumba zetu za London na Dubai?

Pole yako maana watanzania hawadanganyiki tena jiandaeni kua Wapinzani
 
Back
Top Bottom