Sasa huon kuwa ww ndo umekengeuka? Ukiweka picha ya Komba alioonekana na ya machemli ni picha gan utapigwa ban humu ndan? Obviosly n ya machemli coz wote wapo naked, akil huna ndio coz huwez tetea picha ya kutengenezwa paspo mjua mhuska mkuuu, komba yupo na tshirt lake na hlo ndo kosa huyu mtu mliemnunua amchafue alpowaangushen,,, poor u na thinkn capacty yako
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
unaposema mtu ni kioo cha jamii inamaanisha kwamba kile anachokifanya hata jamii anayoingoza inafanya pia,........Kuwa faragha si Kigezo cha kuendekeza Michepuko nje ya ndoa , kwani wameleta picha za komba na mke wake wa ndoa? Tambua maadili Tanzania yalishapotea ndio Maana Vijana wanavaa nguo chini ya Ma.ta.ko wengine nguo za ndani ni chafu hakuna Kiongozi wala Mbunge hata wa Ukawa amewahi kulisemea hili.kumbuka Komba ni kioo cha jamii anapaswa kuishi kwa mfano bora si kuishi kwa kucopy ya wazinzi wa mitaani.
Mawazo yako ya mahakamani si mabaya lakini swali ni nani atawapeleka huko mahakamani ? Upo tayari wewe kuwapeleka mahakamani? Ujue mahakama zetu wapo busy na mlundikano wa Kesi ? Je? Unafahamu Kuwa mwenye pesa ndio mwenye Haki hata Kama ana kosa? Acha mahakama washughurike na kesi zingine za wananchi ,akina Komba na wazinzi wenzao wataadhibiwa hapa hapa JF Maana Michango ya wana JF ni mwiba mkali na mtambo wa kurejesha nidhamu.unaposema mtu ni kioo cha jamii inamaanisha kwamba kile anachokifanya hata jamii anayoingoza inafanya pia,........
Mimi nazani kama vyombo vya habari vingekua vinawapa nafasi kubwa viongozi ambao wanafanya mambo mema ingekua poa sana, hawa wachafu wapelekwe mahakamani na ushahidi upelekwe huko kama wamevunja sheria, hakuna haja ya kutoa picha chafu kama hizo kwenye magazeti.....
Bongo kujiuzulu kwa kashfa ya Ngono ni mwiko . Ni marufuku bongo kujiuzulu watajiuzulu kwa mambo mengine si Haya ya faragha.ITV wachokozi sana, wanatoa ile speech ya JKN kuwa waziri wa UK alikumbwa na kashfa ya ngono! anasema PM wala hakusoma barua yake bali alibariki huyo waziri kujiuzulu!!! Komba na Waziri Kamani wazee wa MCHEPUKO wanaweza kujiuzulu kweli? I doubt ....
Huyu Komba aache kubishana na ukweli. Watu wanazo picha zake akiwa kwenye baa ya Chuwa na visichana vidogo.
Na hata ile lodge anayopenda kwenda kufanyia mauchafu yake mitaa ya Sinza watu washamrekodi akiingia na hivyo visichana.
Kama anabisha na aje humu akatae kwamba pale kwa Chuwa hajawahi kwenda kukutana na hivyo visichana vidogo.
Aje hapa abishe watu tuziweke videos....dunia ya leo siyo dunia ya miaka ile.
Now let's see how far he wants to take this......
Wadau,
Juzi hapa zilisambaa picha tofauti za mheshmiwa huyu akiwa na wadada wawili tofauti katika mionekano ya kuashiria kuna mapenzi baina yao. Kama kawaida ya wanasiasa wengi walivyo waongo, Mheshmiwa huyu alikimbilia Clouds FM kukanusha kuhusika kwake kwenye picha hizo.
Pamoja na sababu zingine, Mheshmiwa huyu alidai kua Picha za Uso/Sura/Kichwa chake zilitumika kuunganisha kwenye kiwiliwili cha mtu mwingine aliekuwepo na huyo dada ili ionekane ni yeye wakati sio kweli.
Sasa hapa chini zimenaswa picha mbalimbali za Mheshmiwa huyu akiwa na Nguo zilezile alizozikataa hapo mwanzo kua sio yeye bali sura ndio ilikua ya kwake.
View attachment 163506
View attachment 163507
Nawasilisha!!
.......lol.....arrgh....arifu! we unataka JF ifungiwe?!!.....acha hizo arifu!...
Machemli halisi ana kitambi,
Huyu wa kuchonga hana kitambi!!
eti yule ni mpiga kura wake alikuwa mgonjwa ndio maana alivaa kanga komba akiwa full nguo
komba aalienda kumjulia mgonjwa hali
Kapteni Komba kama namuona vile presha inapanda presha inashukaaaa...teh teh!!!
Bongo kujiuzulu kwa kashfa ya Ngono ni mwiko . Ni marufuku bongo kujiuzulu watajiuzulu kwa mambo mengine si Haya ya faragha.