Busara zangu tu: Samwel Sitta pumzika!

Busara zangu tu: Samwel Sitta pumzika!

Yule mzee ni mnafki sana apite hivi........ Hatumtaki
 
Sitta awe na Sura ya Aibu, hivi kama u spika tu hivyo, Urais si angebadili katiba kabisa?
 
Akarine asali hatumtaki akilazimisha tutamkata tuu maana hakuna namna
 
Huyo six akili yake ishafika mwisho! Nashangaa bado linangangania madaraka
 
Hata mkewe hawezi kumpa kura yake,NA katiba lake Jpm atapiga Chini tu.
 
Hivi vizee vinavyong'ang'ania madaraka ni kuvikataa vijana wapo tena wasomi wazur apite hivi........ Akalee wajukuu ataaibika kama yule wa bunda
 
Unajua Mungu anapotaka kumwadhibu mtu anampofusha , huyu mzee mwacheni aadhirike kama msekwa , alishindwa hata kunyanyuka , shukrani kwa kificho aliyemnyanyua msekwa .
 
Kuna kitu alikisahau ktk ofisi ya spika?

Kama Mshauri Wake Mkuu Ni Kijana TAPELI Wa Kawe, Msomi Wa Fani Ya Uandishi Wa Habari Aliyepata Certificate Na Diploma Yake Kwa UMAGUMASHI Pale DSJ Ilala Na Anayependa KUJIPENDEKEZA Kwa Wakubwa Huku Akifitini Watu James Rocky Mwakibinga Wewe Unategemea Mzee Sita AFANYEJE?
 
Tafadhal ndugu Jakaya kuna Mwanamtandao mmoja anaitwa Sitta ulisahau kum frustrate kama Rostam,Lowassa, Nchimbi,Kingunge,Mgana,Mgeja,Masha,Sophia Simba,Karamagi njoo utumie mbinu zako za kimedali asimsumbue, Kama ulimuweza Heavy weight Lowassa itakuwa huyu, 2010 ulimnyofoa kwa kigezo cha jinsia muibukie na kigezo cha Rangi, Rais Mweusi halafu Spika atakuaje tena Mweusi walau afikiriwe Jenista
 
Kwaiyo unataka na yeye akafuge NYUKI?! TEH TEH! Ni vyema akapumzike asije akapata aibu!
 
Tafadhal ndugu Jakaya kuna Mwanamtandao mmoja anaitwa Sitta ulisahau kum frustrate kama Rostam,Lowassa, Nchimbi,Kingunge,Mgana,Mgeja,Masha,Sophia Simba,Karamagi njoo utumie mbinu zako za kimedali asimsumbue, Kama ulimuweza Heavy weight Lowassa itakuwa huyu, 2010 ulimnyofoa kwa kigezo cha jinsia muibukie na kigezo cha Rangi, Rais Mweusi halafu Spika atakuaje tena Mweusi walau afikiriwe Jenista

Utakuwa mzee wa fitina wa CCM 😂😂😂
 
Huyu mzee hovyo kabisa, nilisikiza mahojiano yake na AZAM TV nikabaki kuduwaa. Anajiona ni yeye tu mwenye haki ya kuwa spika!

Tupo zaidi ya Mil50 hana nafasi tena tunataka waadilifu washike madaraka!
 
Utakuwa mzee wa fitina wa CCM 😂😂😂

Baada ya kukatwa Edo Dodoma, Mzee Kingunge akawa njia panda hajui ahame au la Mamlaka ikashauri Vijana wamtimue Ukamanda wa uv ccm Taifa ili akasirike aondoke na kweli akaondoka, baada ya Edo kukatwa Dom, Kingunge alimuagiza Nchimbi team Lowassa wote wakutane wapange mkakati wa kupiga kura ya kutokuwa na Imani na Mwnkt wa Taifa ccm basi ile kuanza tu mkUsanyiko likaibuliwa igizo la Mill 700 za Manji kumbeba Membe pale St Gasper Dosoma basi wote wakapandwa na mihemko ya kwenda kumkata Membe tena sio kumng'oa Mwnkt au kupigania Edo arudishwe kumbe jina la mgombea liko mfukon kwa Mwenykt. Ndio Fitna za Kik.were hizi!
 
Baada ya kukatwa Edo Dodoma, Mzee Kingunge akawa njia panda hajui ahame au la Mamlaka ikashauri Vijana wamtimue Ukamanda wa uv ccm Taifa ili akasirike aondoke na kweli akaondoka, baada ya Edo kukatwa Dom, Kingunge alimuagiza Nchimbi team Lowassa wote wakutane wapange mkakati wa kupiga kura ya kutokuwa na Imani na Mwnkt wa Taifa ccm basi ile kuanza tu mkUsanyiko likaibuliwa igizo la Mill 700 za Manji kumbeba Membe pale St Gasper Dosoma basi wote wakapandwa na mihemko ya kwenda kumkata Membe tena sio kumng'oa Mwnkt au kupigania Edo arudishwe kumbe jina la mgombea liko mfukon kwa Mwenykt. Ndio Fitna za Kik.were hizi!

Nimegundua urais wa TZ hupewi hovyo hovyo! Wanakuangalia machoni kwanza
 
Na pia lowasa apumzike...yeye ndo kachoka kuliko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom