Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Mbatia anaongea sasa
Naona sasa tunaanza kuiga mabunge ya wale wanao zipiga bungeni.
Maana ile mipasho. lol
Ni kwa kusema kuwa kambi ya upinzani na bajeti yao wanasema kuwa waalim wanafanya biashara shuleni muda wa vipindi,,
Mwigulu bwabwa 2.mtoto si ridhiki.
bwahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!:israel:Mbona iliisha semwa bajeti ya upinzani ni kama bajeti ya harusi, mbona inajulikana mkuu. Na mh. mnyika aka Mh. Washwa washwa anazidi kuchemsha kwa kutojua kanuni, duh kweli washwa washwa ni janga la kitaifa
Kampongeza pia Mh Raisi Jakaya Kikwete kwa kumaliza mgogoro wa madaktari na kuongeza kuwa pamoja na juhudi hizo Chadema ndio walioandaa mgomo huo kwa sababu bado wanang'ang'ania swala la Madaktari lijadiliwe bungeni yeye haoni sababu kwa sababu madaktari wametii amri ya raisi
Ni kwa kusema kuwa kambi ya upinzani na bajeti yao wanasema kuwa waalim wanafanya biashara shuleni muda wa vipindi,,
Unasemaaaaa??Vipi Mh. Washwa washwa ? unasemaje kuhusu yeye? na kitu kinacho washwa dawa yake ni nn?
Mwigulu domo kama gunzi.