theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,643
Msimbiti wa MaraNyumban wapi
Msimbiti wa MaraNyumban wapi
Alitajwa Mchechu siyo KichereI concur with you!!!
Ila nakumbuka Huyu Kichere au Mchechu waalitajwa siku nyingi na huyo Kigogo 2014 kwamba mmoja wao ataichukua hiyo nafasi.
Seems vetting wakati inaendelea alivujishiwa data.
Bila shaka mkuu ndo maana amehudumu kama auditor kwa muda mrefuHivi kichere ana CPA/ACCA?
Ni member wa NBAA?
nina maana yangu kuuliza hivi wakuu.
Prof Assad Mungu akubariki sana kazi uliyofanya wenye akili wameiona.
Eti Kichere CAG...such a coward person...nchi hii ni kituko sana...
Kwan alikua hawezi kuendelea kwakumkabidhi kijiti tena!!!!!hapa ndo tutapigwa mpaka tutakomaView attachment 1252682
Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad
Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.
WASIFU WA KICHERE:
NAME : Charles Edward Kichere
DATE OF BIRTH : 26th March 1970
LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.
ACADEMIC QUALIFICATIONS
November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).
December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).
June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.
November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.
May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.
November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1
Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).
He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.
Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.
He is a member of the Credit and Audit Committees.
Msimbiti wa Mara
Vipi hesabu za Manunuzi ya ndege na miradi yote makubwa akipewa kazi ya kukagua ataleta jawabuAssad hatimae kastaafu. Honger Mr Kichere kwa kuteuliwa kuwa mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali.
kazi maalum kukagua hesabu ACT kisha kuwasafisha kuwa hakuna ufisadiNdiyo. Kapandishwa tena cheo baada ya kushushwa kutoka kamishna TRA na kapelekwa kuwa katibu tawala. Leo kapanda tena cheo na kuwa CAG.
weka na cv ya Prof AsaadView attachment 1252682
Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad
Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.
WASIFU WA KICHERE:
NAME : Charles Edward Kichere
DATE OF BIRTH : 26th March 1970
LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.
ACADEMIC QUALIFICATIONS
November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).
December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).
June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.
November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.
May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.
November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1
Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).
He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.
Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.
He is a member of the Credit and Audit Committees.
Prof Assad,View attachment 1252682
Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad
Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.
WASIFU WA KICHERE:
NAME : Charles Edward Kichere
DATE OF BIRTH : 26th March 1970
LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.
ACADEMIC QUALIFICATIONS
November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).
December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).
June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.
November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.
May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.
November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1
Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).
He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.
Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.
He is a member of the Credit and Audit Committees.
Hawezi mpaka miaka 5 iishe.iv kumbe cag hawez kutumbuliwa
Inasikitisha mno binafsi nimejifariji na kila jambo lina mwisho, nchi hii mtu mmoja anazungushwa kama mpira utadhani hakuna raia wengine wenye uwezo. Zaidi sana bora anayezungushwa huku na kule angekuwa competent. Hizi ni dharauDah nimejisikia kusikitika sana mkuu.
Suala siyo kuitetea, alichokosea na kushindwa kujirudi kwa kuomba msamaha
Dah Yan Unapongeza kabisaa Jiwe kuweka msela wake kuwa CAG. Nasema ni msela na ieleweke hivyo!Assad hatimae kastaafu. Honger Mr Kichere kwa kuteuliwa kuwa mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali.
Hana moto zaidi ya kwenda kukagua hesabu za ndege na miradi yote kisha kuwasafisha waonekane ni malaikaSubiri tuone huu Moto utaishia wapi.
Sasa hivi ni wakati wa jiwe,hata nikinuna haisaidii. Hongera kwa Kachere walau ana uhakika wa kukaa miaka 5 sehemu moja.Dah Yan Unapongeza kabisaa Jiwe kuweka msela wake kuwa CAG. Nasema ni msela na ieleweke hivyo!
Maajabu vioja havitakwisha mpaka magufuli alipata mshauri mpya badala ya makondaAlishindwa kukusanya Kodi Sasa ameteuliwa kudhibiti na kukagua Kodi!
Maajabu hayataisha nchi hi.