CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

Wewe umekuja na uongo wa hali ya juu, unaandika listi kama vile vitu hivyo vimepandishwa bei kumbe ni upunguani wako na ufataani wako.

Hivi nyinyi fikira zenu mtashika dola kwa kudanganya? mawee!



Usitukane
Eleza hapa,hoja ya kupandisha bei ya mafuta inalenga nini?
 
Wewe umekuja na nyuzi reeefu la uogo mtupu. Hakuna ukweli hata mmoja.

Yameongezwa mafuta tu na hayo p
ia ni kwa ajili ya kuwapunguzia wamatatizo Watanzania waliwengo vijijini kwa kwapelekea umeme, zote zilizoongezwa zinakwenda REA.

Kwa mara ya kwanza bajeti yetu haitegemei fedha za nje, kwa mara ya kwanza hakuna msururu wa kuongezwa mi bei ya vitu.

Hivi bado mnalo la kuiponda hapo?

Uje na uongo tu.
Kwani inapotamkwa mikopo ya ndani na nje ya nchi nini maana yake?
 
Mie napenda kodi iongezeke mara dufu na gharama za maisha zipande mara dufu,maana watanzania bila kuwaambia kwa matendo hawaelewi,safi sana Mkuya,ungeongeza bei zaidi ya hapo ningefurahi zaidi

Ninakubaliana na wewe - wabongo tumepigika lakini bado tunashabikia na kushangilia mafisadi hao hao ambao wanasababisha hali zetu mbaya. Pengine tunahitaji kipigo cha mwisho kabla ya kujitambua ili tuweze kufunguka macho na akili.
 
Hii budget iko poa, kinywaji bei ileile, hayo ya diesel mtajua nyinyi.
 
Usitukane
Eleza hapa,hoja ya kupandisha bei ya mafuta inalenga nini?

Mbona waziri kishaeleza jana tena karudia mara mbili, "fedha zote zilizoongezwa kwenye mafuta zinakwenda katika mfuko wa umeme wa REA".

Na mafuta ya taa yamengezwa ili kusiwe na kichocheo cha kuchakachuwa. Waulize wenye magari hususan ya diesel walivyofarijika toka bei za mafuta ya taa ziwe juu. Magari sasa hivi yanakuwa salama na hakuna uharibifu wa mashine wa mara kwa mara. Na matumizi ya diesel kwa kila gari yamepunguwa kwa kiasi fulani, ni faraja kubwa sana hiyo.
 
Acha kujifedhehesha, mafuta yameshuka bei kutoka shilingi ngapi. Kama hujui kinachojiri kwenye soko la mafuta hapa nchini ni bora ukajinyamazia badala ya kuendelea kuanika upumbavu wako

Wewe mafuta yalikuwa mpaka 2200 kwa lita, leo shillingi ngapi?

Unauliza bahari coco beach? unanchekesha!
 
Mbona waziri kishaeleza jana tena karudia mara mbili, "fedha zote zilizoongezwa kwenye mafuta zinakwenda katika mfuko wa umeme wa REA".

Na mafuta ya taa yamengezwa ili kusiwe na kichocheo cha kuchakachuwa. Waulize wenye magari hususan ya diesel walivyofarijika toka bei za mafuta ya taa ziwe juu. Magari sasa hivi yanakuwa salama na hakuna uharibifu wa mashine wa mara kwa mara. Na matumizi ya diesel kwa kila gari yamepunguwa kwa kiasi fulani, ni faraja kubwa sana hiyo.

Watanzania wamechoka na uchakachuaji wenu
 
mafuta ya taa yamepanda,dizeli,petroli imepanda so multiple effect kwenye mfumuko wa bei.Kila kitu sokoni kitapanda.Wewe ajuza just understand this little consept.Ccm their evils

Hizo ni fikra zako, kupanda kwa mafuta bado hakujafikia bei iliyokuwa mwaka jana. Kumbuka hilo.
 
Porojo ndeeefu.

Haujuwi kuwa mafuta yameshuka bei zaidi ya hiyo shillingi 100 iliyoongezwa?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?

!... We Mpumba Vu Kweli, Kwahyo Mafuta Yanapungua Bei Lini? Acha Ku2ona Wote Kana Kwamba Tuna Vichwa Kama Ccm
 
Hizo ni fikra zako, kupanda kwa mafuta bado hakujafikia bei iliyokuwa mwaka jana. Kumbuka hilo.

Kupanda kwa mafuta hakujafikia kwa sasa au hakutafikia hata baada ya hilo ongezeko la tozo kwenye mafuta? Tunaongelea hali ya bei itakavyokua baada ya tozo jipya kuanza kutumika.
 
!... We Mpumba Vu Kweli, Kwahyo Mafuta Yanapungua Bei Lini? Acha Ku2ona Wote Kana Kwamba Tuna Vichwa Kama Ccm

Wewe unaonesha hauna hata bodaboda, kama haujuwi bei za mafuta nchi hii zinakwendaje.

Pole sana si makosa yako.
 
Porojo ndeeefu.

Haujuwi kuwa mafuta yameshuka bei zaidi ya hiyo shillingi 100 iliyoongezwa?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?


hapo ndipo ninapokukubali faiza halafu hawajui kuwa hiyo shilingi 100 yenyewe inakwenda kusambaza na kupelek umeme vijijini, tatizo lao wanapenda mjini na kusahau babu zao wanaoumia na vibatari
 
Back
Top Bottom