Navio
Senior Member
- Sep 3, 2018
- 178
- 382
Upo serious mkuu?Watu mbon wapo makazin we kma ujapigiwa ujue aupo
Upo serious mkuu?Watu mbon wapo makazin we kma ujapigiwa ujue aupo
Hamna bro nilikutania tu watatoa kuanzia keshoUpo serious mkuu?
Atari mzee arafu hii inachelewa itakuwa kuna kitu ngoj tuoneKuskilizia kote huku halafu jina hulioni dah.. Mungu aepushie mbali
Atari mzee arafu hii inachelewa itakuwa kuna kitu ngoj tuone
bado manTPA MIYEYUSHO MPAKA LEO MAJIBU HOLAAA.KUNANI WAJAMENI HEBU MTUJUZE KWA MNAOJUA.
TPA wanajipaga Madaraka hasa kwenye Huu mchakato wa kuita watu kazini hufanya wao tena na si PSRS bila shaka Ucheleweshaji ni wa TPA na si PSRS ila Wataita tu.
Yani sisi wengine tushafanya interview mbili hapo kati na majibu yashatoka na watu wapo kazini ila nyie bado.Na sababu za kuchelewesha hata hazijulikani dah..
Wasichomeke watu tu
Mpaka leo hamjaitwa??Yani sisi wengine tushafanya interview mbili hapo kati na majibu yashatoka na watu wapo kazini ila nyie bado.
Mpaka leo hamjaitwa??Yani sisi wengine tushafanya interview mbili hapo kati na majibu yashatoka na watu wapo kazini ila nyie bado.
Hahahaha....Nahisi hadi wa Brela wataitwa kazini sisi bado
Si kwer watu waliopunguzwa bandarini n wengi mnoMie nahisi labda TPA hawana uharaka wa wafanyakazi
Jamaa bado tu hujatusua?Nahisi hadi wa Brela wataitwa kazini sisi bado
Ila TPA Walianza Mapicha picha Tangu kipindi cha Usaili hii Taasisi bado sana asee.Hapo wanapachikana kwanza then ndio wawaite na mtaona,
utumishi hawatatoa majina hayo ila wenyewe tpa watawapigia watu CM direct ya kuwa wamefanikiwa kupata kazi utumishi muda mwingine ni sehemu ya kuzuga tu kule waonekane wanafuata process