FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Kadanganye wale wachunga fisi watanzania waleo ni GT
Hii bajeti ya mwaka huu inabidi mtulie tu, hamna ujanja. Haijawahi kutokea, ni historia.
Kadanganye wale wachunga fisi watanzania waleo ni GT
Punguani ni wewe unaodanganya Watanzania kumbuka mnasubiriwa Octobe mpumzishwe
Sasa wewe unafikiri kunawajinga tena
Porojo ndeeefu.
Haujuwi kuwa mafuta yameshuka bei zaidi ya hiyo shillingi 100 iliyoongezwa?
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Mafuta juu! Dolla juu!even through I dont support the oppostion-im not voting for CCM for sure!
Aibu when the MoF has no explaination on anything! She talks about currency stability when the opposite isbhappening in the market! Time for every1 to go!
Punguani ni wewe unaodanganya Watanzania kumbuka mnasubiriwa Octobe mpumzishwe
Siyo nnafikiri, nnakuona ulivyo mjinga. Ungekuwa si mjinga ungekuja na uongo mtupu kwenye nyuzi yako?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
mafuta kupanda bei kwasasa katika soko la dunia ni ngumu sana.
marekani wameanza kuchimba mafuta ,kwahiyo waarabu wanashusha mafuta ili kuinyima marekani market share.
Uzuri tulishawajua tangu zamani,kesho baada ya mafuta kupanda bei mtakuja na visingizio kibao utafikiri mnaongea na mazuzu wenzenu.Shule muhimu sana ikiwa u hauendi kusomea ujinga. Kuna vitu vinaitwa "forecasting", soma kijana.
Siyo nnafikiri, nnakuona ulivyo mjinga. Ungekuwa si mjinga ungekuja na uongo mtupu kwenye nyuzi yako?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hapo unateseka nini wewe punguani? hujaongezewa bei ya chochote kwa mara ya kwanza katika bajeti na hata hiyo ya iliyoongezwa kwenye mafuta bado mafuta utayanunuwa bei ya chini kuliko mwaka jana kulipoongezwa bei ya vitu vingi sana.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Huku niliko mafuta tangu juzi yamepanda bei sijui unazungumzia soko la dunia ya wapi.
Porojo ndeeefu.
Haujuwi kuwa mafuta yameshuka bei zaidi ya hiyo shillingi 100 iliyoongezwa?
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
yaani wewe ajuza taifa linabahati mbaya
Lna bahati mbaya kwa kuwa na watu kama nyinyi ambao vichwa vyenu ni mizigo, hata fikra havina.
Halafu bado mnauliza kwanini Tanzania haiendelei! Mnanshangaza.
Uzuri tulishawajua tangu zamani,kesho baada ya mafuta kupanda bei mtakuja na visingizio kibao utafikiri mnaongea na mazuzu wenzenu.
Porojo ndeeefu.
Haujuwi kuwa mafuta yameshuka bei zaidi ya hiyo shillingi 100 iliyoongezwa?
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?