idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
Wale ambao wataendelea kugoma hawatalindwa na polisi? kwani kazi ya polisi si kulinda raia na mali zao..
ndio kusema umevua gamba au.?
Wale ambao wataendelea kugoma hawatalindwa na polisi? kwani kazi ya polisi si kulinda raia na mali zao..
hivi hujui kama anaitwa Dr. Ulimboka, au mwenyewe unaona sawa kumwita olimboka.!Kutokana na kutekwa kwa watalii na kuuwawa, kukuta wahamiaji zaidi ya arobaini wakiwa wamekufa vilevile kutekwa kwa dr.Olimboka,
A wise man who speaks littleVir sapit qui pauca loquitur.
Nimeshangazwa na maswali ya huyu mbunge kwa waziri mkuu! Eti anadai madaktari wanatumika na watu wanaowapatia fedha kuhamasisha mgomo ili nchi isitawalike.
Hivi huyu mbunge ni wa kuchaguliwa kihalali au ni wa viti maalum, na sasa anataka kubembeleza ukaribu kwa waliomchagua?
ni uonevu wa hali ya juu na ubabe wa serikali yetu inayosema inajali maslahi ya walala hoi!
Jana kuna uzi nilichangia kuwa kama Pinda ana akili kidogo aliyobaki nayo basi leo asitoe kauli yoyote juu ya mgomo wa Drs. naona kama anaelekea kupokea huu ushauri.
Kuhusu Dr. Ulimboka, tusubiri uchunguzi wa kina wa polisi.
Mbowe anasema KCMC, Muhimbili, Mbeya na Bugando leo wamegoma rasmi, serikali mna hatua gani za dharula>
Pinda: Serikali imezungumza na vyombo mbalimbali kama Lugalo ili wagonjwa watumie huduma zao.
Retired Drs, na wale walio wizarani wameombwa warudi kazini ili wawahudumie wagonjwa.
Juhudi za kuongea na Drs wenye mgomo zinatakiwa ziendelee
Nipo hapa MOI tangu juzi mgonjwa wetu aliandikiwa kufanyiwa upasuaji leo mchana, sasa hivi tunatoka kupewa taarifa kuwa haitowezekana kwa kuwa daktari mhusika hatokuwepo, na kuna tv hapa inayoonyesha bunge namsikiliza waziri mkuu, tumaini la mgonjwa wetu limepotea sijui tutafanyaje aaahh!!
Nipo hapa MOI tangu juzi mgonjwa wetu aliandikiwa kufanyiwa upasuaji leo mchana, sasa hivi tunatoka kupewa taarifa kuwa haitowezekana kwa kuwa daktari mhusika hatokuwepo, na kuna tv hapa inayoonyesha bunge namsikiliza waziri mkuu, tumaini la mgonjwa wetu limepotea sijui tutafanyaje aaahh!!
Amesemea wapi hiyo?
Majibu ya Pinda kwa swali la Mh. Lissu ni kwamba Pinda ame-prove kwamba yeye ni MJINGA
Tubebe wagonjwa wetu tupeleke IKULU kumuona rais Dhaifu
Dr Ulimboka and the Family , Never ever shake handS with the President, never ever unless he come in the hospital holding hands with the hooligans who did the touchering ... !! If you do anything against this ... it will be a shame and betrayal to all Tanzanians with good will!!! ... Have a strong heart and just do as I have just told!! OK .. God will bless you HERE and BEYOND HERE( In HEAVEN !!!!)!!!Jk kumtembelea dr ulimboka mchana huu......kama kawaida kutoa pole