BUNGENI: Wageni watia usingizi wa pono, mijadala haina mvuto

BUNGENI: Wageni watia usingizi wa pono, mijadala haina mvuto

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
18,188
Reaction score
29,929
20250610_110119.jpg


Gazeti la leo Daily News pg2, kuna picha inaelezea kinaga ubaga hali ya mijadala Bungeni-HALINA MVUTO!

Wageni nimehesabu katika picha, wengine wamelala, mmoja kaja na shuka kabisa toka nyumbani. Mwingine yuko busy na simu.
Wawili wanasogoa.

Heko Bunge letu takatifu.
 
View attachment 3362989

Gazeti la leo Daily News pg2, kuna picha inaelezea kinaga ubaga hali ya mijadala Bungeni-HALINA MVUTO!

Wageni nimehesabu katika picha, wengine wamelala, mmoja kaja na shuka kabisa toka nyumbani. Mwingine yuko busy na simu.
Wawili wanasogoa.

Heko Bunge letu takatifu.
Bunge la mipasho ya taarabu ni bunge kweli..?
 
View attachment 3362989

Gazeti la leo Daily News pg2, kuna picha inaelezea kinaga ubaga hali ya mijadala Bungeni-HALINA MVUTO!

Wageni nimehesabu katika picha, wengine wamelala, mmoja kaja na shuka kabisa toka nyumbani. Mwingine yuko busy na simu.
Wawili wanasogoa.

Heko Bunge letu takatifu.
Mstari wa kwanza juu huko wa pili kutoka kulia jamaa yupo hoi kabisa kauchapa vizuri tena mdomo wazi
 
View attachment 3362989

Gazeti la leo Daily News pg2, kuna picha inaelezea kinaga ubaga hali ya mijadala Bungeni-HALINA MVUTO!

Wageni nimehesabu katika picha, wengine wamelala, mmoja kaja na shuka kabisa toka nyumbani. Mwingine yuko busy na simu.
Wawili wanasogoa.

Heko Bunge letu takatifu.
Sio Kila mtu ana intererest na siasa.Bunge kuwa na mvuto ni kuwaje?
 
Mijadala ya bunge inaendelea lakini baadhi ya wageni wamelala huku wakiota ndoto nyevu.

Hii ni maajabu!
 
View attachment 3362989

Gazeti la leo Daily News pg2, kuna picha inaelezea kinaga ubaga hali ya mijadala Bungeni-HALINA MVUTO!

Wageni nimehesabu katika picha, wengine wamelala, mmoja kaja na shuka kabisa toka nyumbani. Mwingine yuko busy na simu.
Wawili wanasogoa.

Heko Bunge letu takatifu.
Pesa za per diem wamelipwa kwenda kulala bungeni?

Taasisi husika wawachukulie hatua
 
Back
Top Bottom