Bungeni Live: June 28, 2012

Mh Mbowe amemuuliza Pinda kuhusu kauli yake ya "liwalo ni liwe" na mahusiano ya tatizo la Dr Ulimboko, kakwepa na kauli ya serikali haitokuwepo leo na kukwepa kuhusika na mateso ya ulimboko
 
Waziri Mkuu,ametuma Salamu za pole kwa Dr Ulimboka
Neno lake la liwalo na liwe alitamka kuepuka kuonekana Mtovu wa nidhamu kuzungumza huku akijua Jambo hili lipo Kwenye Muhimili mwingine.Akasema hata wakimlaumu viongozi wenzake basi litakalo kuwa na liwe.
 
Jana kuna uzi nilichangia kuwa kama Pinda ana akili kidogo aliyobaki nayo basi leo asitoe kauli yoyote juu ya mgomo wa Drs. naona kama anaelekea kupokea huu ushauri.
Kuhusu Dr. Ulimboka, tusubiri uchunguzi wa kina wa polisi.
Mbowe anasema KCMC, Muhimbili, Mbeya na Bugando leo wamegoma rasmi, serikali mna hatua gani za dharula>
Pinda: Serikali imezungumza na vyombo mbalimbali kama Lugalo ili wagonjwa watumie huduma zao.
Retired Drs, na wale walio wizarani wameombwa warudi kazini ili wawahudumie wagonjwa.
Juhudi za kuongea na Drs wenye mgomo zinatakiwa ziendelee
 
Mwanzo badala ya kusema nashukuru mh Spika akasema nashukuru mh Waziri mkuu.

Na
 
Waziri Mkuu,ametuma Salamu za pole kwa Dr Ulimboka
Neno lake la liwalo na liwe alitamka kuepuka kuonekana Mtovu wa nidhamu kuzungumza huku akijua Jambo hili lipo Kwenye Muhimili mwingine.Akasema hata wakimlaumu viongozi wenzake basi litakalo kuwa na liwe.

Amesemea wapi hiyo?
 
Swali la nyongeza toka kwa Mbowe ni nini juhudi binafsi za serikali kwa mgomo wa madaktari, kajibu kuwa jana wameendeleza mahojiano na madaktari na pia wamejiandaa kutumia madaktari wa Lugalo na madaktari wastaafu na wale waliopo wizarani, inaonekana jamaa yamefyata mkia kwa madaktari
 
Kachemka baada ya kuita mh speaker akaita eti mh. waziri mkuu, kazi kweli kweli na mgomo umetanda kila sehemu.....
 
mteule aliyeshika nafasi ya Ocampa pale ICC mbona haoni unyama huu. huyu mzee inabidi afikishwe kwa pilato kama mtu wakwanza kuisaidia polisi katika upelelezi
 
Back
Top Bottom