Suala hapa si kujiuzulu ndugu zangu. Hapa ni kwa seriakali kuwa na uwezo kifedha ilik kuwalipa Wafanyakazi wake(wakiwemo Madaktari) vizuri, ijenge hospitali,zahanati zenye madawa na vifaa vingine vya tiba...Swali serikali itapata wapi pesa hizo??? IPANUE WIGO WA WALIPA KODI si kung'ang'ania tu BIA,SODA na SIMU,,, je wabunge wenyewe wanakatwa kodi kwenye mishahara/posho zao? Wasanii wanatozwa kodi kutokana na kipato chao? Kupunguza misamaha ya kodi, kuondoa posho zisizoeleweka mfano "sitting allowance" HAPO NDIPO TUTAKUWA NA SERIKALI THABITI YENYE MAAMUZI tuking'ang'ania kubadilisha Waziri MKuu tutabadilisha kila siku but tutakuwa hatujatatua tatizo. Hivi Utalii, madini, bandari,ardhi yenye rutuba,nito,maziwa,bahari MUNGU atupe nini jamani?TUMEKOSA KIONGOZI MWENYE MAONO TU but rasilimali na watu tunaz(o)