johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,981
Hutaki, acha!
Tundu Antipas Lissu alitumia kila aina ya Jukwaa hadi la Miti kufikisha Ujumbe kwa Wananchi.
Tundu Antipas Lissu alikwenda Ngorongo kuongea na Wananchi licha ya Zuio la serikali.
Tundu Lissu alitembelea Chato na kumkumbuka kwa Wema Shujaa Magufuli.
Komredi Makonda ameipa Uhai CCM iliyokuwa Imeishiwa pumzi na Kijani sasa wanatembea Vifua mbele.
Namba 3 ni Kijana BAK Wakili msomi kwa uzalendo wa kuitetea Bandari.
Nawatakia Heri ya Mwaka mpya. 😄
Tundu Antipas Lissu alitumia kila aina ya Jukwaa hadi la Miti kufikisha Ujumbe kwa Wananchi.
Tundu Antipas Lissu alikwenda Ngorongo kuongea na Wananchi licha ya Zuio la serikali.
Tundu Lissu alitembelea Chato na kumkumbuka kwa Wema Shujaa Magufuli.
Komredi Makonda ameipa Uhai CCM iliyokuwa Imeishiwa pumzi na Kijani sasa wanatembea Vifua mbele.
Namba 3 ni Kijana BAK Wakili msomi kwa uzalendo wa kuitetea Bandari.
Nawatakia Heri ya Mwaka mpya. 😄