simon james
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 283
- 140
Hii kweli ni Gvt ya Vitisho
Waziri Mkuu,ametuma Salamu za pole kwa Dr Ulimboka
Neno lake la liwalo na liwe alitamka kuepuka kuonekana Mtovu wa nidhamu kuzungumza huku akijua Jambo hili lipo Kwenye Muhimili mwingine.Akasema hata wakimlaumu viongozi wenzake basi litakalo kuwa na liwe.
Hiyo kauli alisema jana! Au ndio kusema hafahamu alichokuwa anasema?