DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,986
- 3,150
Amuulize kilichompata Wassira bunda!
Amuulize kilichompata Wassira bunda!
Hapana huyu mzee inabidi apumzike sasa! Mkewe atamwakilisha Bungeni tumechoka na wazushi!..mimi niliupenda utendaji na misimamo ya Samuel Sitta alipokuwa waziri wa afrika mashariki. napendekeza Raisi Magufuli amrudishe Mzee Sitta ktk wizara hiyo. katika awamu hii tusikubali kabisa kuchezewa-chezewa ktk jumuiya ya Afrika Mashariki.
cc msemakweli, Geza Ulole
Huyu mzee amekuwepo serikalini tangu Nyerere. Apumzike sasa abaki na heshima yake kwa jamii
Huyu mzee amekuwepo serikalini tangu Nyerere. Apumzike sasa abaki na heshima yake kwa jamii
Mimi busara zangu tu za kipumbavu pumbavu tu!
Mzee sita akipiga hesabu vyeo vyote alivyowahi kushika anatakiwa kupumzika. Muda umeenda population imeongezeka wasomi wapo wa kutosha hakuna mwenye uwezo wa kuwa Na vyeo alivyowahi kushika katika kipindi hiki. Akiendelea kung'ang'ania sana atakuwa kama Kingunge. Hana mchango mpya tena. Alipewa nafasi ya kuleta mchango wake tayari kuna watu wanamichango hawajawahi kupata nafasi.
Huyu mzee amekuwepo serikalini tangu Nyerere. Apumzike sasa abaki na heshima yake kwa jamii
Wewe Lazima Utakuwa Ni Mkurya Tu. " Akarine ".
Demu wako yupi huyo?
Tafadhal ndugu Jakaya kuna Mwanamtandao mmoja anaitwa Sitta ulisahau kum frustrate kama Rostam,Lowassa, Nchimbi,Kingunge,Mgana,Mgeja,Masha,Sophia Simba,Karamagi njoo utumie mbinu zako za kimedali asimsumbue, Kama ulimuweza Heavy weight Lowassa itakuwa huyu, 2010 ulimnyofoa kwa kigezo cha jinsia muibukie na kigezo cha Rangi, Rais Mweusi halafu Spika atakuaje tena Mweusi walau afikiriwe Jenista
Kama vile umesoma akili yangu!..mimi niliupenda utendaji na misimamo ya Samuel Sitta alipokuwa waziri wa afrika mashariki. napendekeza Raisi Magufuli amrudishe Mzee Sitta ktk wizara hiyo. katika awamu hii tusikubali kabisa kuchezewa-chezewa ktk jumuiya ya Afrika Mashariki.
cc msemakweli, Geza Ulole
Kama vile umesoma akili yangu!