CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

Hii ndo tanzania muuza dagaa kaja kufanya projection ya uchumi.eti sukari toka tsh 2200 mpk 4000,,,lol uwe unauliza kwanza kabla ya kupost pumba zako
 
Muhimu inflation rate ipo controlled wala hakuna shaka.

Tumia fursa ya kushuka kwa shillingi usafirishe bidhaa nje. Hata waziri wa fedha kawaambia hilo bingeni lakini hamjutambui, mimi napeleka mikeka kila kukicha, hivi nna order ya majamvi 500 na mikeka 500.

Kaeni mlale tu.

Hivi kweli Watanzania wote 45 millioni wataweza kuuza bidhaa nje!!? Ndiyo maana waswahili wanasema kufa kufaana. Kwa hali ilivyo kuna watu watafaidiaka lakini ni wachache!! Sasa watu hawawezi kuanza biashara ya kuexport leo kwa vile Tsh ime-plunge!!

Hiyo unayodai kuweza kucontrol inflation, it will not happen as long as tunaimport mpaka sindano ya kushonea nguo!! Jiandae kisaikologia!!
 
Hata ningekuwa mimi Rais umeme.ungekuwa umefika 35% Huoni aibu jamiiforums nzima.pekee yako tu ndo wahangaika na Kikwete

Ungekuwa wewe labda ungeweza, siwezi kukukatalia, mbona Kikwete kaweza. Lakini Nyerere, Mwinyi na Mkapa walishindwa kwa jumla ya miaka yao zaidi ya 44 madarakani wamemwachia Kikwete 10% tu ya Watanzania wenye umeme.
 
Hii ndo tanzania muuza dagaa kaja kufanya projection ya uchumi.eti sukari toka tsh 2200 mpk 4000,,,lol uwe unauliza kwanza kabla ya kupost pumba zako
Usiyejitambua ndio hujui kitu wewe
 
Serekali za Mita mliyoweka mapingamizi yasiyokua na tija? Lakini Mahakama inawatoa aibu sasa hivi

Hizo ni porojo zisizo na mshiko, mahakama haijaanza serikali za mitaa kupanguwa matokea ambayo hayako sawa. Hukumbuki Makongoro Nyerere alivyoenguliwa Arusha? au ulikuwa bado kichinchiri?
 
Hizo ni porojo zisizo na mshiko, mahakama haijaanza serikali za mitaa kupanguwa matokea ambayo hayako sawa. Hukumbuki Makongoro Nyerere alivyoenguliwa Arusha? au ulikuwa bado kichinchiri?

Wewe ni boga kweli mnaenguliwa moja moja
 
Huyo faiza hata ukimkuta kazimia syo wa kupewa msaada ni kumuangalia tu,ana tete a
Sana ujinga....Oct tutawapa dawa yao

Ukiona mtu wa hivyo kamanda ni mpuzi kwanzia kwenye kichwa mpaka unyayo
 
Hivi kweli Watanzania wote 45 millioni wataweza kuuza bidhaa nje!!? Ndiyo maana waswahili wanasema kufa kufaana. Kwa hali ilivyo kuna watu watafaidiaka lakini ni wachache!! Sasa watu hawawezi kuanza biashara ya kuexport leo kwa vile Tsh ime-plunge!!

Hiyo unayodai kuweza kucontrol inflation, it will not happen as long as tunaimport mpaka sindano ya kushonea nguo!! Jiandae kisaikologia!!

Wewe kweli zero.

Pole sana. Ngoja nikusaidie.

Ukiuza wewe bidhaa nje, directly na idirectly kuna msururu wa Watanzania wanao support biashara yako. Wabebaji watengenezaji, wafungaji, wasafirishaji, mishahara, marupurupu wote hao wao na familia wanafaidika kwa namna moja au nyengine kupitia wewe msafirishaji mmoja.
 
Usiwadanganye wananchi hiyo asilimia 35% ya vijiji iko Msata au katavi?

Niko hapa Dar es salaam na Mkuranga,
Dar es salaam ina kata 76 hivi,lakini kati ya hizo ni kata 48 tu ndizo zinaumeme!

Unaniambiaje Vijiji 38 vya Mleba visivyo na umeme,unanidanganya vipi vijiji vya Ruangwa,Namtumbo,Mgazini,ambavyo ni takribani vijiji 90+ havina umeme,kikwete amepeleka umeme wa kufikirika?

Usitudanye be factual



Kabla Kikwete hajachukuwa uongozi ni asilimia 10 ya Watanzania walikuwa na umeme kwa miaka yote hiyo kabla yake. Juingia yeye kwa miaka 9 tu sasa, Watanzania asilimia 35 wana umeme. Dogo hilo:

 
Wewe kweli zero.

Pole sana. Ngoja nikusaidie.

Ukiuza wewe bidhaa nje, directly na idirectly kuna msururu wa Watanzania wanao support biashara yako. Wabebaji watengenezaji, wafungaji, wasafirishaji, mishahara, marupurupu wote hao wao na familia wanafaidika kwa namna moja au nyengine kupitia wewe msafirishaji mmoja.
Ccm ndio janga walilotupelekea nakutufikisha hapa pabaya
 
Back
Top Bottom