Busara za wazee: Mfumo wa vyama vingi uendelee lakini CCM iendelee kutawala mpaka pale...

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,603
Kuna kijiwe ambacho mida ya jioni, wazee hukutana kujadili baadhi ya vitu na kubadilishana mawazo, watu wengi hukusanyika hususani vijana kuchota busara za wazee hao.

Watajadli mambo mbalimbali kuanzia mpira, Imani mpaka siasa na yote wanayojadli vijana huokota chochote Cha kuwafaa maishani.

Siku ya jana walikuwa wanajadili hatma ya siasa na uongozi wa Tanzania na suala kuu la mjadala huo ni "nini kati ya CCM au mfumo wa vyama vingi upumzike"

Mjadala ulikuwa mkali sana lakini busara za wazee zikahitimisha kwamba Mfumo wa vyama vingi uendelee kuwepo lakini pia CCM iendelee kutawala mpaka pale...

i ) Tutakapoona upinzani imekuwa tayari kuongoza hata kama itatawala milele haina shida.

ii) CCM itakaposema imechoka tunataka tupumzike ili wengine waendelee.

iii) CCM itakapo katawaliwa na kila mtu.

Ndio kijana mmoja akauliza, ni lini tutakaposhuhudia hayo yakitokea, Mzee mmoja akajibu HATA SISI WAZEE HATUJUHI basi mjadala ukaisha hivyo na wazee wakawa wametupatia busara kubwa sana.
 
Kuna kijiwe ambacho mida ya jioni, wazee hukutana kujadili baadhi ya vitu na kubadilishana mawazo, watu wengi hukusanyika hususani vijana kuchota busara za wazee hao.

Watajadli mambo mbalimbali kuanzia mpira, Imani mpaka siasa na yote wanayojadli vijana huokota chochote Cha kuwafaa maishani.

Siku ya jana walikuwa wanajadili hatma ya siasa na uongozi wa Tanzania na suala kuu la mjadala huo ni "nini kati ya CCM au mfumo wa vyama vingi upumzike"

Mjadala ulikuwa mkali sana lakini busara za wazee zikahitimisha kwamba Mfumo wa vyama vingi uendelee kuwepo lakini pia CCM iendelee kutawala mpaka pale...

i ) Tutakapoona upinzani imekuwa tayari kuongoza hata kama itatawala milele haina shida.

ii) CCM itakaposema imechoka tunataka tupumzike ili wengine waendelee.

iii) CCM itakapo katawaliwa na kila mtu.

Ndio kijana mmoja akauliza, ni lini tutakaposhuhudia hayo yakitokea, Mzee mmoja akajibu HATA SISI WAZEE HATUJUHI basi mjadala ukaisha hivyo na wazee wakawa wametupatia busara kubwa sana.
 
Kuna kijiwe ambacho mida ya jioni, wazee hukutana kujadili baadhi ya vitu na kubadilishana mawazo, watu wengi hukusanyika hususani vijana kuchota busara za wazee hao.

Watajadli mambo mbalimbali kuanzia mpira, Imani mpaka siasa na yote wanayojadli vijana huokota chochote Cha kuwafaa maishani.

Siku ya jana walikuwa wanajadili hatma ya siasa na uongozi wa Tanzania na suala kuu la mjadala huo ni "nini kati ya CCM au mfumo wa vyama vingi upumzike"

Mjadala ulikuwa mkali sana lakini busara za wazee zikahitimisha kwamba Mfumo wa vyama vingi uendelee kuwepo lakini pia CCM iendelee kutawala mpaka pale...

i ) Tutakapoona upinzani imekuwa tayari kuongoza hata kama itatawala milele haina shida.

ii) CCM itakaposema imechoka tunataka tupumzike ili wengine waendelee.

iii) CCM itakapo katawaliwa na kila mtu.

Ndio kijana mmoja akauliza, ni lini tutakaposhuhudia hayo yakitokea, Mzee mmoja akajibu HATA SISI WAZEE HATUJUHI basi mjadala ukaisha hivyo na wazee wakawa wametupatia busara kubwa sana.
Sijui huwa unapata wapi muda wa kuandika upumbavu wa namna hii
 
Hatuwezi kuongozwa na wahuni, bora CCM itwale milele

Chadema mwanasiasa mwenye statesmanship kidogo labda ni Mbowe, hao wengine ni takataka, wanachojua ni kuropoka na matusi tu,
Mbowe ameshindwa ku groom vijana wanaojielewa na kuvuvitia intellectuals kujiunga na chama chake

Tundu Lissu ana uelewa mkubwa wa sheria, lakini siasa zake hazijakomaa, ni siasa za kiharakati, za kitoto, hazina statesmanship

Watu wenye sauti ni akina Mdude, Martin Maranja Masese, Hilda Newton, Rose Mayemba, Twaha Mwaipaya na waropokaji wengine
 
Back
Top Bottom