Una maana gani kusema bwawa limeishia wapi? Unaishi nchi gani? Hata kama hamuipendi serikali jaribuni kuwa sensible kidogo.Kwa mtindo wa kila kiongozi kuanzisha chake na kukiuwa cha mwenzake ili yeye kuwa bora ni hatari kwa taifa.
Zile elephant project kama sio magofu sasa naona zinelekea kuwa vyuma chakafu.
Tuliambiwa likikamilika Umeme utakuwa wa kumwaga, bei chee, tutauza hadi Kenya na Rwanda na Uganda. Nadhani unatakiwa Mujibu haya maswalaUna maana gani kusema bwawa limeishia wapi? Unaishi nchi gani? Hata kama hamuipendi serikali jaribuni kuwa sensible kidogo.
Kiukweli tumekua na kundi kubwa sana la wajuaji waliojawa na upumbavu mwingi.Una maana gani kusema bwawa limeishia wapi? Unaishi nchi gani? Hata kama hamuipendi serikali jaribuni kuwa sensible kidogo.
Yuko sahihi anauliza limeishia wapi.Una maana gani kusema bwawa limeishia wapi? Unaishi nchi gani? Hata kama hamuipendi serikali jaribuni kuwa sensible kidogo.
Wewe na mtoa hoja wewe ndio mjinga wa mwishoKiukweli tumekua na kundi kubwa sana la wajuaji waliojawa na upumbavu mwingi.
Okay.Tuliambiwa likikamilika Umeme utakuwa wa kumwaga, bei chee, tutauza hadi Kenya na Rwanda na Uganda. Nadhani unatakiwa Mujibu haya maswala
Ndio alivyokwambia? Nani alikuahidi unafuu wa umeme?Yuko sahihi anauliza limeishia wapi.
Unafuu wa umeme tulioahidiwa kabla ya huu mradi kama wananchi tumepata?
Kuwa sensible kidogo mkuu
Kwani Tz sasa hivi kuna uhaba wa umeme?Basi tuseme ule umeme toka Ethiopia ulishafika
Mgao huko kwenu haupo?Kwani Tz sasa hivi kuna uhaba wa umeme?
Alivyoniambia nani? Huu mradi uliazishwa kufanya nini kama sio kuleta unafuu wa umeme ?Ndio alivyokwambia? Nani alikuahidi unafuu wa umeme?
CCMNdio alivyokwambia? Nani alikuahidi unafuu wa umeme?
Hakuna mgao. Usichanganye umeme kukatika na mgao. Wewe uko wapi huko kuna mgao wa umeme?Mgao huko kwenu haupo?
Weka ushahidi.
Huna hoja.Alivyoniambia nani? Huu mradi uliazishwa kufanya nini kama sio kuleta unafuu wa umeme ?
Unataka tupongeze kwani umeme haukatiki hovyo?
Mtoa maada ana haki ya kuita white elephant project.
Acha ujuaji
Wajuaji ambao hawana hata taarifa za kawaida tu.Kiukweli tumekua na kundi kubwa sana la wajuaji waliojawa na upumbavu mwingi.