CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

Bila kusahau vinywaji navyo vitapanda bei maana kodi kwenye sukari ya viwandani imepandishwa hopefully wenye viwanda watambebesha mzigo mlaji. Safari hii wamejifanya hawakugusa pombe na soda lakini indirectly imepandishwa kupitia import duty ya hiyo sukari.
 
Kwa serikali hi ya ccm haitotokea wao kushusha bei vitu wanachojua wao ni kupandisha tu

Serikali ya mafisadi ambayo imewaagiza wafanyabiashara kuchangia ccm campaign,inaongeza tozo ili gharama zao za kukichangia chama ije kufidia bei ya vitu!
 
Bila kusahau vinywaji navyo vitapanda bei maana kodi kwenye sukari ya viwandani imepandishwa hopefully wenye viwanda watambebesha mzigo mlaji. Safari hii wamejifanya hawakugusa pombe na soda lakini indirectly imepandishwa kupitia import duty ya hiyo sukari.
Alafu wanawadanganya Watanzania
 
Naona wanawatengenezea Ukawa njia kisawa sawa.Naona CCM sasa imegota T🙊🙊🙊🙊
 
Kwa hiyo mafuta yatakuwa yameshuka bei milele na milele hayatakuja kupanda bei?.

mafuta kupanda bei kwasasa katika soko la dunia ni ngumu sana.
marekani wameanza kuchimba mafuta ,kwahiyo waarabu wanashusha mafuta ili kuinyima marekani market share.
 
Kama uti wa mgongo wa uchumi wa nchi yetu ni kilimo, je kupandisha gharama za pembejeo za kilimo tunatumia akiri au matope?
 
Kwahiyo Watanzania wateseke kwa Mwaka moja

Hapo unateseka nini wewe punguani? hujaongezewa bei ya chochote kwa mara ya kwanza katika bajeti na hata hiyo ya iliyoongezwa kwenye mafuta bado mafuta utayanunuwa bei ya chini kuliko mwaka jana kulipoongezwa bei ya vitu vingi sana.

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
Unataka kutuambia ccm imeandaa bajeti ya kuwaumiza,maskini baada ya hapo itatoa ahadi ya kushusha baadae? Maigizo

Bajeti imelenga kumpunguzia mzigo masikini mpaka upinzani wanapiga kelele wanasema ohhh mmefanya hivi kwa ajili ya uchaguzi, halafu wewe unalalamika?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Hapo unateseka nini wewe punguani? hujaongezewa bei ya chochote kwa mara ya kwanza katika bajeti na hata hiyo ya iliyoongezwa kwenye mafuta bado mafuta utayanunuwa bei ya chini kuliko mwaka jana kulipoongezwa bei ya vitu vingi sana.

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Punguani ni wewe unaodanganya Watanzania kumbuka mnasubiriwa Octobe mpumzishwe
 
Mafuta yameshuka bei na bei ya sukari,nauli,na ya unga?

Usitudanganye nenda madukani kwenye kiruo cha daladala kushuka kwa bei ya mafuta,kama na nauli imeshuka!

Hivyo vyote havijaguswa.
 
Bajeti imelenga kumpunguzia mzigo masikini mpaka upinzani wanapiga kelele wanasema ohhh mmefanya hivi kwa ajili ya uchaguzi, halafu wewe unalalamika?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kadanganye wale wachunga fisi watanzania waleo ni GT
 
Back
Top Bottom