Wale ambao wataendelea kugoma hawatalindwa na polisi? kwani kazi ya polisi si kulinda raia na mali zao..
Waziri Mkuu,ametuma Salamu za pole kwa Dr Ulimboka
Neno lake la liwalo na liwe alitamka kuepuka kuonekana Mtovu wa nidhamu kuzungumza huku akijua Jambo hili lipo Kwenye Muhimili mwingine.Akasema hata wakimlaumu viongozi wenzake basi litakalo kuwa na liwe.
Mwanzo badala ya kusema nashukuru mh Spika akasema nashukuru mh Waziri mkuu
Together we are strongest!!!!hakuna kauli ya serikali.......pinda anaweweseka
Amesemea wapi hiyo?