Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
Serikali ya ccm,imetanganza bajeti ya karibu tilioni 22, ambapo vipaumbele vyake ni posho,safari,semina na kuacha shughuli zinazoweza kukuza uchumi wa nchi kama kuongeza fedha kwenye Elimu,Afya na tafiti!
Eneo hili limetengewa bajeti kiduchu.
Kingine ni psle,ilipotamka kuongeza tozo ya mafuta toka shilingi hamsini kwenda miamoja hamsini ,
Kuongeza gharama kwenye mafuta,ya taa,petroli na Diseli ni kuongeza bri ya unga,mafuta ya kula,sabuni,nauli,bri ya mchele,ngano,mkate,na pia gharama za umeme na matumizi ya simu( vocha).
Si hicho tu,kuongezeka kwa tozo hiyo,kunatangaza ongezeko la kodi za pango,kodi za pembejeo za kilimo,bati,misumari,nondo na hata huduma za raia anuai.
Tutarajie maskini kuongezeka,watumishi kuongezewa mshahara toka tsh 298,000 kwemda kwenye tsh 349000! ,ambayo haitawiana na maisha halisi ya kipato chao,hivyo kufanya walimu,madaktari,na watumishi wengine kuishi maisha ya aibu na hata mambo ya tuition,michango ya speed test kuongezeka kila siku.
Kwa bajeti hii,wafanyabiashara hadi july 30 tutarajie;
* sukari kutoka 2200 hadi 4000
* unga kutoka 2000-3500 kwa kilo,
* sabuni kutoka 1000 kipande kwenda 2000,
* umeme kutoka sh 250 kwa unit hadi 500
*nauli kutoka tsh450 hadi 1500,
* nguo iliyouzwa tsh 5000-tsh15000,
* dawa ya malaria,iliyouzwa kwa tsh 2000-4000!
Wakati ndio huu,idadi ya walionachokuongezeka,na wasionachokuongezeka .
Ndani ya bajeti hii ya ccm tunatarajia
*magonjwa kama ukimwi,utapiamlo,amnesia,ahinikizo la damu,moyo nk kuongezeka,
* watoto wasiojua kkk kuongezeka,
* ndoa za utotoni kuongezeka,
* ndoa nyingi kuvunjika,
* kuongezeka kwa watoto wa mitaani,
* Rushwa kukita mizizi,
Hii ndio ccm inayosema;
* itapambana na umaskini, ujinga ,maradhi ,na ufisadi bila kujenga mazingira yanayowafanya watanzania kujitegemea na kuinua mapato yao ambayo yangesaidia kujenga nyumba bora,kusomesha watoto wao,na kujitibia bila matatizo!
Ccm hapa imewapiga changa la macho watanzania,si serikali ya wanyonge,ipo kwa Wenye kwa ajili ya wenye nacho tu!
Eneo hili limetengewa bajeti kiduchu.
Kingine ni psle,ilipotamka kuongeza tozo ya mafuta toka shilingi hamsini kwenda miamoja hamsini ,
Kuongeza gharama kwenye mafuta,ya taa,petroli na Diseli ni kuongeza bri ya unga,mafuta ya kula,sabuni,nauli,bri ya mchele,ngano,mkate,na pia gharama za umeme na matumizi ya simu( vocha).
Si hicho tu,kuongezeka kwa tozo hiyo,kunatangaza ongezeko la kodi za pango,kodi za pembejeo za kilimo,bati,misumari,nondo na hata huduma za raia anuai.
Tutarajie maskini kuongezeka,watumishi kuongezewa mshahara toka tsh 298,000 kwemda kwenye tsh 349000! ,ambayo haitawiana na maisha halisi ya kipato chao,hivyo kufanya walimu,madaktari,na watumishi wengine kuishi maisha ya aibu na hata mambo ya tuition,michango ya speed test kuongezeka kila siku.
Kwa bajeti hii,wafanyabiashara hadi july 30 tutarajie;
* sukari kutoka 2200 hadi 4000
* unga kutoka 2000-3500 kwa kilo,
* sabuni kutoka 1000 kipande kwenda 2000,
* umeme kutoka sh 250 kwa unit hadi 500
*nauli kutoka tsh450 hadi 1500,
* nguo iliyouzwa tsh 5000-tsh15000,
* dawa ya malaria,iliyouzwa kwa tsh 2000-4000!
Wakati ndio huu,idadi ya walionachokuongezeka,na wasionachokuongezeka .
Ndani ya bajeti hii ya ccm tunatarajia
*magonjwa kama ukimwi,utapiamlo,amnesia,ahinikizo la damu,moyo nk kuongezeka,
* watoto wasiojua kkk kuongezeka,
* ndoa za utotoni kuongezeka,
* ndoa nyingi kuvunjika,
* kuongezeka kwa watoto wa mitaani,
* Rushwa kukita mizizi,
Hii ndio ccm inayosema;
* itapambana na umaskini, ujinga ,maradhi ,na ufisadi bila kujenga mazingira yanayowafanya watanzania kujitegemea na kuinua mapato yao ambayo yangesaidia kujenga nyumba bora,kusomesha watoto wao,na kujitibia bila matatizo!
Ccm hapa imewapiga changa la macho watanzania,si serikali ya wanyonge,ipo kwa Wenye kwa ajili ya wenye nacho tu!