macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,160
- 59,939
Hahaa. Bado una hasira! Mlidhani CHADEMA inakufa kumbe ndiyo raia wanazidi kuichangia. Zile zama za mwenyekiti kukopesha chama haziko tena.Kiukweli tumekua na kundi kubwa sana la wajuaji waliojawa na upumbavu mwingi.