Bunge Lisionyeshwe LIVE - Wabunge!

Bunge Lisionyeshwe LIVE - Wabunge!

mbunge wa Rorya Lamek Airo naye ametoa maoni yake kuwa bunge lisioneshwe live!!!hahaaa
 
Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.

Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.

Source:Mwananchi online.

Mbona wakati akihojiwa na Radio One aliongea tofauti? Mrema hajasema Bunge lisionyeshwe bali anasikitika na yale yayayoendelea
 
Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.

Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.

Source:Mwananchi online.


Hivi kuna watu bado wanatega masikio yao kusikia ati Mrema leo amesema nini? Nawapa pole.
 
Mrema%2Bchapa%2BUsingizi%2B3%2B%25282%2529.jpg


mrema.jpg
 
Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.

Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.

Source:Mwananchi online.

Mzee Mrema kama bado hujapona vizuri Kisukari omba ruhusa kwa wananchi wako,kama Papa Benedict iv ambaye ni kiongozi mkubwa duniani ameona afya yake haistahili kuongoza watu unashindwa nini kuwaambia wana wa Vunjo kuwa unahitaji kupumzika kabla ya 2015 na kupisha kutoonekana ukisinzia bungeni
 
Jamaa anapenda kulala huyooooo, yaani bunge lisipoonyeshwa live, lazima atakuwa akiingia na kigodoro, shuka, blanketi na viroba viwili vya konyagi ili vichoche usingizi. Halafu nasikia viroba vya konyagi na wagonjwa wa kisukari wanapatana mno

Hahahahahahaaa.....me love this.
 
ha ha mrema kauchapa huyu mzee apumzike sasa hana jipya
 
Mh,mrema kashafirisika kisiasa sina imani tena na uwezo wake wa kufukiri ningemshauri tu kama vipi akae kando then makamanda walisongeshe
 
Mmmmh sina comment....wadau mnamuua sana mwenyekiti mwacheni hawe anapumzika jamani.
 

Kama hali yenyewe ndio kama hii ni lazima mzee wa Kiraracha atetee uamuzi wa kutoonyeshwa live kwa vikao vya bunge. Wazee wa usingizi wanaumbuliwa live wakiwa wameuchapa usingizi badala ya kuwawakilisha wananchi waliowatuma bungeni. Sasa wanatafuta namna ya kuwahadaa wapiga kura wao kwamba walikuwa wanachangia sana mijadala basi tu kwakuwa bunge halionyeshwi live wangemuona.
 
Mmmmh sina comment....wadau mnamuua sana mwenyekiti mwacheni hawe anapumzika jamani.
Ni kweli hutaki kuchangia au Kumjadili,Mwenyekiti wetu, ila ukweli utabaki tu kuwa huyu Mzee pamoja na kuumwa Sukari, lakini bado anauguwa ugonjwa KIRUSICCM!!

Mzee ana AFYA chafu kama ya "KUNGUNI" lakini bado tu anaropoka!! Je angekuwa Mzima kiafya?
Huyu nae ni Kituko ktk Vituko, hana tofauti na LAMEK,WASSIRA, Na NAPE!!
Badala amshukuru Mungu na wale watu Vunjo kumuonea "huruma" na kumpa Ubunge, eti anakaa kuongea Upuuzi!
Subirini tu siku za Wasaliti na Waropokaji zinahesabika 2015,sio mbali!!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
Nakumbuka nae ameshawahi lala bungeni mpaka akatoa udenda.
 
Huyu Mrema.. ni mmoja wanasiasa walio ishiwa sito shangaa yeye kuunga hoja ya kudhibiti bunge kulushwa live.
 
Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.

Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.

Source:Mwananchi online.

huyo mzee lazima alambe lambe viatu vya CCM maana ana hofu ya kunyang'anywa jimbo! siku ya kunyang'anywa jimbo si ajabu tukasikia jina lake limeongezwa kitangulizi..'mare**mu'!
 
Ni kupoteza muda na nafasi murua kwa kutafuta maoni ya jambo muhimu kutoka kwa augustino mrema
 
mbunge wa vunjo mh.mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,dr.thomasi kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.

Mh.mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.mh.mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.mnyika na prof.ibrahimu lipumba.

Source:mwananchi online.

kwa hiyo akili yake, ndiyo maana chama chake kimekufa
 
Back
Top Bottom