Vmark.
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 1,353
- 274
Bunge letu sasa limegeuka uwanja wa vijembe na kutupiana lawama, nawasihi wabunge wafuate kilicho wapeleka Dodoma.
Wafuate kipi tena mkuu? Kwa sasa wanachokifanya ndo kilichowapeleka huko........
Bunge letu sasa limegeuka uwanja wa vijembe na kutupiana lawama, nawasihi wabunge wafuate kilicho wapeleka Dodoma.