KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
wewe yebo yebo nakwambia, mie nilikuwa nikianza kusafiri nje ya nchi tokea miaka ya 1979 na sina ulimbukeni wa teknolojia na mambo ya uchawi yapo angalau siuamini, siuabudu lakini naamini upo na kuna watu wanaufanya tena kwa utaaluma. sasa sijui mwenzangu weye kuja nje miaka hii ya karibuni ndio unaona unajua kila kitu i dont know ( am not rude ) lakini mambo ya uchawi yapo, sasa turudi katika kifo cha amina, mimi sijui kama alikuwa anaumwa ukimwi au alirogwa but i guess i just have to go with the flow of her daddy's commnets ! lakini uchawi upooooooooooooooo !! kwani unajua nini kilichotokea kigamboni wewe ?