Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
stop parables! Dadavua mkuu
Wanachuana kuhusu miongozo na kanuni mpaka sasa dakika zimepita kumi huyu akisema kanuni hii na Mhagama anatoa kanuni hii ili mradi tu mambo yanakwenda, naona simbachawene amesimama kumwambia mwenyekiti Mhagama kwamba kanuni nyingi na miongozo inakwenda kinyume na kupoteza muda na ametoa ukweli muda unakwenda