HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,510
Iko hivi 🤣 🤣 🤣 🤣 kuna mtu ambae hapendi kujenga kwao???? Kwasababu magufuli sio mimi ndo nimseme vibaya?? Ingekua mimi kwetu kungekua mara kumi ya chato! Anachonikera magu ni kubana upinzani tu