Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
unaongea na mimi au unaongea na simu???
Kalamu inaongea
unaongea na mimi au unaongea na simu???
Bashiru alimwambia asiwe Rais baada ya JPM kuanza kuugua akawa mbishi akisema anasubiri kauli ya kutumbuliwa ya rais mwenyewe.Je kama kuna wanaomchezea wakiwa na fikra ni mwanamama atawahurumia...wabongo ukiwadekezadekeza utaingia nao msikitini...
I think that's too low for the bossCarol Ndosi ni opposition members
Ambae alikuwa anaogopa kujitokeza wakati wa jiwe..naona sasa ana launch her political career upya...
kalamu inaongea vipi wakati umeikalia yote kabisa??Kalamu inaongea
We mwache tu miaka 5 itaisha yupo kwenye kuwaambia watu kuwa yeye ni mwanamke.Mwana harakati na Mjasiriamali carol Ndosi kupitia kipindi cha Joto Kali la Asubuhi TV-E ameweka wazi kukerwa kwake na kitendo cha Rais Samia kila anapopata nafasi kuongea na Watanzania basi lazima aseme kuwa yeye ni Rais mwanamke na yeye ni mwanamke. Amesema kuwa amekuwa akirudia mara kwa mara kila apatapo nafasi kuwa yeye ni mwanamke wakati kila mtanzania anajua kuwa yeye ni mwanamke.
Carol Ndosi anasema kuwa Rais Samia yeye ni Rais hapaswi kuendelea kujificha nyuma ya kimvuli cha uanamke kwani hilo si jambo zuri na haipendezi kwa Rais kuwa na hofu ya uanamke wake bali anatakiwa ajue watu wanamuamini kama Rais si kama mwanamke.
Amesema pengine Rais Samia anapitia mambo mengi kwenye chama chake au kwa watu wanaomzunguka kwa sababu ya uanamke wake lakini yeye kama Rais hatakiwi kuitumia kama ngao kwani yeye ni Rais na watu wanajua ni mwanamke hatakiwi kuwakumbusha watu, haipendezi.
Chanzo: TV-E/E-FM
Mama yako hana vyote.Kuhutubia bila kusoma sio ujanja. Karama zinatofautiana.
Wengine wana uwezo wa kuhutubia sana ila uwezo wa kutenda mdogo.
Wengine wanao uwezo wa kutenda ila kuhutubia hawawezi.
Kwa maoni yako mkuu. JPM unayemuamini wewe alimuamini yeye akampa umakamu wa rais.Mama yako hana vyote.
Acheni kumzushia Bashiru mambo ya kijinga.Umesema kweli. Kuna voice note ya akina Bashiru na Sukuma Gang wenzie wakati JPM yuko amekufa na hawataki kutangaza. Anasikika Bashiru akisema "Yule Samia ni Mwanamke Hajui Kitu".
Ukiona Samia anasema mara kwa mara hayo maneno, na wewe huelewi, ujue hayakuhusu. Walengwa wanajuwa
Bashiru muongo muongoYes maana kina Bashiru walimwambia mama a step down Tanzania haiko tayari kuongozwa na mwanamke, Sasa obviously hayo maneno yalimuumiza na sioni shida mtu kutoa dukuduku la moyoni as long as haumizi mtu, so I wonder wanaomshambulia eti anatumia uanauke wake ka excuse na Carol bila kutafakari akalibeba Hilo neno la ma clout chaser wa kisiasa bila kujua hicho ni kijembe kwa wahusika flani.
Sasa anamdharau mume wake Hilo nalo tatizo. Ndayishimiye kaja na mkewe maushungi Yuko single Kila sehemu.Samia hajiamini na ndicho kitakachomfanya awe katili kwa hofu
Hili nalo Ni tatizo kubwa kwa rais, unakuwa small house! Aibu.Hivi ni bi mkubwa au bi mdogo huyu mama ssh?
Wapi nimesema namuamini JPM?Kwa maoni yako mkuu. JPM unayemuamini wewe alimuamini yeye akampa umakamu wa rais.
Tulia mkuu Rais Samia afanye kazi yake. Hizi kelele hazina msaada wowote kwa nchi na kwake pia.Wapi nimesema namuamini JPM?
Humu ndani eatu sijui mnafikiri kwa kutumia makalio ama kitu gani, unashindwa kuelewa. Kwamba kila anaempinga huyo mama basi ni mfuasi wa JPM, aisee!
Jambo la pili ujue umakamu wa rais ni ceremonial figure, mtu yeyote anaweza kua makamu wa rais.
Mama aliyekuzaa ni hovyo sioRaisi mwemye maumbile ya kike ni raisi hovyo kuwahi kutokea bara la Africa.
Ataongoza na atamaliza muhula wake, atakuja Rais mwingine na utalalamika hivi hiviUPUUZI TU ....UDHAIFU WA KATIBA YETU NDIYO CHANZO CHA KUWEPO HAYA MAUZA×2 YOTE ......
NB: chief mkuda hangaya hana uwezo wa kuongoza ...
Kwa katiba ya Tanzania hata ukimpa mtoto urais mtaendeshwa hovyo hovyo tu.
Hivyo usidhani mama ni dhaifu na anatumia kichaka cha jinsi.
Kuna namna anawakumbusha tu lakini si udhaifu.
Mamlala aliyonayo yanatosha kabisa kuamua lolote na hakuna atakayeleta fyoko fyoko.
Huu nao ni ule ujinga wa jiwe, kila anayekosoa mpinzani.Carol Ndosi ni opposition members
Ambae alikuwa anaogopa kujitokeza wakati wa jiwe..naona sasa ana launch her political career upya...
Kwa hiyo wewe ndio unapanga nini akosoe na nini asikosoe!? Ile statement yako kwenye post yako ya kwanza juu ya freedom of speech ina maana gani sasa!?Hata Nyerere tuna mu attack humu na alishakufa....
Viongozi hujadiliwa hata baada ya kifo..
But wewe Una attack anaechangia hoja simply sababu kaongea tofauti na unacho amini....
Actually sijasema alichoongea Ndosi sio sahihi
Nimetazama angle ingine mbona hakuwahi kukosoa chochote wakati wa Magufuli?
Why anakosoa now?
Ohhh sababu Uhuru wa kukosoa umerudi?
Ohhh nani kaurudisha?Ohhh Samia....
There you are