...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

[Q UOTE=Lizaboni;9754479]Mbona hamumsemi mwenyekiti wenu alie na vimada kila kona?[/QUOTE]
Tafadhali Liz, unamsema mwenyekiti wako?
 
Mzee mwenzangu, cha msingi hapa ni kuchutama tu!!
 
Hivi jina 'Komba' lina maana gani!!!!Embu nisaidienni kwa hilo kwanza!!!!
 
Wadau,

Juzi hapa zilisambaa picha tofauti za mheshmiwa huyu akiwa na wadada wawili tofauti katika mionekano ya kuashiria kuna mapenzi baina yao. Kama kawaida ya wanasiasa wengi walivyo waongo, Mheshmiwa huyu alikimbilia Clouds FM kukanusha kuhusika kwake kwenye picha hizo.

Pamoja na sababu zingine, Mheshmiwa huyu alidai kua Picha za Uso/Sura/Kichwa chake zilitumika kuunganisha kwenye kiwiliwili cha mtu mwingine aliekuwepo na huyo dada ili ionekane ni yeye wakati sio kweli.

Sasa hapa chini zimenaswa picha mbalimbali za Mheshmiwa huyu akiwa na Nguo zilezile alizozikataa hapo mwanzo kua sio yeye bali sura ndio ilikua ya kwake.
View attachment 163506

View attachment 163507

Nawasilisha!!



Mhe Komba,Komba ,Komba hutaweza kudanganya wtz kila sk
 
Hizo za Komba ni picha halisi lakini za yule Mkerewe, ni za kuchonga!!!!! Sijui akili za watu wengine, yaani unakwenda kwenye mchepuko halafu unakubali kupigwa picha?

Tiba

Weeeeee machemli live bila chengaaaaaa
 
Wadau,

Juzi hapa zilisambaa picha tofauti za mheshmiwa huyu akiwa na wadada wawili tofauti katika mionekano ya kuashiria kuna mapenzi baina yao. Kama kawaida ya wanasiasa wengi walivyo waongo, Mheshmiwa huyu alikimbilia Clouds FM kukanusha kuhusika kwake kwenye picha hizo.

Pamoja na sababu zingine, Mheshmiwa huyu alidai kua Picha za Uso/Sura/Kichwa chake zilitumika kuunganisha kwenye kiwiliwili cha mtu mwingine aliekuwepo na huyo dada ili ionekane ni yeye wakati sio kweli.

Sasa hapa chini zimenaswa picha mbalimbali za Mheshmiwa huyu akiwa na Nguo zilezile alizozikataa hapo mwanzo kua sio yeye bali sura ndio ilikua ya kwake.
View attachment 163506

View attachment 163507

Nawasilisha!!

Duh,God forgive,kwa tabia hii ya viongozi wetu,siwezi kumwuita yeyote mheshimiwa!
 
Laana hii ya kumtukana Jaji Warioba kwamba ni wa hovyo. John Komba ni mzigo ndani ya CCM.

Hivi kweli ni uzito woote ule kuna kazi gani anaweza. Posho za Ubunge zinamtesa tu.

Watanzania wote sasa tunajua,yeye ndiye wa hovyo.
 
Kwani wewe una visasi gani na Komba? Maana umeng'ang'ana na thread hii tokea majuzi! Au ulikuwa dem wake akakugegeda na kukupiga chini nini!?

Kiongozi anapashwa kujiheshimu,huyu bwana ameshindwa kujiheshimu kabisa, ngoja aumbuliwe!
 
Hizo za Komba ni picha halisi lakini za yule Mkerewe, ni za kuchonga!!!!! Sijui akili za watu wengine, yaani unakwenda kwenye mchepuko halafu unakubali kupigwa picha?

Tiba

Huyu kwa jinsi alivyo wa hovyo aliona michepuko ni sifa.
 
sasa mgonjwa mbona baadae katoa kanga kabaki manyonyo wazi!

hahahaaa, Labda aliugua kichaa baada ya komba kuondoka. Lakini Komba alionja mate ya mpiga kura wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom