Kama Mugabe
Sitta anaomba uSpeaker ili akamlinde mkewe mjengoni.... Hana imani na mabazazi wa mjengoni
Aliharibu bunge la katiba. Marehemu nao walipiga kura. Alinajisi ibada za watu,eti waliokuwa kwenye hija walipiga kura,wakati hakuna nafasi kama hiyo kwa jinsi ilivyobana. Mungu akakasirika, unakumbuka kilichotokea mwaka huu kwenye hija?
Mimi busara zangu tu za kipumbavu pumbavu tu!
Mzee sita akipiga hesabu vyeo vyote alivyowahi kushika anatakiwa kupumzika. Muda umeenda population imeongezeka wasomi wapo wa kutosha hakuna mwenye uwezo wa kuwa Na vyeo alivyowahi kushika katika kipindi hiki. Akiendelea kung'ang'ania sana atakuwa kama Kingunge. Hana mchango mpya tena. Alipewa nafasi ya kuleta mchango wake tayari kuna watu wanamichango hawajawahi kupata nafasi.
Huyu mzee amekuwepo serikalini tangu Nyerere. Apumzike sasa abaki na heshima yake kwa jamii
Katosha bwana,afanye shughuli za jamii tu,waziri tokea sijazaliwa,mpaka nikazaliwa yeye waziri tu,mpaka nimezaa ,yeye bado waziri tu.
Mimi busara zangu tu za kipumbavu pumbavu tu!
Mzee sita akipiga hesabu vyeo vyote alivyowahi kushika anatakiwa kupumzika. Muda umeenda population imeongezeka wasomi wapo wa kutosha hakuna mwenye uwezo wa kuwa Na vyeo alivyowahi kushika katika kipindi hiki. Akiendelea kung'ang'ania sana atakuwa kama Kingunge. Hana mchango mpya tena. Alipewa nafasi ya kuleta mchango wake tayari kuna watu wanamichango hawajawahi kupata nafasi.
Tufundishwe namna ya kutumia raslimali zetu tukiwa vijana.Watumishi wa umma walio na zaidi ya 50, nadhani wangehamia kwenye ajira binafsi baada ya kupewa pensheni ili vijana waajiriwe.
..mimi niliupenda utendaji na misimamo ya Samuel Sitta alipokuwa waziri wa afrika mashariki. napendekeza Raisi Magufuli amrudishe Mzee Sitta ktk wizara hiyo. katika awamu hii tusikubali kabisa kuchezewa-chezewa ktk jumuiya ya Afrika Mashariki.
cc msemakweli, Geza Ulole
Utakuwa unafaidika na yeye! Imagine magufuri asingepewa nafasi angekuwa wapi?