Buriani Rais Magufuli - Kiswahili ni lugha ngumu

Mnabuduhe

JF-Expert Member
May 8, 2015
352
590
Salaam!

Tarehe 26/03/2021 Ni siku ya Kumpumzisha Aliyekuwa Rais wetu John Pombe Magufuli huko kwao Chato.
Nawapongeza sana JamiiForums Facebook page kwa Kuelewa na Kumuenzi kwa Nukuuu Nkutu alizowahi kuzisema wakati wa uhai wake.

Na moja ya nukuu hizo ina maneno haya "Siku moja mtanikumbuka, na Mimi najua Mtanikumbuka kwa mazuri si mabaya"

Sasa naona watu wengi bado hawajaelewa Kiswahili hiki,kumkumbuka kwa mazuri wala si kwa mabaya.
Mh. Rais alimaanisha kuwa anatambua fika kuwa kuna mambo ambayo aliyafanya sio mazuri - na yawezekana aliyafanya kwa nia njema kabisa lakini hayo yasiwe sehemu ya jinsi mtakavyo mkumbuka.

-Kufuta Wafanyakazi Hewa ( Lilikuwa Jambo zuri kwa Afya na ustawi wa taasisi za serikali) lakini Je unadhani wale walioathirika walilipokea vipi zoezi hilo?
- Kuvunja mikataba ya kilaghai,Vita vya Wauza madawa ya kulevya na Uhujumu uchumi ( watu walioathirika na maamuzi hayo hawawezi kufurahi kamwe)
-Bomoa Bomoa kupisha Ujenzi wa miundo mbinu,Kusimamisha Ajira na Maslahi ya Wafanyakazi wa Serikali,Kusitisha Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.
- Vyombo vya Habari kuminywa Uhuru wao! na mengine mengi .


Alijua kuwa katika Kuimarisha Uchumi lazima mambo kama hayo yangetokea,hutokea na yalishatokea hata kabla ya yeye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wakati fulani Mh. Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aliitisha Press Conference IKULU,na Mwandishi mmoja toka kanda ya Ziwa alimuuliza swali kuwa kwanini Mh. Mzee Benjamini Mkapa(Hayati) asishtakiwe kwa sababu alifanya biashara Ikulu.
Kikwete alimjibu yule Mwandishi kuwa Iwapo tutaamua kuwashtaki Viongozi waliopita basi Itabidi Tuanze na Awamu ya Kwanza.

Kikwete alikuwa Sahihi - Nyerere alifanya Mabaya, Mwinyi Alifanya Makosa,Kikwete alifanya Mabaya na JPM alifanya Mabaya - Hakuna Aliyekamilika katika suala la Uongozi - hajawahi kutokea na wala hatakuja kuwepo.

James Madison (Rais wa nne wa Marekani) aliwahi kusema" If men were angels no government would be necessary,If angels were to govern men,neither external or internal controls on government would be necessary." Tafsiri yangu ya kikalimani ni Kuwa - Iwapo Binadamu wangekuwa Malaika Hakungekuwa na haja ya kuwa na Serikali (DORA) na iwapo Malaika wangekuwa watawala wa Binadamu basi kusingekuwa na haja ya Udhibiti wa Ndani au nje Katika Utawala(Serikali)
Rais alikuwa na Shortcoming zake kama Binadamu,lakini ameshapumzika - Kilichobaki kwake ni Hukumu ya Haki kwa Muumba wake.


Tumkubuke kwa Mema yake aliyotufanyia Watanzania, Kathubutu mambo magumu sana! Kuna watu walituaminisha kuwa Huwezi Kuvunja Mikataba ya Madini, akaivunja ikawezekana.

Kuna watu walituaminisha kuwa hatuwezi kununua ndege kwa Fedha Taslim - Ikawezekana.

Kuna watu walituaminisha mambo mengi kuwa hayawezekani, lakini amejaribu kwa Uthubutu mkubwa sana.

Kiswahili ni rahisi ila kuna watu hawataki kuelewa kabisa - TUMUENZI KWA YALE MEMA ALIYOTUFANYIA.

Lakini wapo ambao hawatataka kuelewa maana ya haya na ni haki yao kufanya hivyo ila haina Afya kwao - Amepumzika JPM,Shujaa wa Majira haya.

Nawasilisha.
 
When it's all been said and done
There is just one thing that matters
Did I do my best to live for truth?
Did I live my life for you?

When it's all been said and done
All my treasures will mean nothing
Only what I've done for love's reward
Will stand the test of time
Lord, your mercy is so great
That you look beyond our weakness
And find purest gold in miry clay
Turning sinners into saints
Hallelujah
And I will always sing Your praise
Here on Earth and ever after
For You've shown me heavens, my true home

When it's all been said and done
You're my life when life is gone
 
When it's all been said and done
There is just one thing that matters
Did I do my best to live for truth?
Did I live my life for you?

When it's all been said and done
All my treasures will mean nothing
Only what I've done for love's reward
Will stand the test of time
Lord, your mercy is so great
That you look beyond our weakness
And find purest gold in miry clay
Turning sinners into saints
Hallelujah
And I will always sing Your praise
Here on Earth and ever after
For You've shown me heavens, my true home

When it's all been said and done
You're my life when life is gone
The Best of Song I ever liked! Asante sana The Monk ,Ume - cement vema.
 
Salaam!

Tarehe 26/03/2021 Ni siku ya Kumpumzisha Aliyekuwa Rais wetu John Pombe Magufuli huko kwao Chato.
Nawapongeza sana JamiiForums Facebook page kwa Kuelewa na Kumuenzi kwa Nukuuu Nkutu alizowahi kuzisema wakati wa uhai wake.

Na moja ya nukuu hizo ina maneno haya "Siku moja mtanikumbuka, na Mimi najua Mtanikumbuka kwa mazuri si mabaya"

Sasa naona watu wengi bado hawajaelewa Kiswahili hiki,kumkumbuka kwa mazuri wala si kwa mabaya.
Mh. Rais alimaanisha kuwa anatambua fika kuwa kuna mambo ambayo aliyafanya sio mazuri - na yawezekana aliyafanya kwa nia njema kabisa lakini hayo yasiwe sehemu ya jinsi mtakavyo mkumbuka.

-Kufuta Wafanyakazi Hewa ( Lilikuwa Jambo zuri kwa Afya na ustawi wa taasisi za serikali) lakini Je unadhani wale walioathirika walilipokea vipi zoezi hilo?
- Kuvunja mikataba ya kilaghai,Vita vya Wauza madawa ya kulevya na Uhujumu uchumi ( watu walioathirika na maamuzi hayo hawawezi kufurahi kamwe)
-Bomoa Bomoa kupisha Ujenzi wa miundo mbinu,Kusimamisha Ajira na Maslahi ya Wafanyakazi wa Serikali,Kusitisha Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.
- Vyombo vya Habari kuminywa Uhuru wao! na mengine mengi .


Alijua kuwa katika Kuimarisha Uchumi lazima mambo kama hayo yangetokea,hutokea na yalishatokea hata kabla ya yeye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wakati fulani Mh. Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aliitisha Press Conference IKULU,na Mwandishi mmoja toka kanda ya Ziwa alimuuliza swali kuwa kwanini Mh. Mzee Benjamini Mkapa(Hayati) asishtakiwe kwa sababu alifanya biashara Ikulu.
Kikwete alimjibu yule Mwandishi kuwa Iwapo tutaamua kuwashtaki Viongozi waliopita basi Itabidi Tuanze na Awamu ya Kwanza.

Kikwete alikuwa Sahihi - Nyerere alifanya Mabaya, Mwinyi Alifanya Makosa,Kikwete alifanya Mabaya na JPM alifanya Mabaya - Hakuna Aliyekamilika katika suala la Uongozi - hajawahi kutokea na wala hatakuja kuwepo.

James Madison (Rais wa nne wa Marekani) aliwahi kusema" If men were angels no government would be necessary,If angels were to govern men,neither external or internal controls on government would be necessary." Tafsiri yangu ya kikalimani ni Kuwa - Iwapo Binadamu wangekuwa Malaika Hakungekuwa na haja ya kuwa na Serikali (DORA) na iwapo Malaika wangekuwa watawala wa Binadamu basi kusingekuwa na haja ya Udhibiti wa Ndani au nje Katika Utawala(Serikali)
Rais alikuwa na Shortcoming zake kama Binadamu,lakini ameshapumzika - Kilichobaki kwake ni Hukumu ya Haki kwa Muumba wake.


Tumkubuke kwa Mema yake aliyotufanyia Watanzania, Kathubutu mambo magumu sana! Kuna watu walituaminisha kuwa Huwezi Kuvunja Mikataba ya Madini, akaivunja ikawezekana.

Kuna watu walituaminisha kuwa hatuwezi kununua ndege kwa Fedha Taslim - Ikawezekana.

Kuna watu walituaminisha mambo mengi kuwa hayawezekani, lakini amejaribu kwa Uthubutu mkubwa sana.

Kiswahili ni rahisi ila kuna watu hawataki kuelewa kabisa - TUMUENZI KWA YALE MEMA ALIYOTUFANYIA.

Lakini wapo ambao hawatataka kuelewa maana ya haya na ni haki yao kufanya hivyo ila haina Afya kwao - Amepumzika JPM,Shujaa wa Majira haya.

Nawasilisha.
Mimi niko kwenye hili: KUFANYA TENDO MBAYA KWA NIA NJEMA

1. Huwezi kufanya KITU KIBAYA kwa NIA NJEMA hata wakati mmoja. Huu ni mtazamo wa kichawi na kishirikina 100%...

Hapa tusidanganyane tafadhali...

2. KITU KIBAYA KIKITENDWA, hicho ni KIBAYA tu. Na siku zote kinaambatana na ni MBAYA TU 100%...

Mfano:
Serikali yake ilivyopanga na kutekeleza jaribio la kumuua Mbunge, Mwanasheria na Mwanaharakati Tundu A. Lissu kwa risasi zaidi 36 mchana kweupe katikati ya mji wa Dodoma Sept. 2017 kulikuwa na NIA gani njema hapo kama siyo ushetani kabisa huo..?

Imeandikwa USIUE. Sasa tangu lini kuua binadamu mwenzako kuwe NIA njema? Ni nia gani njema hiyo inayoambatana na tendo hili kwa mfano?

Hebu tuacheni mawazo ya kishirikina ili kuhalalisha dhambi na uovu dhidi ya binadamu...

3. KITU KIZURI KIKITENDEKA ni kizuri tu na NIA YA KUKITENDA ni nzuri siku zote...

Hii ndiyo tabia na asili ya Mungu. Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Ni sharti siku zote tubebe sura ya Mungu ktk maisha yetu...!
 
Salaam!

Tarehe 26/03/2021 Ni siku ya Kumpumzisha Aliyekuwa Rais wetu John Pombe Magufuli huko kwao Chato.
Nawapongeza sana JamiiForums Facebook page kwa Kuelewa na Kumuenzi kwa Nukuuu Nkutu alizowahi kuzisema wakati wa uhai wake.

Na moja ya nukuu hizo ina maneno haya "Siku moja mtanikumbuka, na Mimi najua Mtanikumbuka kwa mazuri si mabaya"

Sasa naona watu wengi bado hawajaelewa Kiswahili hiki,kumkumbuka kwa mazuri wala si kwa mabaya.
Mh. Rais alimaanisha kuwa anatambua fika kuwa kuna mambo ambayo aliyafanya sio mazuri - na yawezekana aliyafanya kwa nia njema kabisa lakini hayo yasiwe sehemu ya jinsi mtakavyo mkumbuka.

-Kufuta Wafanyakazi Hewa ( Lilikuwa Jambo zuri kwa Afya na ustawi wa taasisi za serikali) lakini Je unadhani wale walioathirika walilipokea vipi zoezi hilo?
- Kuvunja mikataba ya kilaghai,Vita vya Wauza madawa ya kulevya na Uhujumu uchumi ( watu walioathirika na maamuzi hayo hawawezi kufurahi kamwe)
-Bomoa Bomoa kupisha Ujenzi wa miundo mbinu,Kusimamisha Ajira na Maslahi ya Wafanyakazi wa Serikali,Kusitisha Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.
- Vyombo vya Habari kuminywa Uhuru wao! na mengine mengi .


Alijua kuwa katika Kuimarisha Uchumi lazima mambo kama hayo yangetokea,hutokea na yalishatokea hata kabla ya yeye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wakati fulani Mh. Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aliitisha Press Conference IKULU,na Mwandishi mmoja toka kanda ya Ziwa alimuuliza swali kuwa kwanini Mh. Mzee Benjamini Mkapa(Hayati) asishtakiwe kwa sababu alifanya biashara Ikulu.
Kikwete alimjibu yule Mwandishi kuwa Iwapo tutaamua kuwashtaki Viongozi waliopita basi Itabidi Tuanze na Awamu ya Kwanza.

Kikwete alikuwa Sahihi - Nyerere alifanya Mabaya, Mwinyi Alifanya Makosa,Kikwete alifanya Mabaya na JPM alifanya Mabaya - Hakuna Aliyekamilika katika suala la Uongozi - hajawahi kutokea na wala hatakuja kuwepo.

James Madison (Rais wa nne wa Marekani) aliwahi kusema" If men were angels no government would be necessary,If angels were to govern men,neither external or internal controls on government would be necessary." Tafsiri yangu ya kikalimani ni Kuwa - Iwapo Binadamu wangekuwa Malaika Hakungekuwa na haja ya kuwa na Serikali (DORA) na iwapo Malaika wangekuwa watawala wa Binadamu basi kusingekuwa na haja ya Udhibiti wa Ndani au nje Katika Utawala(Serikali)
Rais alikuwa na Shortcoming zake kama Binadamu,lakini ameshapumzika - Kilichobaki kwake ni Hukumu ya Haki kwa Muumba wake.


Tumkubuke kwa Mema yake aliyotufanyia Watanzania, Kathubutu mambo magumu sana! Kuna watu walituaminisha kuwa Huwezi Kuvunja Mikataba ya Madini, akaivunja ikawezekana.

Kuna watu walituaminisha kuwa hatuwezi kununua ndege kwa Fedha Taslim - Ikawezekana.

Kuna watu walituaminisha mambo mengi kuwa hayawezekani, lakini amejaribu kwa Uthubutu mkubwa sana.

Kiswahili ni rahisi ila kuna watu hawataki kuelewa kabisa - TUMUENZI KWA YALE MEMA ALIYOTUFANYIA.

Lakini wapo ambao hawatataka kuelewa maana ya haya na ni haki yao kufanya hivyo ila haina Afya kwao - Amepumzika JPM,Shujaa wa Majira haya.

Nawasilisha.
Kazana mama SSH anaweza kukuona, lakini kwa akili hizi za kijiwe jiwe sidhani
 
When it's all been said and done
There is just one thing that matters
Did I do my best to live for truth?
Did I live my life for you?

When it's all been said and done
All my treasures will mean nothing
Only what I've done for love's reward
Will stand the test of time
Lord, your mercy is so great
That you look beyond our weakness
And find purest gold in miry clay
Turning sinners into saints
Hallelujah
And I will always sing Your praise
Here on Earth and ever after
For You've shown me heavens, my true home

When it's all been said and done
You're my life when life is gone
Bado kidogo ifanane na song of lawino
 
Tukubali au tukatae hakuna alie kamilika hapa chini ya jua amefanya kwa kadili ya uwezo wake na mwendo amesha umaliza ibakie mimi na wewe tutafanya nini kwa mda tulio bakiza.Tuyaenzi na kuyaendeleza yale mema yote aliyo yaanzisha na tuyaache yale mabaya aliyo yatenda yeye kama binadamu R.I.P-Dr.John.Pombe.Joseph.Magufuli Kiongozi wetu shujaa wetu Mungu akupokee huko uendako.R.I.P JPM
 
Mimi niko kwenye hili: KUFANYA TENDO MBAYA KWA NIA NJEMA

1. Huwezi kufanya KITU KIBAYA kwa NIA NJEMA hata wakati mmoja. Huu ni mtazamo wa kichawi na kishirikina 100%...

Hapa tusidanganyane tafadhali...

2. KITU KIBAYA KIKITENDWA, hicho ni KIBAYA tu. Na siku zote kinaambatana na ni MBAYA TU 100%...

Mfano:
Serikali yake ilivyopanga na kutekeleza jaribio la kumuua Mbunge, Mwanasheria na Mwanaharakati Tundu A. Lissu kwa risasi zaidi 36 mchana kweupe katikati ya mji wa Dodoma Sept. 2017 kulikuwa na NIA gani njema hapo kama siyo ushetani kabisa huo..?

Imeandikwa USIUE. Sasa tangu lini kuua binadamu mwenzako kuwe NIA njema? Ni nia gani njema hiyo inayoambatana na tendo hili kwa mfano?

Hebu tuacheni mawazo ya kishirikina ili kuhalalisha dhambi na uovu dhidi ya binadamu...

3. KITU KIZURI KIKITENDEKA ni kizuri tu na NIA YA KUKITENDA ni nzuri siku zote...

Hii ndiyo tabia na asili ya Mungu. Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Ni sharti siku zote tubebe sura ya Mungu ktk maisha yetu...!
Kwanini mnamtetea Lisu sana kwani wabunge wote zaidi ya mia mbili yeye tu ndo apigwe risasi kwanini msijiulize na kwanini mmsingizie rais msitumie kichwa vyenu kufikili nje ya box

Sent from my SM-T355Y using JamiiForums mobile app
 
Kwanini mnamtetea Lisu sana kwani wabunge wote zaidi ya mia mbili yeye tu ndo apigwe risasi kwanini msijiulize na kwanini mmsingizie rais msitumie kichwa vyenu kufikili nje ya box

Sent from my SM-T355Y using JamiiForums mobile app
Huyu mtu mpaka juzi tu anaandika kwamba alipewa habari na wamarekan na africa ya kusin juu ya ugonjwa wa rais magufuli tangu tarehe 6 march 2021 bado amuwezi kujua tu huyu sio mwenzenu jifunze kuconnect dot

Sent from my SM-T355Y using JamiiForums mobile app
 
Salaam!

Tarehe 26/03/2021 Ni siku ya Kumpumzisha Aliyekuwa Rais wetu John Pombe Magufuli huko kwao Chato.
Nawapongeza sana JamiiForums Facebook page kwa Kuelewa na Kumuenzi kwa Nukuuu Nkutu alizowahi kuzisema wakati wa uhai wake.

Na moja ya nukuu hizo ina maneno haya "Siku moja mtanikumbuka, na Mimi najua Mtanikumbuka kwa mazuri si mabaya"

Sasa naona watu wengi bado hawajaelewa Kiswahili hiki,kumkumbuka kwa mazuri wala si kwa mabaya.
Mh. Rais alimaanisha kuwa anatambua fika kuwa kuna mambo ambayo aliyafanya sio mazuri - na yawezekana aliyafanya kwa nia njema kabisa lakini hayo yasiwe sehemu ya jinsi mtakavyo mkumbuka.

-Kufuta Wafanyakazi Hewa ( Lilikuwa Jambo zuri kwa Afya na ustawi wa taasisi za serikali) lakini Je unadhani wale walioathirika walilipokea vipi zoezi hilo?
- Kuvunja mikataba ya kilaghai,Vita vya Wauza madawa ya kulevya na Uhujumu uchumi ( watu walioathirika na maamuzi hayo hawawezi kufurahi kamwe)
-Bomoa Bomoa kupisha Ujenzi wa miundo mbinu,Kusimamisha Ajira na Maslahi ya Wafanyakazi wa Serikali,Kusitisha Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.
- Vyombo vya Habari kuminywa Uhuru wao! na mengine mengi .


Alijua kuwa katika Kuimarisha Uchumi lazima mambo kama hayo yangetokea,hutokea na yalishatokea hata kabla ya yeye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wakati fulani Mh. Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aliitisha Press Conference IKULU,na Mwandishi mmoja toka kanda ya Ziwa alimuuliza swali kuwa kwanini Mh. Mzee Benjamini Mkapa(Hayati) asishtakiwe kwa sababu alifanya biashara Ikulu.
Kikwete alimjibu yule Mwandishi kuwa Iwapo tutaamua kuwashtaki Viongozi waliopita basi Itabidi Tuanze na Awamu ya Kwanza.

Kikwete alikuwa Sahihi - Nyerere alifanya Mabaya, Mwinyi Alifanya Makosa,Kikwete alifanya Mabaya na JPM alifanya Mabaya - Hakuna Aliyekamilika katika suala la Uongozi - hajawahi kutokea na wala hatakuja kuwepo.

James Madison (Rais wa nne wa Marekani) aliwahi kusema" If men were angels no government would be necessary,If angels were to govern men,neither external or internal controls on government would be necessary." Tafsiri yangu ya kikalimani ni Kuwa - Iwapo Binadamu wangekuwa Malaika Hakungekuwa na haja ya kuwa na Serikali (DORA) na iwapo Malaika wangekuwa watawala wa Binadamu basi kusingekuwa na haja ya Udhibiti wa Ndani au nje Katika Utawala(Serikali)
Rais alikuwa na Shortcoming zake kama Binadamu,lakini ameshapumzika - Kilichobaki kwake ni Hukumu ya Haki kwa Muumba wake.


Tumkubuke kwa Mema yake aliyotufanyia Watanzania, Kathubutu mambo magumu sana! Kuna watu walituaminisha kuwa Huwezi Kuvunja Mikataba ya Madini, akaivunja ikawezekana.

Kuna watu walituaminisha kuwa hatuwezi kununua ndege kwa Fedha Taslim - Ikawezekana.

Kuna watu walituaminisha mambo mengi kuwa hayawezekani, lakini amejaribu kwa Uthubutu mkubwa sana.

Kiswahili ni rahisi ila kuna watu hawataki kuelewa kabisa - TUMUENZI KWA YALE MEMA ALIYOTUFANYIA.

Lakini wapo ambao hawatataka kuelewa maana ya haya na ni haki yao kufanya hivyo ila haina Afya kwao - Amepumzika JPM,Shujaa wa Majira haya.

Nawasilisha.
Mada fikirishi kwa mtu mwenye nia njema na nchi yetu. Bravo! Mwenye mawazo tofauti kosoa yaliyosemwa kwa kutoa hoja. Si kwa kuishia kusema MATAGA; au buku saba; au Msukuma; kama inavyofanyika hapa JF mara nyingi tu. Hizo ni fikra mfilisi ambazo hazihitajiki katika jukwaa la Great Thinkers.
 
James Madison (Rais wa nne wa Marekani) aliwahi kusema" If men were angels no government would be necessary,If angels were to govern men,neither external or internal controls on government would be necessary." Tafsiri yangu ya kikalimani ni Kuwa - Iwapo Binadamu wangekuwa Malaika Hakungekuwa na haja ya kuwa na Serikali (DORA) na iwapo Malaika wangekuwa watawala wa Binadamu basi kusingekuwa na haja ya Udhibiti wa Ndani au nje Katika Utawala(Serikali)
Rais alikuwa na Shortcoming zake kama Binadamu,lakini ameshapumzika - Kilichobaki kwake ni Hukumu ya Haki kwa Muumba wake.
Aaaah, mkali-manii umetisha Wallah nilikuwa sijuagi kama "Men" ina maana ya "Binadamu"
 
Tukubali au tukatae hakuna alie kamilika hapa chini ya jua amefanya kwa kadili ya uwezo wake na mwendo amesha umaliza ibakie mimi na wewe tutafanya nini kwa mda tulio bakiza.Tuyaenzi na kuyaendeleza yale mema yote aliyo yaanzisha na tuyaache yale mabaya aliyo yatenda yeye kama binadamu R.I.P-Dr.John.Pombe.Joseph.Magufuli Kiongozi wetu shujaa wetu Mungu akupokee huko uendako.R.I.P JPM
Ondoeni neno "alitenda mabaya kama binadamu". Hapa ndo tunapokwenda tofauti. Kukamata, kuua, kupoteza wanaokupinga kwa hoja si sehemu ya ubinadamu, NI UNYAMA.
 
Binadamu yeyote aliumbiwa uovu na wema, vyote viwili viko ndani ya mwanadamu. Na hivyo vyote aliumbiwa na Mungu. Na Mwanadamu ni sura na mfano wa Mungu, ambapo Mungu huyo pia ana sifa zote mbili, uovu na wema. Wanaompa Mungu sifa za wema tu ni watu wa dini. Hata wazo la shetani ni wazo la kidini, kwa kuwa hakuna shetani anayekufa utende jambo fulani, maana mambo yote mabaya na mema yako ndani ya uwezo wa binadamu na Mungu mwenyewe. Chini kuna mifano ya kibiblia.
Waamuzi 9:23
Kisha Mungu akapeleka roho mbaya kati ya Abimeleki na watu wa Shekemu; nao watu wa Shekemu wakamtendea Abimeleki kwa udanganyifu;

1 Samuel 16:14-15
Basi, roho ya BWANA ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua.
Nao watumishi wa Sauli wakamwambia, Angalia, sasa roho mbaya kutoka kwa Mungu inakusumbua.
Kwa hiyo basi, ni Mungu huyo huyo ambaye ukiishi katika uovu basi Yeye huipa uhuru roho ya uovu kutawala nafsi yako, na ukiishi kwa wema basi Yeye huyo huachilia Uhuru kwa hiyo roho ya wema itawale ndani yako, kwa kuwa Yeye mwenyewe ndiye asiri ya wema na uovu, na binadamu ni kiumbe huru aliye sura na mfano was Mungu asiri ya yote.

UKIIJUA KWELI ITAKUWEKA HURU
 
Mimi niko kwenye hili: KUFANYA TENDO MBAYA KWA NIA NJEMA

1. Huwezi kufanya KITU KIBAYA kwa NIA NJEMA hata wakati mmoja. Huu ni mtazamo wa kichawi na kishirikina 100%...

Hapa tusidanganyane tafadhali...

2. KITU KIBAYA KIKITENDWA, hicho ni KIBAYA tu. Na siku zote kinaambatana na ni MBAYA TU 100%...

Mfano:
Serikali yake ilivyopanga na kutekeleza jaribio la kumuua Mbunge, Mwanasheria na Mwanaharakati Tundu A. Lissu kwa risasi zaidi 36 mchana kweupe katikati ya mji wa Dodoma Sept. 2017 kulikuwa na NIA gani njema hapo kama siyo ushetani kabisa huo..?

Imeandikwa USIUE. Sasa tangu lini kuua binadamu mwenzako kuwe NIA njema? Ni nia gani njema hiyo inayoambatana na tendo hili kwa mfano?

Hebu tuacheni mawazo ya kishirikina ili kuhalalisha dhambi na uovu dhidi ya binadamu...

3. KITU KIZURI KIKITENDEKA ni kizuri tu na NIA YA KUKITENDA ni nzuri siku zote...

Hii ndiyo tabia na asili ya Mungu. Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Ni sharti siku zote tubebe sura ya Mungu ktk maisha yetu...!
Kwakuwa umehusisha mambo ya imani, naomba nikuswalike kidogo;

Mungu alipowaua wa Misri kwa mujibu wa maandiko, lilikuwa ni jambo baya au zuri?

Manabii na wafalme waliokuwa na mamlaka toka juu, hawakufanya mabaya kwa nia njema?

Asante
 
Be blessed abundantly Mnabuduhe
My brother@The Monk, nakutafuta
When it's all been said and done
There is just one thing that matters
Did I do my best to live for truth?
Did I live my life for you?

When it's all been said and done
All my treasures will mean nothing
Only what I've done for love's reward
Will stand the test of time
Lord, your mercy is so great
That you look beyond our weakness
And find purest gold in miry clay
Turning sinners into saints
Hallelujah
And I will always sing Your praise
Here on Earth and ever after
For You've shown me heavens, my true home

When it's all been said and done
You're my life when life is gone
Hey bro The Monk, nakutafuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom