Busara zangu tu: Samwel Sitta pumzika!

Busara zangu tu: Samwel Sitta pumzika!

Kila mtu anataka apumzike
True. Lakini sijawahi kuona mtu aliyewakingia kifua wakenya kama mzee six.
Yaani Tanzania ilikuwa haiburuzwi. Akisema NO ni NO. Nakumbuka alivyowaambia wakenya wasahau kabisa mpango wa visa ya pamoja ya utalii kwa sababu ilikuwa wazi kwamba wangenufaika wao zaidi.
Juzi tena akakata safari za Kenya airways baada ya Kenya kuzuia magari ya Tanzania mbona walikuja wenyewe kuomba pooo!
Nasikia watu wakisema eti Makamba apewe ile wizara shauri yenu mipaka itafunguliwa mtaisoma namba!
 
True. Lakini sijawahi kuona mtu aliyewakingia kifua wakenya kama mzee six.
Yaani Tanzania ilikuwa haiburuzwi. Akisema NO ni NO. Nakumbuka alivyowaambia wakenya wasahau kabisa mpango wa visa ya pamoja ya utalii kwa sababu ilikuwa wazi kwamba wangenufaika wao zaidi.
Juzi tena akakata safari za Kenya airways baada ya Kenya kuzuia magari ya Tanzania mbona walikuja wenyewe kuomba pooo!
Nasikia watu wakisema eti Makamba apewe ile wizara shauri yenu mipaka itafunguliwa mtaisoma namba!

Kwani yalikuwa maamuZi yake? Ni maamuzi ya serikali na si yake binafsi!
 
Nasikia anautaka uspika kwa udi na uvumba na amesema akienguliwa kwa kigezo chochote kile hatakubali. Kuna watu wanadhani wamezaliwa kutawala wengine na huyu ni mmoja wao.

Lowasa amewafungua minyororo wengi sana aiseee

huyu mzee nae leo anapata guts za kuitishia ccm? kweli nimeamin Lowasa kawaweka wengi huru aiseee
 
Kwani yalikuwa maamuZi yake? Ni maamuzi ya serikali na si yake binafsi!
I believe ni maamuzi ya serikali kupitia yeye kama waziri.
Kwa nini hawa wengine hawaperform vizuri kama yeye kwenye wizara iyo hiyo?
Yaani yule alikuwa ni kiboko chao, wakimsikia tu wanapata homa!
Nakumbuka nilikuwa Nairobi wakenya wananiuliza hivi yule waziri wenu bado yupo? Nikawaambia bahati yenu amehamishwa wakafurahi sana. Ukiona 'adui' yako anafurahi jua umebugi!
 
Huwa hasikii huyo mzee si unajua alitaka hata urais? mwache atwangwe na kijana mdogo aliyeandaliwa. Mwaka ule alishindwa kujigeuza awe mwanamke.....mwaka huu CCM inataja kijana, ataweza kujigeuza kijana?
 
I believe ni maamuzi ya serikali kupitia yeye kama waziri.
Kwa nini hawa wengine hawaperform vizuri kama yeye kwenye wizara iyo hiyo?
Yaani yule alikuwa ni kiboko chao, wakimsikia tu wanapata homa!
Nakumbuka nilikuwa Nairobi wakenya wananiuliza hivi yule waziri wenu bado yupo? Nikawaambia bahati yenu amehamishwa wakafurahi sana. Ukiona 'adui' yako anafurahi jua umebugi!

Hawatumii vizuri media na safari za nje anasa zilikuwa zimezidi!
 
True. Lakini sijawahi kuona mtu aliyewakingia kifua wakenya kama mzee six.
Yaani Tanzania ilikuwa haiburuzwi. Akisema NO ni NO. Nakumbuka alivyowaambia wakenya wasahau kabisa mpango wa visa ya pamoja ya utalii kwa sababu ilikuwa wazi kwamba wangenufaika wao zaidi.
Juzi tena akakata safari za Kenya airways baada ya Kenya kuzuia magari ya Tanzania mbona walikuja wenyewe kuomba pooo!
Nasikia watu wakisema eti Makamba apewe ile wizara shauri yenu mipaka itafunguliwa mtaisoma namba!

Kama ni sifa mpe akalale nazo kwake,ataisoma number na ndio ajue utam wa hapa kazi tu.
 
Back
Top Bottom