Bwawa la nyerere limeishia wapi ?

Bwawa la nyerere limeishia wapi ?

Hahaa. Bado una hasira! Mlidhani CHADEMA inakufa kumbe ndiyo raia wanazidi kuichangia. Zile zama za mwenyekiti kukopesha chama haziko tena.
Inahusiana vipi na nilichoandika? Pambaneni na hali zenu fitina, umbea, majungu na maneno maneno ya kwenye khanga hayatowasaidia kwa chochote!!
 
Mtu anashiba kande anachukua smartphone direct kuanzisha mada ambazo Hana hata uelewa nazo ilimradi tu aonekane naye wamo!! Huwa nacheka sana hizi analysis zao!! Tuna safari ndefu sana!
Walugaluga wanachosha sana, ni wa kuwapuuza tu wala usipoteze nguvu kuwaelewesha
 
Kwa mtindo wa kila kiongozi kuanzisha chake na kukiuwa cha mwenzake ili yeye kuwa bora ni hatari kwa taifa.

Zile elephant project kama sio magofu sasa naona zinelekea kuwa vyuma chakafu.
Mpaka mwaka jana tuliambiwa vinu vyote vimekamilika na vipo kwenye testing.

Labda TANESCO watufahamishe wamefikia wapi mpaka sasa....

Kazi ya TANESCO ni tatu...

1. Production.
2. High voltage distribution
3. Low voltage distribution

Sasa Bwawa la umeme linaingia hapo kwenye PRODUCTION. Je tumefanikiwa kwa kiasi gani? Zile 2215MW zipo tayari.

Jr mifumo ya udambazaji imekamilika kwa high na low voltage?

Nmeona mradi mkubwa wa kubadili nguzo kuwa za zege na kuweka transformer mpya... je tumefanikiwa kwa kiasi gani?

Kama wananchi tunahakinya kupata taarifa hizi maana kukatika umeme na mgao bado upo kwa baadhi ya maeneo...
 
Inahusiana vipi na nilichoandika? Pambaneni na hali zenu fitina, umbea, majungu na maneno maneno ya kwenye khanga hayatowasaidia kwa chochote!!
CHADEMA iko katika hali nzuri kuliko ilivyokuwa kipindi cha Mbowe. Ilikuwa ni busara sana kususia uchaguzi. Nasikia huko mlikotimukia wengi wenu mnajuta. Mnadhulumiana fedha ma-ugomvi mlioanzisha yamewageukia wenyewe kwa wenyewe.
 
Mpaka mwaka jana tuliambiwa vinu vyote vimekamilika na vipo kwenye testing.

Labda TANESCO watufahamishe wamefikia wapi mpaka sasa....

Kazi ya TANESCO ni tatu...

1. Production.
2. High voltage distribution
3. Low voltage distribution

Sasa Bwawa la umeme linaingia hapo kwenye PRODUCTION. Je tumefanikiwa kwa kiasi gani? Zile 2215MW zipo tayari.

Jr mifumo ya udambazaji imekamilika kwa high na low voltage?

Nmeona mradi mkubwa wa kubadili nguzo kuwa za zege na kuweka transformer mpya... je tumefanikiwa kwa kiasi gani?

Kama wananchi tunahakinya kupata taarifa hizi maana kukatika umeme na mgao bado upo kwa baadhi ya maeneo...
Habari, Ndugu Mteja na wadau wengine, asanteni sana kwa kuwasiliana nasi.

Tafadhali jueni yakwamba Bwawa la Nyerere tayari linazalisha umeme na pia tayari limeshaunganishwa kwenye gridi ya Taifa na linauwezo wa kuzalisha megawatt 2115. ^HM.
 
Habari, Ndugu Mteja na wadau wengine, asanteni sana kwa kuwasiliana nasi.

Tafadhali jueni yakwamba Bwawa la Nyerere tayari linazalisha umeme na pia tayari limeshaunganishwa kwenye gridi ya Taifa na linauwezo wa kuzalisha megawatt 2115. ^HM.
Hizo megawatt ziko wapi?
Mbona umeme unapanda bei?
Umeme unakata ovyo na kuleta hasara Kwa wafanyabiashara?
Mgao wa umeme hauishi.
Tulitegemea bwabwa la Nyerere likikamilika gharama za umeme ziwe chini
 
Habari, Ndugu Mteja na wadau wengine, asanteni sana kwa kuwasiliana nasi.

Tafadhali jueni yakwamba Bwawa la Nyerere tayari linazalisha umeme na pia tayari limeshaunganishwa kwenye gridi ya Taifa na linauwezo wa kuzalisha megawatt 2115. ^HM.
Mbona bei ya umeme hipo juu.Mda mwengine majibu rahisi kama hayo tushazoea
 
Habari, Ndugu Mteja na wadau wengine, asanteni sana kwa kuwasiliana nasi.

Tafadhali jueni yakwamba Bwawa la Nyerere tayari linazalisha umeme na pia tayari limeshaunganishwa kwenye gridi ya Taifa na linauwezo wa kuzalisha megawatt 2115. ^HM.
ASante kwa majibu haya....

Tunapenda kujua zimesaidia kupunguza tatzo la umeme kwa kiasi gani? Je matumizi ya nchi nzima ni kiasi gani? Tunabaki na ziada kiasi gani?

Tatzo kubwa sasa ni usambazaji? Tutegemee kutengamaa kwa huduma na kushuka kwa bei kuanzia mwaka gani?
 
Hizo megawatt ziko wapi?
Mbona umeme unapanda bei?
Umeme unakata ovyo na kuleta hasara Kwa wafanyabiashara?
Mgao wa umeme hauishi.
Tulitegemea bwabwa la Nyerere likikamilika gharama za umeme ziwe chini
Habari, ndugu mteja na asante kwa kuwasiliana nasi.

Kukamilika kwa mradi wa Julius Nyerere imesaidia kwa kiasi kikubwa sana kwenye kuimalisha huduma nchini

Aidha, hadi kufikia robo ya tatu ya mwaka 2025/2026 mahitaji ya juu zaidi ya umeme yalikuwa yamefikia megawati 2,188.21 huku uwezo wa mitambo ukiwa ni zaidi ya megawati 4,000.

Hadi sasa huduma ya umeme nchini ni nzuri na inapotokea changamoto yoyote wataalam wetu wanarekebisha na huduma kuendelea.

Ni vizuri kutambua siyo kila umeme unapokakati kwenye maeneo yetu sababu inakuwa TANESCO,zipo sababu nyingine za kibinadamu ikiwa ni pamoja na miundombinu kuharibiwa au kugongwa na gari. Hivyo wote tunawajibu wa kuendelea kutunza miundombinu ya umeme. Kwa zile zinahusu TANESCO zinafanyiwa kazi kwa mjibu wa utaratibu.

Kuhusu bei ya umeme,hili linamchakato wake,TANESCO ni Taasisi inayosimamiwa na EWURA na masuala yote ya bei yapo chini ya usimamizi huo.

Hivyo mamlaka hiyo inauwezo mzuri wa kulifanyia kazi kwakuzingatia taratibu zinazoongoza namna ya kupandisha au kushusha bei kwa kuangalia gharama za uendeshaji

Asante na karibu sana. ^FL
 
ASante kwa majibu haya....

Tunapenda kujua zimesaidia kupunguza tatzo la umeme kwa kiasi gani? Je matumizi ya nchi nzima ni kiasi gani? Tunabaki na ziada kiasi gani?

Tatzo kubwa sasa ni usambazaji? Tutegemee kutengamaa kwa huduma na kushuka kwa bei kuanzia mwaka gani?
Habari, Ndugu Mteja. Asante kwa kuwasiliana nasi.

Tayari tulishatoa majibu kupitia mjadala huu (thread). Endapo hukuyapata, tafadhali yapitie hapa chini:

Kukamilika kwa mradi wa Julius Nyerere imesaidia kwa kiasi kikubwa sana kwenye kuimalisha huduma nchini

Aidha, hadi kufikia robo ya tatu ya mwaka 2025/2026 mahitaji ya juu zaidi ya umeme yalikuwa yamefikia megawati 2,188.21 huku uwezo wa mitambo ukiwa ni zaidi ya megawati 4,000.

Hadi sasa huduma ya umeme nchini ni nzuri na inapotokea changamoto yoyote wataalam wetu wanarekebisha na huduma kuendelea.

Ni vizuri kutambua siyo kila umeme unapokakati kwenye maeneo yetu sababu inakuwa TANESCO,zipo sababu nyingine za kibinadamu ikiwa ni pamoja na miundombinu kuharibiwa au kugongwa na gari. Hivyo wote tunawajibu wa kuendelea kutunza miundombinu ya umeme. Kwa zile zinahusu TANESCO zinafanyiwa kazi kwa mjibu wa utaratibu.

Kuhusu bei ya umeme,hili linamchakato wake,TANESCO ni Taasisi inayosimamiwa na EWURA na masuala yote ya bei yapo chini ya usimamizi huo.

Hivyo mamlaka hiyo inauwezo mzuri wa kulifanyia kazi kwakuzingatia taratibu zinazoongoza namna ya kupandisha au kushusha bei kwa kuangalia gharama za uendeshaji


Asante na karibu sana. ^FL
 
Bwana lilishakamilika ila miundo mbinu ya kubeba 400kv ndio bado inaendelea kuboreshwa ukiangalia TBC 1 kipindi cha tunatekeleza inaonyesha miradi mingi sana iliyofanywa na inayoendelea kufanywa.ila naumia tunajenga kizazi kilichofumba macho na kuziba masikio hongera sana away ya sita
 
Habari, Ndugu Mteja. Asante kwa kuwasiliana nasi.

Tayari tulishatoa majibu kupitia mjadala huu (thread). Endapo hukuyapata, tafadhali yapitie hapa chini:

Kukamilika kwa mradi wa Julius Nyerere imesaidia kwa kiasi kikubwa sana kwenye kuimalisha huduma nchini

Aidha, hadi kufikia robo ya tatu ya mwaka 2025/2026 mahitaji ya juu zaidi ya umeme yalikuwa yamefikia megawati 2,188.21 huku uwezo wa mitambo ukiwa ni zaidi ya megawati 4,000.

Hadi sasa huduma ya umeme nchini ni nzuri na inapotokea changamoto yoyote wataalam wetu wanarekebisha na huduma kuendelea.

Ni vizuri kutambua siyo kila umeme unapokakati kwenye maeneo yetu sababu inakuwa TANESCO,zipo sababu nyingine za kibinadamu ikiwa ni pamoja na miundombinu kuharibiwa au kugongwa na gari. Hivyo wote tunawajibu wa kuendelea kutunza miundombinu ya umeme. Kwa zile zinahusu TANESCO zinafanyiwa kazi kwa mjibu wa utaratibu.

Kuhusu bei ya umeme,hili linamchakato wake,TANESCO ni Taasisi inayosimamiwa na EWURA na masuala yote ya bei yapo chini ya usimamizi huo.

Hivyo mamlaka hiyo inauwezo mzuri wa kulifanyia kazi kwakuzingatia taratibu zinazoongoza namna ya kupandisha au kushusha bei kwa kuangalia gharama za uendeshaji


Asante na karibu sana. ^FL
Asante sana kwa majibu.

Nimekuelewa. Naamini tutafikia point ukatikaji wa umeme utakua historia.
 
Habari, ndugu mteja na asante kwa kuwasiliana nasi.

Kukamilika kwa mradi wa Julius Nyerere imesaidia kwa kiasi kikubwa sana kwenye kuimalisha huduma nchini

Aidha, hadi kufikia robo ya tatu ya mwaka 2025/2026 mahitaji ya juu zaidi ya umeme yalikuwa yamefikia megawati 2,188.21 huku uwezo wa mitambo ukiwa ni zaidi ya megawati 4,000.

Hadi sasa huduma ya umeme nchini ni nzuri na inapotokea changamoto yoyote wataalam wetu wanarekebisha na huduma kuendelea.

Ni vizuri kutambua siyo kila umeme unapokakati kwenye maeneo yetu sababu inakuwa TANESCO,zipo sababu nyingine za kibinadamu ikiwa ni pamoja na miundombinu kuharibiwa au kugongwa na gari. Hivyo wote tunawajibu wa kuendelea kutunza miundombinu ya umeme. Kwa zile zinahusu TANESCO zinafanyiwa kazi kwa mjibu wa utaratibu.

Kuhusu bei ya umeme,hili linamchakato wake,TANESCO ni Taasisi inayosimamiwa na EWURA na masuala yote ya bei yapo chini ya usimamizi huo.

Hivyo mamlaka hiyo inauwezo mzuri wa kulifanyia kazi kwakuzingatia taratibu zinazoongoza namna ya kupandisha au kushusha bei kwa kuangalia gharama za uendeshaji

Asante na karibu sana. ^FL
Sawa Kwa maelezo
Sikuwa najua kama EWURA ndo ndo wanaratibu bei ya umeme.
Basi nahitimisha Kwa kusema EWURA Kuna shida kubwa
 
Back
Top Bottom