Uchaguzi 2020 CASE STUDY - Jimbo la Hai - Walitumia teknolojia gani kupata matokeo sahihi ya kila kituo ndani ya saa 8?

Heroes wakati wanatumia 330million *12 =3,960 million anakula mlevi wa konyagi na genge lake la wahuni. Kafanya nini kuendeleza chama? Mafisadi wakubwa.
Mambo aliyofanyiwa mbowe ungekuwa wewe ungekuwa umekufa kwa presha mara 7 ×70
 
Watu walishazika utu wanatukuza vyama na miungu Watu
wanajiona wao ni immortal wataishi milele na ni perfect hawana kasoro yoyote.....
 
Mahakama ipi mkuu, hizi zilizokuwa compromised? Kama siyo mahakama ya Rufaa kuwarudisha wakurugenzi kusimamia uchaguzi leo labda ujinga huu usingekuwa wa kiwango hiki
 

Kwa maelezo yako inawezekana kabisa kupata mahali pa kuanzia;
Hakuna mshindi aliyejitangaza mwenyewe kuanzia udiwani, ubunge hadi Rais wa Zanzibar na yule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waliosimamia uchaguzi na kutangaza matokeo ni watumishi wa uma (Tume ya uchaguzi) na hawa wanaweza kuwajibishwa kisheria kutokana na vitendo vyao dhidi ya taifa.
Njia bora ya kurekebisha mambo yahusuyo uchaguzi ni kuwashughulikia watumishi wanaohujumu uchaguzi badala ya kuwalalamikia waliotangazwa washindi(wanasiasa).
 
Duuu jamaa unajifariji sana mpaka unakuwa mjinga. Sasa uzalendo Wake Hapo uko wapi JF. Are you serious. Kama ndo aina ya wanachama hao walioshindwA ndo kama wewe Basi hata nyumba yako sijui inasalimikaje.
Another dracular on the blood hunt!!!
 
Tanzania's 'sham' election leaves democracy reeling (AFP)
Mojawapo ya habari za kimataifa ni hiyo ya jana.

Huko Hai yupo Sabaya aliesifiwa sana na JPM. Mambo afanyayo ni ya ajabu mno na ukijiuliza huyu UONGOZI kampa nani unapata majibu yaleyale ... zama za kina Bashite na wenziwe. Inasikitisha sana. Backwards huko ndo tunazidi kwenda
 
We we Msimsmizi Feki na Mtumishi Feki wa Umma.
 
Tumeanza na kusahau hayo machungu,,, acha maisha mengine yaendeleee
 
Kura za mamluki. Hai hakuna kura iliyoharibika, wapiga kura walizidi wa moshi mjin mara 2
 
Katika eneo nililosimamia mimi, kituo cha mwisho kuleta matokeo wilayani (jimboni) ili kufanya majumuisho kumpata mshindi wa ubunge ilikuwa ni saa 2asb kesho yake yani 29/10/2020!
kwa hiyo hilo jimbo uliokuwepo mkuranga unalazimisha liwe sawa na hai?
hujui kwamba kuna visiwa vidogo pembeni mpaka mtumbwi upatikane,Hai ni fasta tu Mugabe chali
 
Kura halali na sahihi zilikuwa ni mchujo wa kura za maoni wakati wa kutafuta wagombea zingine zote ni full utapeli
 

Mkuu wasimamizi wa Mbowe kwa nini walisign kukubali matokeo? Au wamegoma?

Ukijibu hili futa thread hii
 
Tuondoleeni ulalamishi wenu wa kitoto hapo. Mmeshindwa mchana kweupe. Hatukuwapigia kura mfahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…