Eti anasema kuna watu wanawapa ma doctor pesa ili wagome! Waziri mkuu nae anasema eti ata yeye anasikia huo uvumi. Hii serikali ya ccm ni JANGWA!
wale wale walioteka Ulimboka.
Mh Mbowe amemuuliza Pinda kuhusu kauli yake ya "liwalo ni liwe" na mahusiano ya tatizo la Dr Ulimboko, kakwepa na kauli ya serikali haitokuwepo leo na kukwepa kuhusika na mateso ya ulimboko
Wale ambao wataendelea kugoma hawatalindwa na polisi? kwani kazi ya polisi si kulinda raia na mali zao..
They miss quoted him.
Wale ambao wataendelea kugoma hawatalindwa na polisi? kwani kazi ya polisi si kulinda raia na mali zao..
Wale ambao wataendelea kugoma hawatalindwa na polisi? kwani kazi ya polisi si kulinda raia na mali zao..